Suala la ukusanyaji kodi na mapato.

Makene

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,475
282
Wanajanvi, haya ni maoni yangu kwamba Babu wa Samunge ana akili na ubunifu kuliko serikari yote ya ccm na wataalam wa uchumi.Babu alibuni kikombe na kuweka gharama ndogo ya malipo. Jambo hili limekuwa jepesi kwa kila mtu kulimudu, achilia mbali gharama zingine zinazohusika kama usafiri, chakula na malazi.Kama serikari yetu ingekuwa na akili wangepanga kodi ndogo kwa wazawa kiasi kwamba kila mtu angefanya bidii ya kulipa bila kuona uzito wa kufanya hivyo.Babu ameweza kukusanya mapato makubwa, kuiingizia serikari kodi kupitia njia za mbuga na kodi zingine. Yaani amelenga kitu kinachomvuta kila mmoja kwa gharama ndogo, akitazamia kupata faida kubwa ya baadaye.Serikari ya ccm na wataalam wetu hawana akili wanazidiwa na Babu wa Loliondo.
 
Back
Top Bottom