Suala la Gender

Suala la Gender

Sikia bro nimeongelea kwa upande wa gender jinsi gani ilivyo mtengeneza mwanaume na mwanamke we Leo ulivyo ni kwasababu ya Jamii ulio kulia wewe kwaio Kuna Mambo ambayo Jamii yako ukiyafanya we ni sawa yaani mwanaume Kuna vitu anaweza kuvifanya kutokana na Jamii yake na pia Kuna vitu mwanamke hawezi kuvifanya Kama mwanamke mfano jamiii fulan mwanamke hakutakiwa kuongea ambapo mwanaume anapo ongea na kufanya maamuzi kwaio kitu hiko kilimfanya mwanamke awe obdient kwa mwanaume

Obidient ya mwanamke Kwa mwanaume sio ishu ya kijamii hiyo ni ishu ya nature,

Kama Mnyama Kama nyani anajua tofauti za Jinsi ya kiume na jinsi ya kike utasema pia nyani ni sehemu ya jamii?

Istilahi hizo za kisomi zisikufanye ushindwe akili hata na wanyama.
Paka, mbwa, hata ng'ombe wanajua huyu ni mwanaume na huyu ni mwanamke, na anavyomchukulia mwanamke ni tofauti na anavyomchukulia mwanaume.

Kuna Nature na Culture hivi vitu unavichanganya.
 
Huyu akili yake ni ndogo, anapaswa abustiwe kidogo.
Siping mawazo yako vile unavyo muona mwanamke alivyo yaani matiti ni biological make-up huwezi kumbadilisha ivyo ivyo kwa mwanaume alivyo yeye Hana matiti ni biological make-up kwaio hawezi kubadilika at ufanyej ilo halipingiki lakin unapokuja kwenye SWALA la gender ni tofauti kabisa gender unaweza mbadilisha mwanaume au mwanamke kwenye culture tu na sio ki biological kwasababu mfano halisi now days tuna wanawake ambao wanafanya kazi za ufundi cheleani lakini pia Kuna wanaume now ni mapc lakini zamani pc ilikuwa inachukuliwa Kama kazi ya kike na ufundi ilikuwa inachukuliwa Kama kazi ya kiume ndio maana nasemema Tena gender in social formed na sio biological Kama unaweza kuelewa Kati ya biological na social formed tunaweza kuelewana
 
Obidient ya mwanamke Kwa mwanaume sio ishu ya kijamii hiyo ni ishu ya nature,

Kama Mnyama Kama nyani anajua tofauti za Jinsi ya kiume na jinsi ya kike utasema pia nyani ni sehemu ya jamii?

Istilahi hizo za kisomi zisikufanye ushindwe akili hata na wanyama.
Paka, mbwa, hata ng'ombe wanajua huyu ni mwanaume na huyu ni mwanamke, na anavyomchukulia mwanamke ni tofauti na anavyomchukulia mwanaume.

Kuna Nature na Culture hivi vitu unavichanganya.
Na sipingani na ww na Kuna muda culture na narture vinashabiana

Psychologist walijadili Kati ya nurture and narture katika theory ya behaviorism na psychosocial theory
 
Gender ni nini ? Tupe faida.
Gender Socially constructed set of roles and
responsibilities associated with being girl and boy or
women and men, and in some cultures a third or
other gender.

Sex Biological characteristics (including genetics,
anatomy and physiology) that generally define
humans as female or male. Note that these biological
characteristics are not mutually exclusive; however,
there are individuals who possess both male and
female characteristics


tuelewane hapo kwaz
 
Sikia bro nimeongelea kwa upande wa gender jinsi gani ilivyo mtengeneza mwanaume na mwanamke we Leo ulivyo ni kwasababu ya Jamii ulio kulia wewe kwaio Kuna Mambo ambayo Jamii yako ukiyafanya we ni sawa yaani mwanaume Kuna vitu anaweza kuvifanya kutokana na Jamii yake na pia Kuna vitu mwanamke hawezi kuvifanya Kama mwanamke mfano jamiii fulan mwanamke hakutakiwa kuongea ambapo mwanaume anapo ongea na kufanya maamuzi kwaio kitu hiko kilimfanya mwanamke awe obdient kwa mwanaume
Unataka kusema ya kuwa kila linafonywa na jamii au kuonekana na jamii fulani kuwa ni sawa basi ni sawa tu kiuhalisia ?

Lengo lako nini kuandika kauli hii ? Maana yake hata mtoto wa kike akiiga tabia za kiume maadamu katika jamii yai wanao sawa basi ni sawa kiuhalisia au mtoto wa kiume akiwa shoga na jamii yake wakaona sawa basi kiuhalisia ni sawa ?

