permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 10,026
- 11,219
Uko sawalakini binti Mwislamu anakatazwa kuolewa na mwanaume Mkristo. Au nimekosea jamani?
Uko sawalakini binti Mwislamu anakatazwa kuolewa na mwanaume Mkristo. Au nimekosea jamani?
tatizo hajui hilo ukristo madhehebu hayana tatizo kabisa yupo yupo tu huyo inawezekana ni mkristo jina huyoMkuu hapa hakunaga shida hata chembe...haya madhehebu ni ndg kabisa haya.
watoto wa kike siku zote wanyenyekevu ukiweza kuishi nao vzr,mke wangu muislam mimi mkristo,hakuwa na shida wakati nataka kumuoa ila baba mkwe ndiye alikuwa anakazana nibadili dini lasivyo mke simpati,tumesumbuanaaaa mwishowe nikamwambia hapo mwanao alipo anamimba yangu miezi minne sasahivi......hapo ndio nilimkata maini kabisa,mkwe wangu ninaye ndani saivi na tunaishi vizuri bila tatizo lolote,na tumempatia wajukuu wawili,
Kujadili dini ni mojawapo ya mijadala inayokwepwa na baadhi ya wanajamii ili kuepusha shari na kudumisha amani. Lakini linapokuja swala mahusiano hususan pale watu wawili wenye imani tofauti za kidini wanapotaka kuoana, unaweza kuzuka mjadala mzito miongoni mwa ndugu na jamaa wa wapenzi hao na wakati mwingine hata marafiki hutokea kupinga muunganiko huo.
Ninao mfano unaonihusu. Mdogo wangu anayenifuatia kuzaliwa alipata mchumba (mume) mwenye imani tofauti na imani yetu, jambo hilo lilizusha mtafaruku katika familia yetu kila mmoja akisema lake. Ilitokea tu mimi na baadhi ya ndugu zangu akiwemo baba tuliafiki ule muunganiko wao na ndoa ikafungwa na sasa ndoa yao ni imara na imetimiza miaka tisa mwaka huu wakiwa na watoto watatu.
Ukweli ni kwamba jambo hili limekuwa likileta mtafaruku katika baadhi ya familia na wakati mwingine familia hujikuta ikisambaratika hasa pale ambapo familia moja inashindwa kukubali utashi wa mtoto wao kuolewa au kuoa mtu mwenye imani tofauti na mara nyingi hii hutokea katika familia zenye msimamo mkali wa kidini. Kama inavyofahamika mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Pale ambapo penzi linapochipua hufunika imani zetu kiasi cha kujikuta wakati mwingine tunazisaliti imani hizo ambazo hata hivyo baadhi yetu hazikuwa utashi wetu bali tu tumejikuta tukiwa humo kwa sababu ni imani ambazo tumezaliwa na kukuta wazazi wetu wakiwa ni wafuasi wa imani hizo.
Huu ni mtihani mgumu sana kwetu na mara nyingi waathirika wa mtihani huu wengi wao ni wanawake na watoto ukilinganisha na wanaume. Wakati mwingine huwa najiuliza inakuwaje mtu anampata mpenzi anayempeda sana na mwenye sifa azitakazo lakini anashindwa kufunga naye ndoa kwa sababu ya kuwa na imani tofauti? Lakini pia wapo ambao wanalazimika kufunga ndoa na wapenzi wao sio kwa sababu wamependana, bali ni kwa sababu tu imani zao zinafanana !
Kuna wanawake wengi sana wa kiasi cha kutosha wanalazimika kuishi katika ndoa ngumu kwa sababu ya imani zao, kilichowavuta kuingia katika muunganiko huo ni imani zao lakini sio upendo. Lazima tukubali kwamba mapenzi ni kitu kingine na imani ni kitu kingine. Kuingia katika ndoa kwa kigezo cha imani kunakuwa na changamoto zake ambazo mara nyingi hazina matokeao mazuri.
