EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Kama lengo ni kupunguza msongamano kwana hapo mabasi ya mikoani yakishusha abiria yanalala hapo stand??Ila inabidi pawe na mpangilio, lengo ni kuondoa misongamano ya mabasi hayo makubwa, hata SGR lengo ni ili malorry yasije Dar, yachukulie mizogo bandari kavu huko Morogoro ikiwezekana
Lengo wanataka ushuru ndio maana tunasema mabasi wakitoka mkoani yaingie stand na kuondoka na abiria wanaenda linapoelekea basi na kuwaacha waliomaliza safari.