Uanaume ni jinsia yenye silika na majukumu yake kadhalika na mwanamke ni jinsia yenye silika yake. Haya ni maumbile.
 
Gender Socially constructed set of roles and
responsibilities associated with being girl and boy or
women and men, and in some cultures a third or
other gender.

Sex Biological characteristics (including genetics,
anatomy and physiology) that generally define
humans as female or male. Note that these biological
characteristics are not mutually exclusive; however,
there are individuals who possess both male and
female characteristics


tuelewane hapo kwaz
Unajua msingi wa definitions ni kwa muibu wa yule anaye utoa ?

Turudi katika uhalisia na kwenye asili, ushawahi kujiuliza kwanini kulikuwepo mitume ba manabii na jamii pia zilikuwepo ? Hapa sikupeleki kwenye dini bali ni ushughulishe tu akili yako. Jibu ni kuwa si kila linalo onwa na jamii fulani ni sawa basi ni sawa kweli, kwahiyo mitume wakaja kuzi reform jamii na kuziweka katika ubalisia na usawa.
 
Swa nakuelewa sio kila kitu kinachofanyika katika Jamii ni sawa vingine sio sawa mfano ukeketaji katika Jamii zingine ilikuwa ni saawa lakini kwa wengine sio sawa na at mwanaume kuwa na tabia za kike ina depends na yeye alivyo lelewa hau kitaalamu tuna seems mazingira Yana chochea Kuna kuwa na vichocheo ambavyo vinamfanya aige tabia izo

Kama vile mtot amekuwa katika mazingira ambayo Kuna wavuta bangi Kama vile Arusha kwaio tangu yupo mdogo ni anaona watu wanachokifanya katika Jamii yake kwaio yeye lazima at response kwasababu anaona ni kitu Cha kawaida Sana Cha yeye kufanya ivyo
 
Siping mawazo yako vile unavyo muona mwanamke alivyo yaani matiti ni biological make-up huwezi kumbadilisha ivyo ivyo kwa mwanaume alivyo yeye Hana matiti ni biological make-up kwaio hawezi kubadilika at ufanyej ilo halipingiki lakin unapokuja kwenye SWALA la gender ni tofauti kabisa gender unaweza mbadilisha mwanaume au mwanamke kwenye culture tu na sio ki biological kwasababu mfano halisi now days tuna wanawake ambao wanafanya kazi za ufundi cheleani lakini pia Kuna wanaume now ni mapc lakini zamani pc ilikuwa inachukuliwa Kama kazi ya kike na ufundi ilikuwa inachukuliwa Kama kazi ya kiume ndio maana nasemema Tena gender in social formed na sio biological Kama unaweza kuelewa Kati ya biological na social formed tunaweza kuelewana

Mkuu huenda unalengo zuri katika huu mjadala lakini Kwa lugha rahisi na upole.

Katika variable hizi yaani Jinsia (Sex) na Jinsi (Gender) lazima uangalie ipi ni Dependent variable na ipi ni independent Variable.

Jinsia(Sex) ni Independent Variable
jinsia (Gender ni Dependent Variable
Gender Inategemea Jinsia, lakini jinsia haitegemea Gender.

Jinsia ndio inayozalisha Jinsi,
Katika jinsia kuna jinsia yenye nguvu na jinsia dhaifu hii hupelekea jinsia yenye nguvu kuzalisha Gender yenye nguvu, na jinsia dhaifu kuzalisha Gender dhaifu.

Mwanamke kibaolojia, kisaikolojia (akili na tabia), kinguvu ni dhaifu ukilinganisha na Mwanaume. Ndio maana mwanaume katika ulimwengu anamajukumu makubwa kuliko mwanamke.

Alafu usije ukasema amepewa na jamii, hakuna siku jamii ilikaa kumpa majukumu mwanaume, hiyo imekutwa hivyohivyo na kumbuka mwanaume ndiye Jamii yaani Mtawala.

Ukisema siku hizi wanawake wanafanya majukumu ya kiume hivyo inafanya kuwe na USAWA wa Kihindi(Gender) baina yao, utakuwa unakosea, Kwa sababu mtu anapofanya kitu watu wanaangalia matokeo baada ya kitu kufanyika.

Mwanamke akifanya kazi za mwanaume, je anapata athari Hasi au chanya, jibu ni kuwa anapata athari Hasi, Kama vile kukomaa na kuharibika maumbile, kuchoka na kupoteza utu wake kama Mwanamke, na Kama ameolewa basi atashindwa baadhi ya majukumu ya kindoa, ndio unasikia mambo ya Mke kumpimia mumewe UNYUMBA.

