Suala la Gender

Suala la Gender

Sio izo tu Ila mm Nina stick kwenye mgawanyo wa kazi mm nakaa na mtoto wa kike na wakiume lakini nime socialize kuwa Kama wakike ataosha vyombo bas wakiume afagie uwanja au afanye kazi yeyote ile

Mtoto wa kiume akishajua hizo kazi muachishe, hizo kazi atafanyiwa na Mke wake, badala umfundishe mtoto wa kiume kutafuta pesa ili aweze siku moja kuihudumia familia yake, unamfundisha na kumsisitiza kazi ambazo hazitamsaidia popote Kama Mwanaume.

Hapo unamuharibu kijana wako pasipo wewe kujua.
Mwanaume lazima asifundishwe kazi za kike ili kumfanya awe muwajibikaji katika Kazi zake na aone umuhimu wa mwanamke.

Sasa Kama kijana atajua Kupika, Kufua, Kuosha vyombo, na kufanya usafi unafikiri ataona umuhimu wa mwanamke hapo?

Mfundishe mtoto wa kiume Kazi za kiume na majukumu ya kiume ambayo yanafahamika
1. Kujilinda na kuilinda jamii yake.
2. Kufanya kazi za uzalishaji
3. Kutunza Pesa
4. Kuongoza na kuitawala familia.
5. Kufanya maamuzi magumu ikiwa ni pamoja na kutoa adhabu Kali au kufukuza watu(ikiwemo mtoto au mke) ambaye ataenda kinyume na sheria zake.

Sio umfundishe mtoto ujinga ujinga
 
Kwaio kwa matukio yanayo endelea mpka sasa wew unaona sahihi Kama vile wanawake kuuliwa na kukatwa mapanga na wanaume kupigwa nankufanyiwa ukatili ila ni hawasemi unaona sahihi?

Acha wauliwe!

Mnafundisha watoto kupingana na Nature mnafikiri hawatauana!
Mwanamke hajafundishwa kumheshimu mwanaume(mume wake) anafanya mambo ya kipuuzi unategemea nini hapo.

Acha wauane ili Magereza waendelee kupata Ajira, na Wauza majeneza wajiingizie kipato
 
Gender Socially constructed set of roles and
responsibilities associated with being girl and boy or
women and men, and in some cultures a third or
other gender.

Sex Biological characteristics (including genetics,
anatomy and physiology) that generally define
humans as female or male. Note that these biological
characteristics are not mutually exclusive; however,
there are individuals who possess both male and
female characteristics


tuelewane hapo kwaz
Umezungumza vema ya kua kuna clear varitions katika biological makeup kati ya wanaume na wanawake, je utashi wako haukuelekezi ya kwamba viumbe hawa wanekua formed differentlly biological to suit into different roles ?! That is to say they can't and shouldn't be equally ?!
 
Mtoto wa kiume akishajua hizo kazi muachishe, hizo kazi atafanyiwa na Mke wake, badala umfundishe mtoto wa kiume kutafuta pesa ili aweze siku moja kuihudumia familia yake, unamfundisha na kumsisitiza kazi ambazo hazitamsaidia popote Kama Mwanaume.

Hapo unamuharibu kijana wako pasipo wewe kujua.
Mwanaume lazima asifundishwe kazi za kike ili kumfanya awe muwajibikaji katika Kazi zake na aone umuhimu wa mwanamke.

Sasa Kama kijana atajua Kupika, Kufua, Kuosha vyombo, na kufanya usafi unafikiri ataona umuhimu wa mwanamke hapo?

Mfundishe mtoto wa kiume Kazi za kiume na majukumu ya kiume ambayo yanafahamika
1. Kujilinda na kuilinda jamii yake.
2. Kufanya kazi za uzalishaji
3. Kutunza Pesa
4. Kuongoza na kuitawala familia.
5. Kufanya maamuzi magumu ikiwa ni pamoja na kutoa adhabu Kali au kufukuza watu(ikiwemo mtoto au mke) ambaye ataenda kinyume na sheria zake.

Sio umfundishe mtoto ujinga ujinga
Nina jirani yangu ambaye yeye ana mumewe Wana mtoto wa mwaka mmoja mume akienda kazi mke anashika mtot na mke akienda kazi mume Kama hajaenda bas mume atamlisha mtoto atamuogesha yaani kaz zote atazifanya na Kama chakula atapika wale wakubwa wakitoka shule wale chakula ni familia ambayo Hapa mtaani kwetu wat wengi wamevutiwa nayo na life style yao
 
Nina jirani yangu ambaye yeye ana mumewe Wana mtoto wa mwaka mmoja mume akienda kazi mke anashika mtot na mke akienda kazi mume Kama hajaenda bas mume atamlisha mtoto atamuogesha yaani kaz zote atazifanya na Kama chakula atapika wale wakubwa wakitoka shule wale chakula ni familia ambayo Hapa mtaani kwetu wat wengi wamevutiwa nayo na life style yao

Ndio tunasema huo ni uvivu,
Sasa Kama Mwanaume ni mzalishaji pesa mzuri anashindwaje kutafuta Maids wa kusaidia hapo nyumbani?

