Suala la kuwa na imani tofauti linapotatiza taasisi ya ndoa

Thrd kama hii ndo inaonyesha upuuzi wa dini na udhaifu wa akili ya waafrika tulio wengi. Tunaamini dini ni muhimu kuliko hata kabila. Umezaliwa na kabila na siyo dini. Kama unaweza kuoa kabila jingine, iweje ushindwe kuoa dini nyingine. Yaani bado tunaishi kwa tumaini la maisha bora mbinguni badala ya maisha ya duniani. Hapo ndo utaona hata viongozi wa dini wakijiona ni muhimu sana ktk maisha yetu.

Nonsense!!
 
duh Mkuu Pdidy umegonga ikulu. mimi hili tatizo limenitokea mwenyewe. sijafunga ndoa na huyu binti ila nimezaa naye mtoto mmoja na naishi naye, awali alikuwa kanisa moja na mimi yaani lutherani mara akaamua kuokoka anasali kwa mtume na nabii mwingira. ooh hapo ndio kasheshe ikaanza. kubatiza mtoto ilikuwa ni ugomvi anasema haamini huko kwa kubatiza watoto ilibidi nitumie ubaba kubatiza mtoto, imekuja sasa suala la kufunga ndoa naambiwa niende tukafunge ndoa kwa nabii na mtume mwingira kwa kuwa huko peke yake ndio kuna ndoa za ukweli,tumebishana hapo mpaka ndoa iliyokuwa si harali imevunjika. kwa hiyo naunga hoja ya Pdidy kwa mikono yoote miwili tuwe waangalifu jamani na dini za wachumba wetu.
Pole saana mkuuu.
 
Mimi ni mfuasi wa dini ya kikristo nisiye na msimamo mkali! Najiita Mkristo simply nilizaliwa na wazazi whom wote walikuwa Wakristo,wakifuata misingi ya Kanisa la Kilutheri! Nimebatizwa nikiwa mtoto,nimepata Kipaimara na kushiriki sakramenti anuai kwa taratibu ya imani(niliyokulia)

Mama Bhooke ni mfuasi wa dini ya Kiisilamu asiye na msimamo mkali as well akizaliwa na then babamkwe whom ni Muslim na mama ambaye alikuwa Mkristu ila akabadili kumfuata Mumewe!

Katika uvulana hatimaye ujana nimedate sana (kwa kiwango changu) na mabinti wa dini niliyokuzwa nayo kwa kuaminishwa kwamba hawa ndio wenye dini safi na blah blah za kutosha,Mama Bhooke wangu naye kwa wakati wake amedate Muslim boys kwa kiwango chake!

Kila mmoja kakulia kwenye malezi,makuzi,mazingira tofauti kimalezi,ukafika wasaa wa kutafuta wenza wa kumalizia utu uzima kwa nyakati tofauti...tukameet incidentally...tukaheshimiana,tukawa marafiki,tukapendana,tukawa wapenzi na hatimaye.....

Mwanzoni ilileta shida kidogo(kwa watu wa pembeni) ila tulikaa chini na bi dada tukajiuliza ni nini tunataka...kwa sauti moja tukakubaliana kwamba ni familia yenye upendo na vikorombwezo vyake so weve nothing to do with Islamic as well as Ukristu so far sio taasisi ya dini tunaiunda...Since there we are happy always!
God bless you
 
Daah
Jambo hili lilisababisha kukaa muda wa miaka 6 kwenye uchumba bila kufunga ndoa.
Ila namshukuru Mungu baada ya sarakasi nyingi za mashemeji binti alikibaliana na mimi na sasa ni muumini mzuri tu wa imani yangu mwaka wa 8 huu ndoani.
 
Wanawake wa kiislam ni wazuri na wana maadili kuliko wa kikirsto! Huo ni ukweli usopingika!
Ndio maana wakrsto wengi wanawakimbilia dada zetu!!
Unaumwa wewe Amber rutty ana maadili?
Menina ana maadili?
 
Ni mwanamke gani wa kiislam utamkuta na kitambi? Exceptions zipo, lakini ni wachache na vitambi vyao ni kutokana na miili yao(natural)
Wanawake wengi wa kikristo wana vitambi kutokana na kunywa pombe na minyama haram kama nguruwe!
Wanawake wa Kiislam wanajiheshimu, huwezi kumkuta amekaa baa, na kwenye sehemu za ajabu ajabu kama wanawake wa kikristo.
Wanawake wa kiislam wana ngozi nuzuri na murua, kwani muda wote inatiwa nakshi, inasitiriwa vizuri kwa ijabu na baibui! Wanawake wa kikristo muda wote wako waazi!!
Puuuumbavu hawahawa waliojazana ma bar ndio wanajistiri?
Nguruwe usije wahi rudia kumsema tena tena ukome kabisa
 
Hivi mkiangalia matendo ya kina Askofu Pengo na Sheikh Alhad Musa bado mnaamini kuna dini?

Poleni sana Dini ni deal LA wajanja wajanja wachache, at least uamini tu Yesu anaokoa ni huyu tu na siyo dini yoyote ile.
 