Athari zingine ni Kuharibika Kwa mimba, Mabadiliko ya Hedhi,

Wanawake hawakuumbwa kufanya kazi nzito na zenye kuhitaji nguvu. Ndio maana hakuna USAWA wa kijenda.
 
Unajua msingi wa definitions ni kwa muibu wa yule anaye utoa ?

Turudi katika uhalisia na kwenye asili, ushawahi kujiuliza kwanini kulikuwepo mitume ba manabii na jamii pia zilikuwepo ? Hapa sikupeleki kwenye dini bali ni ushughulishe tu akili yako. Jibu ni kuwa si kila linalo onwa na jamii fulani ni sawa basi ni sawa kweli, kwahiyo mitume wakaja kuzi reform jamii na kuziweka katika ubalisia na usawa.
Sawa kwaio we unaona ni sawa kwa mtoto wa kike au wakiume kufika umr fulani hajui ata kufanya kazi yeyote?
 
Na sipingani na ww na Kuna muda culture na narture vinashabiana

Psychologist walijadili Kati ya nurture and narture katika theory ya behaviorism na psychosocial theory

Sasa achana na hao wanasaikolojia maana hata Mimi naweza jiita hivyo pia,
Tuje kwenye uhalisia, je wewe unaona Mwanaume na mwanamke ni Sawa katika kipengele cha Gender?
Kwa kutumia Akili yako ya kawaida.

Yaani wewe unapokaa na kuzungumza na wanawake, jinsi unavyowaona unafikiri wako Sawa na wewe Kwenye kufikiri, kutenda na kupokea matokeo?
 
Bla bla ndefu ila wewe ni feminist, na tena zaidi ni feminist mjinga. Wait a minute, jamii ilimfanya mwanaume kua kichwa sijui nini nini, JAMII NDIO ILIMUUMBA MWANADAMU HATA KUMPANGIA MAJUKUMU?!

Hoja yako kubwa mwanaume na mwanamke wako sawa, hivi wewe una akili kweli ?! Haujui wala kuona duality kwamba kuna kushoto na kuna kulia, kuna usiku na kuna mchana yani unataka kusema usiku uwe sawa na mchana ?! Hauoni umuhimu ma UTOFAUTI WA UUMBAJI ?!

Mwanamke kaumbwa na manyonyo wewe unayo manyonyo, je hauoni ya kwamba kwa kuumbwa tofauti mwanamke ana MAJUKUMU TOFAUTI ?!

Unataka uwe sawa na wanawake, je unaweza kuzaa ?! Unataka wanawake wawe sawa na wanaume je wanamudu kubeba zege, kwenda vitani nk, mwanamke kaumbwa kutombm.wa je nawewe tunaweza kukutomb.a ?

hawa watoto waliolelewa na masingle mothers wamejazwa maujinga sana vichwana kuamini.

Stupid femiminists can't stop to annoy me with their empty headed brains.
m babue mkuu, anashindwa kufanya marejeo hata kwenye vitabu vitakatifu
 
Mkuu huenda unalengo zuri katika huu mjadala lakini Kwa lugha rahisi na upole.

Katika variable hizi yaani Jinsia (Sex) na Jinsi (Gender) lazima uangalie ipi ni Dependent variable na ipi ni independent Variable.

Jinsia(Sex) ni Independent Variable
jinsia (Gender ni Dependent Variable
Gender Inategemea Jinsia, lakini jinsia haitegemea Gender.

Jinsia ndio inayozalisha Jinsi,
Katika jinsia kuna jinsia yenye nguvu na jinsia dhaifu hii hupelekea jinsia yenye nguvu kuzalisha Gender yenye nguvu, na jinsia dhaifu kuzalisha Gender dhaifu.

Mwanamke kibaolojia, kisaikolojia (akili na tabia), kinguvu ni dhaifu ukilinganisha na Mwanaume. Ndio maana mwanaume katika ulimwengu anamajukumu makubwa kuliko mwanamke.

Alafu usije ukasema amepewa na jamii, hakuna siku jamii ilikaa kumpa majukumu mwanaume, hiyo imekutwa hivyohivyo na kumbuka mwanaume ndiye Jamii yaani Mtawala.

Ukisema siku hizi wanawake wanafanya majukumu ya kiume hivyo inafanya kuwe na USAWA wa Kihindi(Gender) baina yao, utakuwa unakosea, Kwa sababu mtu anapofanya kitu watu wanaangalia matokeo baada ya kitu kufanyika.

Mwanamke akifanya kazi za mwanaume, je anapata athari Hasi au chanya, jibu ni kuwa anapata athari Hasi, Kama vile kukomaa na kuharibika maumbile, kuchoka na kupoteza utu wake kama Mwanamke, na Kama ameolewa basi atashindwa baadhi ya majukumu ya kindoa, ndio unasikia mambo ya Mke kumpimia mumewe UNYUMBA.