Mwanaume anaweza fanya hivyo lakini iwe mara moja moja Sana yaani Kwa nadra,
 
Nina jirani yangu ambaye yeye ana mumewe Wana mtoto wa mwaka mmoja mume akienda kazi mke anashika mtot na mke akienda kazi mume Kama hajaenda bas mume atamlisha mtoto atamuogesha yaani kaz zote atazifanya na Kama chakula atapika wale wakubwa wakitoka shule wale chakula ni familia ambayo Hapa mtaani kwetu wat wengi wamevutiwa nayo na life style yao
@mwachiluwi ttz ww bado unangangania kitu ambacho usababisha Maafaa kwa kiwango kikubwa kazi zote zigawe sawa kw kila jinsia apa sasa tunazalasha wapigania haki sawa
 
Umezungumza vema ya kua kuna clear biological makeup kati ya wanaume na wanawake, je utashi wako haukuelekezi ya kwamba viumbe hawa wanekua formed differentlly biological to suit into different roles ?! That is to say they can't and shouldn't be equally ?!
Kwamaaana at Jamii ilipo weka majukumu waliangalia kwa upande wa sex
 
Sio kweli
Unapoangalia upande wa majukumu Jamii ndiyo imepanga majukumu kwa mwanamke na mwanaume that why unaona Jamii nyingine Kama wamakonde wanaume ndi o wanao enda sokoni lakini ukija kwa mpale mwanamke ndio anaenda sokoni mwanaume hawezi kwenda sokoni elewa ilo na ujue kutofautisha
 
Sio kweli
Obidient ya mwanamke Kwa mwanaume sio ishu ya kijamii hiyo ni ishu ya nature,

Kama Mnyama Kama nyani anajua tofauti za Jinsi ya kiume na jinsi ya kike utasema pia nyani ni sehemu ya jamii?

Istilahi hizo za kisomi zisikufanye ushindwe akili hata na wanyama.
Paka, mbwa, hata ng'ombe wanajua huyu ni mwanaume na huyu ni mwanamke, na anavyomchukulia mwanamke ni tofauti na anavyomchukulia mwanaume.

Kuna Nature na Culture hivi vitu unavichanganya.
 
Mkuu huenda unalengo zuri katika huu mjadala lakini Kwa lugha rahisi na upole.

Katika variable hizi yaani Jinsia (Sex) na Jinsi (Gender) lazima uangalie ipi ni Dependent variable na ipi ni independent Variable.

Jinsia(Sex) ni Independent Variable
jinsia (Gender ni Dependent Variable
Gender Inategemea Jinsia, lakini jinsia haitegemea Gender.

Jinsia ndio inayozalisha Jinsi,
Katika jinsia kuna jinsia yenye nguvu na jinsia dhaifu hii hupelekea jinsia yenye nguvu kuzalisha Gender yenye nguvu, na jinsia dhaifu kuzalisha Gender dhaifu.

Mwanamke kibaolojia, kisaikolojia (akili na tabia), kinguvu ni dhaifu ukilinganisha na Mwanaume. Ndio maana mwanaume katika ulimwengu anamajukumu makubwa kuliko mwanamke.

Alafu usije ukasema amepewa na jamii, hakuna siku jamii ilikaa kumpa majukumu mwanaume, hiyo imekutwa hivyohivyo na kumbuka mwanaume ndiye Jamii yaani Mtawala.

Ukisema siku hizi wanawake wanafanya majukumu ya kiume hivyo inafanya kuwe na USAWA wa Kihindi(Gender) baina yao, utakuwa unakosea, Kwa sababu mtu anapofanya kitu watu wanaangalia matokeo baada ya kitu kufanyika.

Mwanamke akifanya kazi za mwanaume, je anapata athari Hasi au chanya, jibu ni kuwa anapata athari Hasi, Kama vile kukomaa na kuharibika maumbile, kuchoka na kupoteza utu wake kama Mwanamke, na Kama ameolewa basi atashindwa baadhi ya majukumu ya kindoa, ndio unasikia mambo ya Mke kumpimia mumewe UNYUMBA.

