kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,289
- 8,284
Wale wanaopanda hizi daladala mwanzo safari zinapoanzia hawapati changamoto kubwa lakini usiombe upandie njiani, levo siti inatesa...! zinakupita hivi hivi unaziangalia.
Tatizo lako hutaki kuHamia CCM mkuu
Mtu kama huyo ukikutana nae live unamchapa makofiKuamia CCM imekua Fursa!!!...
ndo maana ake (utani lakin)Kuamia CCM imekua Fursa!!!...
Bwashee kesho shughuli inaanza!Wakifungua shule sekondari na praimari ndio patachimbika kabisaaa
Zunguka naloWale wanaopanda hizi daladala mwanzo safari zinapoanzia hawapati changamoto kubwa lakini usiombe upandie njiani, levo siti inatesa...! zinakupita hivi hivi unaziangalia
Wale wanaopanda hizi daladala mwanzo safari zinapoanzia hawapati changamoto kubwa lakini usiombe upandie njiani, levo siti inatesa...! zinakupita hivi hivi unaziangalia
Acha kabisa... ndo tutabung'aa kituoni daladala zote zitakuwa full levo siti....maweeeeeWakifungua shule sekondari na praimari ndio patachimbika kabisaaa
Inategemea wewe upo wapi? Suppose upo mwenge, sasa ndugu uzunguke kwenda tegeta halafu ndo upindue kuelekea k'koo si utachakaa ndani ya daladalaZunguka nalo
Utajisikiaje jamaa uliyesimama nae kazunguka nalo karudi we bado upo kituoni kisha anakupungia mkonoInategemea wewe upo wapi? Suppose upo mwenge, sasa ndugu uzunguke kwenda tegeta halafu ndo upindue kuelekea k'koo si utachakaa ndani ya daladala