Kwani ndg zangu dini ni nnmajibu yatakuwa ni mani ok tunaamini katika nini jibu ni uwepo wa mungu na maisha ya milele je zote wakristo tunaamini hivyo ?kama ndvyo tunayo safarini moja ya kuishi maisha mapya baada ya kifo, lengo ni moja sasa iweje tuwekeane masharti ya kuonana? Ulishaona wapi maandishi yakiwabagua au yakibagua dini fulani kuwa so ya MUNGU ? Acha vijana waoane tu awe mkatoliki au msabato oaaaaa
 
Si unaona msivyo na maadili? Hebu angalia matusi unayoandika.
Biblia inatuambia hivi tusimjibu mjinga kulingana na ujinga wake asije akajiona mwerevu!

Sasa wewe umeandika ushubwada unategemea nikuweke kiporo ala! Kina amber rutty hawa wamefungishwa na ndoa kabisa na msheikh ubwabwa ndo wana maadili?
Wema sepetu?

We vipi bwana waislamu na jini lenu allah wa hovyo tu nyie ndio maana mtume wenu alibaka binti wa miaka tisa
 
Hili suala kama halijakugusa kwenye jamii au maisha yako... hauwezi kulielewa, lakini ni nyeti na muhim mno... Unapotaka kuoa zingatia na imani yako, majuto ni mjukuu...
muslim-family-at-eid.jpg

Kujadili dini ni mojawapo ya mijadala inayokwepwa na baadhi ya wanajamii ili kuepusha shari na kudumisha amani. Lakini linapokuja swala mahusiano hususan pale watu wawili wenye imani tofauti za kidini wanapotaka kuoana, unaweza kuzuka mjadala mzito miongoni mwa ndugu na jamaa wa wapenzi hao na wakati mwingine hata marafiki hutokea kupinga muunganiko huo.

Ninao mfano unaonihusu. Mdogo wangu anayenifuatia kuzaliwa alipata mchumba (mume) mwenye imani tofauti na imani yetu, jambo hilo lilizusha mtafaruku katika familia yetu kila mmoja akisema lake. Ilitokea tu mimi na baadhi ya ndugu zangu akiwemo baba tuliafiki ule muunganiko wao na ndoa ikafungwa na sasa ndoa yao ni imara na imetimiza miaka tisa mwaka huu wakiwa na watoto watatu.

Ukweli ni kwamba jambo hili limekuwa likileta mtafaruku katika baadhi ya familia na wakati mwingine familia hujikuta ikisambaratika hasa pale ambapo familia moja inashindwa kukubali utashi wa mtoto wao kuolewa au kuoa mtu mwenye imani tofauti na mara nyingi hii hutokea katika familia zenye msimamo mkali wa kidini. Kama inavyofahamika mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Pale ambapo penzi linapochipua hufunika imani zetu kiasi cha kujikuta wakati mwingine tunazisaliti imani hizo ambazo hata hivyo baadhi yetu hazikuwa utashi wetu bali tu tumejikuta tukiwa humo kwa sababu ni imani ambazo tumezaliwa na kukuta wazazi wetu wakiwa ni wafuasi wa imani hizo.
family-praying.jpg

Huu ni mtihani mgumu sana kwetu na mara nyingi waathirika wa mtihani huu wengi wao ni wanawake na watoto ukilinganisha na wanaume. Wakati mwingine huwa najiuliza inakuwaje mtu anampata mpenzi anayempeda sana na mwenye sifa azitakazo lakini anashindwa kufunga naye ndoa kwa sababu ya kuwa na imani tofauti? Lakini pia wapo ambao wanalazimika kufunga ndoa na wapenzi wao sio kwa sababu wamependana, bali ni kwa sababu tu imani zao zinafanana!

Kuna wanawake wengi sana wa kiasi cha kutosha wanalazimika kuishi katika ndoa ngumu kwa sababu ya imani zao, kilichowavuta kuingia katika muunganiko huo ni imani zao lakini sio upendo. Lazima tukubali kwamba mapenzi ni kitu kingine na imani ni kitu kingine. Kuingia katika ndoa kwa kigezo cha imani kunakuwa na changamoto zake ambazo mara nyingi hazina matokeao mazuri.

Naamini hata humu JF wapo ambao wamewahi kukabiliana na mtihani huu au wako katika hati hati ya kukabiliana na mtihani huu. Hebu tupeane uzoefu juu ya jambo hili linalowatatiza wengi.

Swali: Iwapo wewe ni single, Je uko tayari kufunga ndoa na mtu mwenye imani tofauti na imani yako? Je umejiandaaje kukabiliana na changamoto za wazazi, ndugu, marafiki na jamii kwa ujumla watakapopinga muunganiko wenu ?

Nisingependa mjadala huu uwe ni wa kidini.

Nadhani mmenielewa.........
 
Hili suala kama halijakugusa kwenye jamii au maisha yako... hauwezi kulielewa, lakini ni nyeti na muhim mno... Unapotaka kuoa zingatia na imani yako, majuto ni mjukuu...
Kama bado upo naomba ufafanuzi nikimaanisha unielimishe faida yake na hasara zake.
Tusikake tu kutishana maaana binadamu wa siku hizi sio kabisa
 
Back
Top Bottom