Naamini hata humu JF wapo ambao wamewahi kukabiliana na mtihani huu au wako katika hati hati ya kukabiliana na mtihani huu. Hebu tupeane uzoefu juu ya jambo hili linalowatatiza wengi.
Swali: Iwapo wewe ni single, Je uko tayari kufunga ndoa na mtu mwenye imani tofauti na imani yako? Je umejiandaaje kukabiliana na changamoto za wazazi, ndugu, marafiki na jamii kwa ujumla watakapopinga muunganiko wenu ?
Nisingependa mjadala huu uwe ni wa kidini.
Nadhani mmenielewa.........
Hata wangefunga kanisani bado ni maqafir!Wote ni makafiri, hakuna mwenye dini hapo. Ndoa ilifungwa msikitini au kanisani? Najua haikufungwa popote pengine ni ya kiserikali. Wanapohitaji msaada au ushauri wa kiroho wanaenda wapi?
HahahaYaani eti nianze tu kufunga ndoa na jini la kiislamu???? Haiwezekani
Nakubaliana na wewe, kwa wawili wapendanao dini inaweza isiwe na nafasi lakini inaweza kuwa na nafasi tena kubwa kwenye issue ya uimara wa familia husika - mfano, watoto watafuata imani ya baba au mama? nani atahamua ikiwa kila mmoja atataka wafuate imani yake?Dini haina nafasi kwa wapendanao
Wote ni makafiri, hakuna mwenye dini hapo. Ndoa ilifungwa msikitini au kanisani? Najua haikufungwa popote pengine ni ya kiserikali. Wanapohitaji msaada au ushauri wa kiroho wanaenda wapi?
Ninamaanisha hawakiamini na kuishi kadri dini zao zinavyoelekeza. Ukristo unafundisha "..msifungiwe nira na wasioamini..." Najua hakuna kiongozi wa kikristo atakayefungisha ndoa ya watu wa dini tofauti kanisani kwa kuzingatia hilo. Hivyo ndoa kati yao ni uasi kwa agizo hilo. Naamini kwa upande wa pili ndivyo ilivyo pia. Swala la amani kati yao halimaanishi kuwa ni matokeo ya ucha Mungu.Kafiri ndo mtu wa aina gani mkuu??!!!!,binafsi mimi pia ni zao la ndoa baina ya mamaangu mkristo na babaangu muislam na ndoa ilifungwa kanisani,nilichokishuhudia kwa kipindi chote cha maisha yao ni Upendo wa dhati, utofauti wa dini haukuwa chochote katika maisha yao na mpaka kwetu watoto (tulichagua kusali kanisani) it never occured hata kufikiria utofauti wa dini ya wazazi wetu
Mkuu nakubaliana na wewe kwamba suala hili ni nyeti,na ni kweli pia kwamba limeleta maumivu mengi kwenye familia nyingi na hata wakati mwingine utengano kati ya watoto na wazazi.
Kujadili dini ni mojawapo ya mijadala inayokwepwa na baadhi ya wanajamii ili kuepusha shari na kudumisha amani. Lakini linapokuja swala mahusiano hususan pale watu wawili wenye imani tofauti za kidini wanapotaka kuoana, unaweza kuzuka mjadala mzito miongoni mwa ndugu na jamaa wa wapenzi hao na wakati mwingine hata marafiki hutokea kupinga muunganiko huo.
Ninao mfano unaonihusu. Mdogo wangu anayenifuatia kuzaliwa alipata mchumba (mume) mwenye imani tofauti na imani yetu, jambo hilo lilizusha mtafaruku katika familia yetu kila mmoja akisema lake. Ilitokea tu mimi na baadhi ya ndugu zangu akiwemo baba tuliafiki ule muunganiko wao na ndoa ikafungwa na sasa ndoa yao ni imara na imetimiza miaka tisa mwaka huu wakiwa na watoto watatu.
