Kwan. Mama lwakatale ameacha uchungaji?
nimemsikia jana kwenye redio yake akihubiri
Kwan. Mama lwakatale ameacha uchungaji?
Dr.Rehema nchimbi.mkuu wa mkoa dodoma.ltr Udom
Wapiga kura wake hawakumchagua kwa kigezo cha muziki
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
Nadhani unamwonea mtoa hoja!
Muziki ni biashara kama biashara zingine!
Mtu anapokubali kuwa kiongozi anapaswa kuacha biashara zake zote na kuwawakilisha wananchi!
Ndio maanza tunashangaa mawaziri na wabunge wanaoendelea kufanya biashara na kuwasahau wananchi!
Tunawashangaa wanapoenda kwenye mabenki na kupata mikopo mikubwa mikubwa na kufungua biashara.
Watanzania tubadilike.
Wabunge waache biashara.
mawaziri waache biashara.
Acheni kung'ang'ania tenda! Waacheni wengine wafanye!
Ninyi mmekuwa viranja kuangalia ushindani wa haki.
Hata Sugu aache matamasha ya biashara, ili awawakilishe wananchi na wanamziki wote bila upendeleo.
Baada ya ubunge anaweza kuamua kurudi.
Ila kama ni matamasha ya kuelimisha jamii (sio biashara) hatuna haja ya kumpigia kelele.
Muziki, Siasa na Maisha havitengemani!
Bila Muziki asingekuwa Sugu na bila (u)Sugu asingkuwa mbunge!
Waziri mkuu mmoja huko Ulaya ya kati ambaye ni mwanasoka hadi mwanzoni mwa mwaka huu alikuwa bado anacheza na alikuwa anagombea kuwa mchezaji bora wa nchi hiyo na alifanikiwa kupata taji hiyo!
Nadhani mengi ya Matamasha yake Sugu kwa sasa huyafanya kama Charity!
Conception ya uongozi katika nchi hii ni hovyo sana toka katika kuchagua na outcome za mbunge, watu hutegemea kuwa mtu anapochaguliwa uongozi huleta maendeleo kwa maana ya material dvt, huu ni uvivu mkubwa wa kufikiri. Juzi nimeangalia ITV kipindi cha ahadi ni deni na nikamwona Mbunge wa Bukene akijinadi namna alivyoleta maendeleo kwa kugawa mipira soksi n.k, katika hotuba hiyo yote haku acknowledge hata mara moja kuwa kuna kitu kinaitwa Mfuko wa Jimbo...
Maelezo yake yote hayo ilionekana kana kwamba pesa hata za kupauwa choo ilitoka mfukoni mwake! Uongo huu wa viongozi wetu unatokana na sisi kujitumbukiza katika wimbi la kudhani kuwa ni kazi ya Mbunge kutoa pesa mfukoni na kufanya shughuli za maendeleo katika jimbo husika!
Nashukuru katika kipindi hicho hicho Peter Msigwa nae alizungumza na kila mara alisema kuwa Fedha za mfuko wa jimbo zimetumika kufanya suala hili na lile!
Kazi kuu ya Mbunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali! Mkuu peremende mnazoletewa huko na kudhani ni maendeleo ni danganya toto na umajinuni wa kisiasa!
Kama alivyosema EMT hapo juu, There is more in life than politics!
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
'yamenikuta mzee mwenzangu mpaka najuta,,,,kiama chao ama changu,,,ama zao ama zangu,ukiishi kwa upanga na utakufa kwa upanga,,,,mungu ndo anapanga kila kitu kwa kila mtu,,,,heri nife maisha haya,,,dunia sio mbaya walimwengu ndo mabaya,wanakufatafata kila jambo,HAWAKAWII FULANI ANA HIV,WANATANGANZA HIVIHIVI,,,,,,'ENZI ZA MR II HIZO
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
Nadhani unamwonea mtoa hoja!
Muziki ni biashara kama biashara zingine!
Mtu anapokubali kuwa kiongozi anapaswa kuacha biashara zake zote na kuwawakilisha wananchi!
Ndio maanza tunashangaa mawaziri na wabunge wanaoendelea kufanya biashara na kuwasahau wananchi!
Tunawashangaa wanapoenda kwenye mabenki na kupata mikopo mikubwa mikubwa na kufungua biashara.
Watanzania tubadilike.
Wabunge waache biashara.
mawaziri waache biashara.
Acheni kung'ang'ania tenda! Waacheni wengine wafanye!
Ninyi mmekuwa viranja kuangalia ushindani wa haki.
Hata Sugu aache matamasha ya biashara, ili awawakilishe wananchi na wanamziki wote bila upendeleo.
Baada ya ubunge anaweza kuamua kurudi.
Ila kama ni matamasha ya kuelimisha jamii (sio biashara) hatuna haja ya kumpigia kelele.
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
haya ni mawazo finyu. wanasiasa wanashauriwa kuacha biashara kutokana na shughuli yenyewe kuwa na conflict of interest na majukumu sasa huyu anaimba ili achangie maendeleo jimboni sioni conflict of interest iko wapi hapa. fikiri kwanza kabla ya kutoa maoni yako. sasa unataka sugu akaibe ndio atekeleze ahadi zake? au yeye ana uwezo kama wa musa wa kulisha wana wa Israeli?
Na ziendelee kuwa ENZI ZAKE....
Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.