Sioni haja ya Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Haule a.k.a Sugu kuendelea kujitangaza kwa matamasha mbalimbali ya Muziki.
Ninadhani umefika wakati kwa yeye kujikita katika siasa na utekelezaji wa ahadi zake kwa wananchi wa Mbeya mjini.
Ushauri butu sana huu. Mbona hujawaambia madaktari, walimu, wafanyabiashara waliojazana CCM kuwa waachane na biashara au ualimu au qualifications zao kwa kuwa tu wamechaguliwa kuwa wabunge?. Nilitaka nisichangie hii thread lakini tunaambiwa kuwa unapoona upotoshaji ni lazima usahihishe. Reframe your thread to have a great thinkers spices.[/
QUOTE]
Wangapi uliwaona wanarudi kufundisha? Au hata kutibu? Jamani....
Ushauri butu sana huu. Mbona hujawaambia madaktari, walimu, wafanyabiashara waliojazana CCM kuwa waachane na biashara au ualimu au qualifications zao kwa kuwa tu wamechaguliwa kuwa wabunge?. Nilitaka nisichangie hii thread lakini tunaambiwa kuwa unapoona upotoshaji ni lazima usahihishe. Reframe your thread to have a great thinkers spices.
Nitajie wachache unaowajua wanaoendelea kufundisha na kutibu wagonjwa.
Si lazima kuzuia, unaweza kuathiri pia.
Nimeeeipenda hii,watu wengine vichwa maji muwe mnawaelimisha!SAFI SANANazani haujamwelewa sugu vizur, amesema sasa hapigi show tena isipokuwa atafanya kwa swala zima la maendeleo. Mfano wikend atakuwa Dar live akipiga show na pesa itakayopatikana itaenda katika mfuko wa maendeleo wa elimu jimbo la Mbeya mjini