Ukweli ni kwamba jambo hili limekuwa likileta mtafaruku katika baadhi ya familia na wakati mwingine familia hujikuta ikisambaratika hasa pale ambapo familia moja inashindwa kukubali utashi wa mtoto wao kuolewa au kuoa mtu mwenye imani tofauti na mara nyingi hii hutokea katika familia zenye msimamo mkali wa kidini. Kama inavyofahamika mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Pale ambapo penzi linapochipua hufunika imani zetu kiasi cha kujikuta wakati mwingine tunazisaliti imani hizo ambazo hata hivyo baadhi yetu hazikuwa utashi wetu bali tu tumejikuta tukiwa humo kwa sababu ni imani ambazo tumezaliwa na kukuta wazazi wetu wakiwa ni wafuasi wa imani hizo.
Huu ni mtihani mgumu sana kwetu na mara nyingi waathirika wa mtihani huu wengi wao ni wanawake na watoto ukilinganisha na wanaume. Wakati mwingine huwa najiuliza inakuwaje mtu anampata mpenzi anayempeda sana na mwenye sifa azitakazo lakini anashindwa kufunga naye ndoa kwa sababu ya kuwa na imani tofauti? Lakini pia wapo ambao wanalazimika kufunga ndoa na wapenzi wao sio kwa sababu wamependana, bali ni kwa sababu tu imani zao zinafanana !
Kuna wanawake wengi sana wa kiasi cha kutosha wanalazimika kuishi katika ndoa ngumu kwa sababu ya imani zao, kilichowavuta kuingia katika muunganiko huo ni imani zao lakini sio upendo. Lazima tukubali kwamba mapenzi ni kitu kingine na imani ni kitu kingine. Kuingia katika ndoa kwa kigezo cha imani kunakuwa na changamoto zake ambazo mara nyingi hazina matokeao mazuri.
Naamini hata humu JF wapo ambao wamewahi kukabiliana na mtihani huu au wako katika hati hati ya kukabiliana na mtihani huu. Hebu tupeane uzoefu juu ya jambo hili linalowatatiza wengi.
Swali: Iwapo wewe ni single, Je uko tayari kufunga ndoa na mtu mwenye imani tofauti na imani yako? Je umejiandaaje kukabiliana na changamoto za wazazi, ndugu, marafiki na jamii kwa ujumla watakapopinga muunganiko wenu ?
Nisingependa mjadala huu uwe ni wa kidini.
Nadhani mmenielewa.........
Kiukweli zamani watu hawakuwa na imani kali kama kipindi hichi. Kwa sasa imani zetu zimekuwa kama siasa. Si ajabu kukuta watu wa dini tofauti wakitoana povu kisa kuangalia weakness za dini nyingine, kulinganisha vitabu vitakatifu na kwa kuwa kila mtu kwa sasa hasa upande fulani kusoma sana biblia, hujikuta wakiona kuwa dini yao ndo ya kweli na yao kuonekana kuwa ni mkusanyiko wa vitabu na imeandikwa na watu tu huku yao ikionekana kuwa imeshushwa na mungu na hivyo haina maandiko toka kwa mzungu.
Kujadili dini ni mojawapo ya mijadala inayokwepwa na baadhi ya wanajamii ili kuepusha shari na kudumisha amani. Lakini linapokuja swala mahusiano hususan pale watu wawili wenye imani tofauti za kidini wanapotaka kuoana, unaweza kuzuka mjadala mzito miongoni mwa ndugu na jamaa wa wapenzi hao na wakati mwingine hata marafiki hutokea kupinga muunganiko huo.
Ninao mfano unaonihusu. Mdogo wangu anayenifuatia kuzaliwa alipata mchumba (mume) mwenye imani tofauti na imani yetu, jambo hilo lilizusha mtafaruku katika familia yetu kila mmoja akisema lake. Ilitokea tu mimi na baadhi ya ndugu zangu akiwemo baba tuliafiki ule muunganiko wao na ndoa ikafungwa na sasa ndoa yao ni imara na imetimiza miaka tisa mwaka huu wakiwa na watoto watatu.