Athari zingine ni Kuharibika Kwa mimba, Mabadiliko ya Hedhi,

Wanawake hawakuumbwa kufanya kazi nzito na zenye kuhitaji nguvu. Ndio maana hakuna USAWA wa kijenda.
Umeeelezea vzr Sana Kuna upande nakubaliana na we lakini
Mm naongelea zaidi Jamii inavyo mchukulia mtoto wakike na wakiume nintofauti kabisa Kuna wakat tunatakiwa kutoa usawa kwa wote Kama sasaiv Kuna janga la ushoga lakini jamii bado wamejikita kwa mtoto wakike peke Yake huyu wakiume wamemuacha lakini kwasasa mtot wakiume yupo kwenye hatari zaidi kuliko wakike matukio yamekuwa ni mengi ya ukatili kwa mtoto wakiume
Lengo kuu ni kuitaka Jamii iangalie kwa jicho la pili kuhusiana na elimu kwa watoto hasa madhara yanayo weza kujitokeza kwa miaka ya baadae wanaume wanaweza potea kabisa
 
Sasa achana na hao wanasaikolojia maana hata Mimi naweza jiita hivyo pia,
Tuje kwenye uhalisia, je wewe unaona Mwanaume na mwanamke ni Sawa katika kipengele cha Gender?
Kwa kutumia Akili yako ya kawaida.

Yaani wewe unapokaa na kuzungumza na wanawake, jinsi unavyowaona unafikiri wako Sawa na wewe Kwenye kufikiri, kutenda na kupokea matokeo?
Hiyo ni hapana lakini uwez wakufikili kila mtu anao tofauti every person is unique kwaio at wanaume wengine uwezo wao wakufikili umepitwa na mwanamke
 
KAZI yoyote ndio hizo za Kupika ambazo mtu anajifunza siku mbili Mkuu?
Sio izo tu Ila mm Nina stick kwenye mgawanyo wa kazi mm nakaa na mtoto wa kike na wakiume lakini nime socialize kuwa Kama wakike ataosha vyombo bas wakiume afagie uwanja au afanye kazi yeyote ile
 
Umeeelezea vzr Sana Kuna upande nakubaliana na we lakini
Mm naongelea zaidi Jamii inavyo mchukulia mtoto wakike na wakiume nintofauti kabisa Kuna wakat tunatakiwa kutoa usawa kwa wote Kama sasaiv Kuna janga la ushoga lakini jamii bado wamejikita kwa mtoto wakike peke Yake huyu wakiume wamemuacha lakini kwasasa mtot wakiume yupo kwenye hatari zaidi kuliko wakike matukio yamekuwa ni mengi ya ukatili kwa mtoto wakiume
Lengo kuu ni kuitaka Jamii iangalie kwa jicho la pili kuhusiana na elimu kwa watoto hasa madhara yanayo weza kujitokeza kwa miaka ya baadae wanaume wanaweza potea kabisa

Jamii imejikita kumlinda Mtoto wa kike Kwa sababu kimsingi yeye(mwanamke) Hana uwezo wa kujilinda mwenyewe.

Mwanaume ndiye mlinzi WA jamii hivyo huwezi mlinda Mlinzi.

Kuwepo Kwa ushoga ni matokeo ya hayo mambo ya usawa uliokuwa unauzungumzia Kwa kudhani kuwa Miiko, Mila na desturi za jamii haziposawa.

Mwanaume akiamua ku-take Role Kama Mwanaume huwezi sikia hizo habari za ushoga kwenye huu ulimwengu.

Lakini Gender Balance na Gender Equity imeundwa Kwa lengo la kibiashara na kuivuruga Dunia.
 
Jamii imejikita kumlinda Mtoto wa kike Kwa sababu kimsingi yeye(mwanamke) Hana uwezo wa kujilinda mwenyewe.

Mwanaume ndiye mlinzi WA jamii hivyo huwezi mlinda Mlinzi.

Kuwepo Kwa ushoga ni matokeo ya hayo mambo ya usawa uliokuwa unauzungumzia Kwa kudhani kuwa Miiko, Mila na desturi za jamii haziposawa.

Mwanaume akiamua ku-take Role Kama Mwanaume huwezi sikia hizo habari za ushoga kwenye huu ulimwengu.

Lakini Gender Balance na Gender Equity imeundwa Kwa lengo la kibiashara na kuivuruga Dunia.
Kwaio kwa matukio yanayo endelea mpka sasa wew unaona sahihi Kama vile wanawake kuuliwa na kukatwa mapanga na wanaume kupigwa nankufanyiwa ukatili ila ni hawasemi unaona sahihi?
 
Back
Top Bottom