Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, Naibu DPP aliyefariki majuzi, Joseph Pande ni miongoni mwa watu wachache waliotumikishwa na kupanga Njama ya kuwafunga Jela Raia wema, Joseph Mbilinyi aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini pamoja na Emmanuel Masonga aliyekuwa Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa.
Washiriki wengine waliotumika kwenye dhuluma hiyo ni Amos Makalla aliyekuwa RC wa Mbeya , aliyedaiwa kuwa Mwandishi wa hukumu ile, akiandikia Hotelini, pamoja na RPC wa wakati ule wa Mkoa wa Mbeya kamanda Mpinga .
Bado tunaendelea kutoa wito kwa wenye dhamana za uongozi kuacha kukubali kutumikishwa kukandamiza raia wasio na hatia kwa lengo la kuwafurahisha wanaowatuma, Yupo Mungu ambaye hakubali uonevu .
Namalizia kwa kusema hivi, Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana , tutende haki , hii ni kwa sababu "KILA UBAYA UNAOTENDA UTALIPWA TU"
Washiriki wengine waliotumika kwenye dhuluma hiyo ni Amos Makalla aliyekuwa RC wa Mbeya , aliyedaiwa kuwa Mwandishi wa hukumu ile, akiandikia Hotelini, pamoja na RPC wa wakati ule wa Mkoa wa Mbeya kamanda Mpinga .
Bado tunaendelea kutoa wito kwa wenye dhamana za uongozi kuacha kukubali kutumikishwa kukandamiza raia wasio na hatia kwa lengo la kuwafurahisha wanaowatuma, Yupo Mungu ambaye hakubali uonevu .
Namalizia kwa kusema hivi, Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana , tutende haki , hii ni kwa sababu "KILA UBAYA UNAOTENDA UTALIPWA TU"