Suala la Karim Mandonga: Vyombo vya habari vimechemka

MAKA Jr

JF-Expert Member
Nov 17, 2016
256
185
Popote mlipo, vyombo vya Habari na waandishi wote wa Habari nchini hamjatumia weledi katika kuripoti Habari ya Mandonga. Hamjatusaidia na wala hamjatupa elimu ya kutosha katika hili. Mmekuwa kama kasuku. Lakini ni kawaida yenu. Imefika hatua sasa, kila mtu anataka kuwa hodari wa kuelezea jinsi ya kufanikiwa katika maisha.

Hivi ni chombo gani cha Habari kimemwambia Mandonga ajifunze kujenga misingi ya maisha, na asitegemee hizi ngekewa ambazo nyingi ni za muda mfupi? Kwa nini hammwambii kuwa hayo makampuni yatamtumia na kisha yakiona haingizi pesa yatamwacha? Media za Kitanzania sijui ni lini mtabadilika. Ndio maana watu tulishajikita kuangalia BBC na media nyingine makini kwa sababu ya huu 'utopolo' wenu.

Ngoja niwape mifano.
Hakuna asiyejua kuwa mapeperi (makampuni) yanaweza kukutumia kwa faida zao. Na wakati huna manufaa kwao, watakupa kama gunia lililooza la viazi.
Wako wapi hawa?
1. Dr. Shika (Marehemu. Alitumiwa na kuachwa)
2. Pierre Liquid (haifai tena kwao)
3. Mzee Mpili (haifai tena kwao)
4. Karim Mandonga (ana manufaa kwao leo, lakini baadae atakuwa hafai).

Sasa, mbona hamsemi kuhusu ili? Mbona hamtaki kutufundisha tuwe na misingi imara ili tusijekutumiwa na kuachwa kama wengine?

Hakika vyombo vya Habari na waandishi wa Habari hamjawa sawa katika kutoa Habari hii.
Badilikeni basi. Nyie mna nguvu. Mmshauri Mandonga na wengine watakaofuata kuwa wajenge misingi ya maisha toka chini. Msiwe kama kasuku kila siku mnamsifia.
 
Popote mlipo, vyombo vya Habari na waandishi wote wa Habari nchini hamjatumia weledi katika kuripoti Habari ya Mandonga. Hamjatusaidia na wala hamjatupa elimu ya kutosha katika hili. Mmekuwa kama kasuku. Lakini ni kawaida yenu. Imefika hatua sasa, kila mtu anataka kuwa hodari wa kuelezea jinsi ya kufanikiwa katika maisha.

Hivi ni chombo gani cha Habari kimemwambia Mandonga ajifunze kujenga misingi ya maisha, na asitegemee hizi ngekewa ambazo nyingi ni za muda mfupi? Kwa nini hammwambii kuwa hayo makampuni yatamtumia na kisha yakiona haingizi pesa yatamwacha? Media za Kitanzania sijui ni lini mtabadilika. Ndio maana watu tulishajikita kuangalia BBC na media nyingine makini kwa sababu ya huu 'utopolo' wenu.

Ngoja niwape mifano.
Hakuna asiyejua kuwa mapeperi (makampuni) yanaweza kukutumia kwa faida zao. Na wakati huna manufaa kwao, watakupa kama gunia lililooza la viazi.
Wako wapi hawa?
1. Dr. Shika (Marehemu. Alitumiwa na kuachwa)
2. Pierre Liquid (haifai tena kwao)
3. Mzee Mpili (haifai tena kwao)
4. Karim Mandonga (ana manufaa kwao leo, lakini baadae atakuwa hafai).

Sasa, mbona hamsemi kuhusu ili? Mbona hamtaki kutufundisha tuwe na misingi imara ili tusijekutumiwa na kuachwa kama wengine?

Hakika vyombo vya Habari na waandishi wa Habari hamjawa sawa katika kutoa Habari hii.
Badilikeni basi. Nyie mna nguvu. Mmshauri Mandonga na wengine watakaofuata kuwa wajenge misingi ya maisha toka chini. Msiwe kama kasuku kila siku mnamsifia.
Kazi ya kubaki kileleni ni yake. Mandonga inabidi aitumie hii nafasi vizuri na abaki kileleni. Kwanza yule inaonekana ana kipaji cha ukomedi. Pia awe consistent kwenye ngumi. Ndo atabaki kwenye picha kwa muda mrefu.
 