Ukweli ni kwamba jambo hili limekuwa likileta mtafaruku katika baadhi ya familia na wakati mwingine familia hujikuta ikisambaratika hasa pale ambapo familia moja inashindwa kukubali utashi wa mtoto wao kuolewa au kuoa mtu mwenye imani tofauti na mara nyingi hii hutokea katika familia zenye msimamo mkali wa kidini. Kama inavyofahamika mapenzi ni kitu cha ajabu sana. Pale ambapo penzi linapochipua hufunika imani zetu kiasi cha kujikuta wakati mwingine tunazisaliti imani hizo ambazo hata hivyo baadhi yetu hazikuwa utashi wetu bali tu tumejikuta tukiwa humo kwa sababu ni imani ambazo tumezaliwa na kukuta wazazi wetu wakiwa ni wafuasi wa imani hizo.
Huu ni mtihani mgumu sana kwetu na mara nyingi waathirika wa mtihani huu wengi wao ni wanawake na watoto ukilinganisha na wanaume. Wakati mwingine huwa najiuliza inakuwaje mtu anampata mpenzi anayempeda sana na mwenye sifa azitakazo lakini anashindwa kufunga naye ndoa kwa sababu ya kuwa na imani tofauti? Lakini pia wapo ambao wanalazimika kufunga ndoa na wapenzi wao sio kwa sababu wamependana, bali ni kwa sababu tu imani zao zinafanana !
Kuna wanawake wengi sana wa kiasi cha kutosha wanalazimika kuishi katika ndoa ngumu kwa sababu ya imani zao, kilichowavuta kuingia katika muunganiko huo ni imani zao lakini sio upendo. Lazima tukubali kwamba mapenzi ni kitu kingine na imani ni kitu kingine. Kuingia katika ndoa kwa kigezo cha imani kunakuwa na changamoto zake ambazo mara nyingi hazina matokeao mazuri.
Naamini hata humu JF wapo ambao wamewahi kukabiliana na mtihani huu au wako katika hati hati ya kukabiliana na mtihani huu. Hebu tupeane uzoefu juu ya jambo hili linalowatatiza wengi.
Swali: Iwapo wewe ni single, Je uko tayari kufunga ndoa na mtu mwenye imani tofauti na imani yako? Je umejiandaaje kukabiliana na changamoto za wazazi, ndugu, marafiki na jamii kwa ujumla watakapopinga muunganiko wenu ?
Nisingependa mjadala huu uwe ni wa kidini.
Nadhani mmenielewa.........
Mkuu Siku hizi una amini uwepo wa Mungu?Katika mahusiano, asilimia kubwa ya watu, kwao dini ni kipengele cha kutazama sana. Mimi binafsi ninapinga mtazamo huo. Dini hazikupaswa kutenganisha watu wenye mahusiano kutofunga ndoa. Kuna watu wanaweza kuwa na dini tofauti na wakaishi vyema pamoja.
Dini zinalazimisha watu kuwa kwenye dini moja ili kuhakikisha zinapata wafuasi. Lakini kiuhalisia, ndoa haiitaji dini moja ili kufungwa. Mungu hana dini, na unaweza kuwa na dini tofauti lakini bado ukawa unajiheshimu, muaminifu na ukawa na mapenzi ya dhati kwa mwenza wako.
Hahaha !Mkuu Siku hizi una amini uwepo wa Mungu?
Wewe umechagua kumfata baba au mama? hii haijaleta shida?mi sikubaliani na wewe hata kidogo,hizo ni hadithi tu za kufikirika,mi baba yangu ni muislam na mama yangu ni mkristo na ni mdini kweli kweli na wapo kwenye ndoa yao zaidi ya miaka 40....kwa ushahidi huu wa wazazi wangu unafikiri mi ntakuunga mkono?