Athari zingine ni Kuharibika Kwa mimba, Mabadiliko ya Hedhi,

Wanawake hawakuumbwa kufanya kazi nzito na zenye kuhitaji nguvu. Ndio maana hakuna USAWA wa kijenda.
Masahihisho kidogo
Gender=jinsia
Sex=Jinsi
 
Kwamaaana at Jamii ilipo weka majukumu waliangalia kwa upande wa sex
Una maana gani unaposema "Jamili walipoweka majukumu" ?! Hebu taratibu dogo, yani majukumu yaliwekwa na jamii ?! Kwa mfano hapo awali nyakati za kale mwanaume kuwinda na mwanamke kutunza nyumba na watoto, kuliwekwa na jamii ?!

Wanyama pia wana majukumu tofauti kulingana na jinsi njiwa dume hujenga kiota na njiwa jike hutaga na kuatamia mayai, je na wao majukumu haya "walipewa" na jamii ?!

Njiwa, wanyama na wadudu wanamajukumu tofauti madume kwa majike na wao ni sehemu ya jamii ?! Au ni maumbile yao kiasili yalidetermine roles/majukumu yao jofauti ?
 
Ndio tunasema huo ni uvivu,
Sasa Kama Mwanaume ni mzalishaji pesa mzuri anashindwaje kutafuta Maids wa kusaidia hapo nyumbani?

Mwanaume anaweza fanya hivyo lakini iwe mara moja moja Sana yaani Kwa nadra,
No sio uvivu Bali nikatika kisaidiana katika majukumu nilipokeaga kesi mmoja baba alikuwa na kazi yake mzuri ilipokuja ishu ya vyet feki baba akatolewa kwenye system akawa Hana kazi mke akapandishwa cheo akawa meneja wa bank fulani si bas mume akawa anakaa ty nyumbani akawa anawaanda watoto wanaenda shule ila mama hayuko na time na watoto zarau zikazidi ndani baadae akawa anadai talaka ndipo ikaletwa kwangu ikafika hatua watot watakaa wapi na huduma za malezi ya watoto zinatolewaje ikabidi tuwaulize watoto sehemu wanayo taka kwenda kukaa wakasema kwa baba mama akapanic watoto wakatoa reason moja tu kuwa baba Hana tucare differ na mama ikabd hakubali watoto waende kwa baba na matuzo atakuwa anatoa yeye Nini nataka kusema wanaume pia ni walwzi wazuri Sana katika familia zetu Tena. Sna
 
Una maana gani unaposema "Jamili walipoweka majukumu" ?! Hebu taratibu dogo, yani majukumu yaliwekwa na jamii ?! Kwa mfano hapo awali nyakati za kale mwanaume kuwinda na mwanamke kutunza nyumba na watoto, kuliwekwa na jamii ?!

Wanyama pia wana majukumu tofauti kulingana na jinsi njiwa dume hujenga kiota na njiwa jike hutaga na kuatamia mayai, je na wao majukumu haya "walipewa" na jamii ?!

Njiwa, wanyama na wadudu wanamajukumu tofauti madume kwa majike na wao ni sehemu ya jamii ?! Au ni maumbile yao kiasili yalidetermine roles/majukumu yao jofauti ?
Tangu enzi na enzi Jamii ilikuwepo na ndio ilio chagua kuwa mwanaume akawinde wewe mwanamke atunze familia pindi mwanaume anapoenda kulinda ata wanyama Kuna Jamii yao kama vile Simba dume hawz kwenda kuwinda ila Simba jike ndio anaweza kuwinda
 
No sio uvivu Bali nikatika kisaidiana katika majukumu nilipokeaga kesi mmoja baba alikuwa na kazi yake mzuri ilipokuja ishu ya vyet feki baba akatolewa kwenye system akawa Hana kazi mke akapandishwa cheo akawa meneja wa bank fulani si bas mume akawa anakaa ty nyumbani akawa anawaanda watoto wanaenda shule ila mama hayuko na time na watoto zarau zikazidi ndani baadae akawa anadai talaka ndipo ikaletwa kwangu ikafika hatua watot watakaa wapi na huduma za malezi ya watoto zinatolewaje ikabidi tuwaulize watoto sehemu wanayo taka kwenda kukaa wakasema kwa baba mama akapanic watoto wakatoa reason moja tu kuwa baba Hana tucare differ na mama ikabd hakubali watoto waende kwa baba na matuzo atakuwa anatoa yeye Nini nataka kusema wanaume pia ni walwzi wazuri Sana katika familia zetu Tena. Sna

Baba sio mlezi, mama ndiye Mlezi.

Huoni hapo tayari familia imeanguka Kwa sababu Baba kaingilia majukumu ya Mama, na Mama anafanya majukumu ya Baba?

Ambacho ungeshauri hapo, ni kumwambia Mzee atafute kazi afanye,
Mwanaume ndiye Mzalishaji.
Mke ni mtunzaji na mratibu wa vilivyochumwa na Mwanaume.

Wasomi sijui Kwa nini elimu ya Wazungu inawaharibu.
 
Back
Top Bottom