Kazi ya kubaki kileleni ni yake. Mandonga inabidi aitumie hii nafasi vizuri na abaki kileleni. Kwanza yule inaonekana ana kipaji cha ukomedi. Pia awe consistent kwenye ngumi. Ndo atabaki kwenye picha kwa muda mrefu.
Na awe consistent kwenye kupigwa. Kuna mchezaji mbrazil aliwahi kusajiliwa timu zaidi ya 10 na zote hakucheza Mechi yaaahindano hata moja.
 
Kabla ya kujifanyia promo pengine hakuna ambaye angefuatilia mapambano yake. Hatafutwi sababu amepigwa tu, anatafutwa sababu amefanya marketing ya jina lake na limekuwa na thamani. Kwani yeye ni bondia wa kwanza kupigwa? Mbona wengine wanaopigwa wasiwe maarufu?
 
Kwani aliye mfanya mandonga kufahamika ni nani si Hawa Hawa watu wa media

Ko iwe Kazi yao tena kumwambia afanye nini asipotee, mandonga mwenyewe ndo Ana Kazi ya kujibakisha juu sio media na fedha akipata atumie vyema
 
Kwani aliye mfanya mandonga kufahamika ni nani si Hawa Hawa watu wa media

Ko iwe Kazi yao tena kumwambia afanye nini asipotee, mandonga mwenyewe ndo Ana Kazi ya kujibakisha juu sio media na fedha akipata atumie vyema
Na watu wa media wamemfata sababu kuna jambo alifanya likaonyesha huyu tukimfata fata tutapata pesa.
 
Popote mlipo, vyombo vya Habari na waandishi wote wa Habari nchini hamjatumia weledi katika kuripoti Habari ya Mandonga. Hamjatusaidia na wala hamjatupa elimu ya kutosha katika hili. Mmekuwa kama kasuku. Lakini ni kawaida yenu. Imefika hatua sasa, kila mtu anataka kuwa hodari wa kuelezea jinsi ya kufanikiwa katika maisha.

Hivi ni chombo gani cha Habari kimemwambia Mandonga ajifunze kujenga misingi ya maisha, na asitegemee hizi ngekewa ambazo nyingi ni za muda mfupi? Kwa nini hammwambii kuwa hayo makampuni yatamtumia na kisha yakiona haingizi pesa yatamwacha? Media za Kitanzania sijui ni lini mtabadilika. Ndio maana watu tulishajikita kuangalia BBC na media nyingine makini kwa sababu ya huu 'utopolo' wenu.

Ngoja niwape mifano.
Hakuna asiyejua kuwa mapeperi (makampuni) yanaweza kukutumia kwa faida zao. Na wakati huna manufaa kwao, watakupa kama gunia lililooza la viazi.
Wako wapi hawa?
1. Dr. Shika (Marehemu. Alitumiwa na kuachwa)
2. Pierre Liquid (haifai tena kwao)
3. Mzee Mpili (haifai tena kwao)
4. Karim Mandonga (ana manufaa kwao leo, lakini baadae atakuwa hafai).

Sasa, mbona hamsemi kuhusu ili? Mbona hamtaki kutufundisha tuwe na misingi imara ili tusijekutumiwa na kuachwa kama wengine?

Hakika vyombo vya Habari na waandishi wa Habari hamjawa sawa katika kutoa Habari hii.
Badilikeni basi. Nyie mna nguvu. Mmshauri Mandonga na wengine watakaofuata kuwa wajenge misingi ya maisha toka chini. Msiwe kama kasuku kila siku mnamsifia.
Kwa upande wangu naona mandonga anaichukulia tathnia ya ngumi kama maigizo na domo wakati ni action. Sikuwahi kumsiki huko nyuma cjuw kaibuka toka wapi,ajihadhari sana ngumi si maigizo.
 
Watanzania sahvi wanapenda maneno maneno mengi,uchiziuchizi ukifanya unatoboa
Watu,media ndiyo wanataka mambo haya....
Hao watangazaji,waandishi wa media tu wote wapiga kelele tu
Sema haya mambo ni upepo tu unaopita,kikubwa huyu mandonga sjui atumie nafasi yake vizuri syo kesho anaanza kulialia njaaaa

Ova
 
Back
Top Bottom