Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Wewe acha kulegea,Umeeelezea vzr Sana Kuna upande nakubaliana na we lakini
Mm naongelea zaidi Jamii inavyo mchukulia mtoto wakike na wakiume nintofauti kabisa Kuna wakat tunatakiwa kutoa usawa kwa wote Kama sasaiv Kuna janga la ushoga lakini jamii bado wamejikita kwa mtoto wakike peke Yake huyu wakiume wamemuacha lakini kwasasa mtot wakiume yupo kwenye hatari zaidi kuliko wakike matukio yamekuwa ni mengi ya ukatili kwa mtoto wakiume
Lengo kuu ni kuitaka Jamii iangalie kwa jicho la pili kuhusiana na elimu kwa watoto hasa madhara yanayo weza kujitokeza kwa miaka ya baadae wanaume wanaweza potea kabisa
Una hoja nzuri sana hao viazi mbatata wasikutoe kwenye reli.
