Suala la Gender

Suala la Gender

Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Mkuu usipoteze nguvu sana kumuelezea, maana hatakuelewa
 
Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
 
Watu wengi hawajui Gender na hawajui tofauti ya Gender na Sex,
Mtu anakaza misuli ya vidole gumba kubisha kitu hakielewi, anatoa maelezo mengi ya sex badala ya gender,

Kuna sehemu umetoa mfano mzuri sana,
Ulisema Jamii ndio imetengeneza Gender Role na ili kuthibitisha hilo tunaona kuna Jamii ya Pwani Wanaume wanaenda wao Sokoni lakini kuna Jamii ya Bara Wanawake ndio wanaenda Sokoni,

Kuna jamii Wanawake ndio wanafanya kazi zote kama kuchunga, kuleta kuni, biashara, kiufupi yeye ndie anatunza Familia na Mwanaume kazi yake ni kunywa Pombe na Kuoa Wake wengi,

Humu wengi hawana exposure Mtu asema Mwanamke hawezi kubeba Zege wakati Jamii tu ya Wamasai Wanawake ndio wanajenga Nyumba,

Wamakua Mwanamke ndie Kiongozi wa Nyuma yaani ndie Kichwa cha Familia, hao Watoto hawajui wanakuja kukutolea Povu hapa,

Naungana nawe kua Gender Roles zimetengenezwa na Jamii husika kwa kumgawia kila Mmoja Majukumu yake kwa kadri wao wataona,

Na nimekuelewa lengo lako ni kutaka kuweka Usawa kwa Wote na sio huyu anapaswa afanye hili sababu ni Ke na huyu afanye lile sababu ni Me.
Umetoa justification mzuri Sana short and brief mtu yeyote anaelewa bila kushikiwa fimbo
 
Wewe jamaa ni mwanamke au mwanaume?
Kama ni mwanaume basi naweza kuleta facts na ushahidi kuonesha kwamba unaanza kupotea kijana.
 
Kwa hyo katika sex ndio kuna tofauti kati na mwanaume ila katika gender hakuna tofauti ?! Yani mwanamke anaweza kubeba zege kama mwanaume ?! Kuna mkuu hapo juu amecomment kua wewe ushoga unakunyemelea kua makini dogo.

Mkuu nataka kujua jambo, umelelewa na single mother sio ?! Yani wewe na Ashura hamko tofauti ?! Aiseee Mungu waepushe watoto wangu wa kiume na hii mentality.
😂😂😂😂😂 we inaonekana umekulia ushuani sana et!? Ebu njoo huku kajampa nani utoona hao wanawake wanaobeba zege. Tafta mfano mwingne ila huo wa zege siku hiz nao wanabeba
 
Huyu ni shoga kabisa hajui wanaume tunavyokula msoto kuisaka pesa halafu anaongea ujinga
Kwani we peke yako ndio unatafuta pesa lekebisha kauli

Pesa kila mtu anatafuta kwa uwezo wake ndio maana wanaume wengi walio wazoesha wanawake zao kuwapa ela wakifa wanawake wao wanateseka vibaya mno

Mfano Kuna jirani yangu mumew alikuwa ana Mali nying akabweteka mume kufumba macho now anaenda sokoni ananunua viazi kwa kilo anaenda kupanga mafungu amka kijana now nikuchangamka
 
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
Mdogo wangu yani naona kabisa hakuja namna tutaelewana, tunalugha mbili tofauti kabisaaa. Wakati wewe unaona mwanaume na mwanamke ni sawa mimi naona binadamu wawili tofauti kabisa.

Wakati wewe unaona majukumu kwa wote ni sawa madhalani unaona sawa mvulana na msichana wote kuosha vyombo na bupika, mimi naona sawa msichana kuosha vyombo ila mvulana kukata fensi au kuchimba shimo la taka au kupaka rangi chumba cha wageni.
 
Kukosa hoja wapi wewe.... ilishaandikwa na inafahamika hivyo mwanaume hawezi kuwa sawa na mwanamke

sasa wewe kama unalazimisha hivyo pole yako
Pole upewe wewe,
Wanaume gani hao unawasemea wanaolelewa na Wanawake???
 
😂😂😂😂😂 we inaonekana umekulia ushuani sana et!? Ebu njoo huku kajampa nani utoona hao wanawake wanaobeba zege. Tafta mfano mwingne ila huo wa zege siku hiz nao wanabeba
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
 
Tehee he hee sasa nitapandiwa dau mimi au huyo shemale (dumejike) mwenzako anaetetea usawa kwamba yeye na wewe mko sawa, yeye ndio anaweza kupandiwa dau, ooh nilisahau street and silly stupid bitches hua hawawezi kuwaza streight.
Amepanic maskini , hadi wamuita mwenzio shemale wewe washakuharibu unajitutumua hapa,
Mmelelewa kichokoraa ndio maana mnashindwa hata kua na mawazo ya kujenga
 
Jaribu kuelewa kaka kwa upande wa gender af we msomi sijui una kwama wapi

Mfano we ukiosha vyombo kunamhali unapungua?
Ana usomi gani huyo Chokoraa damu,
Msomi sharti awe na uelewa mpana sasa mada rahisi kama hii kashindwa kuielewa anaweza kukaa kwenye midahalo ya kimataifa huyo
 
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
zege hiyo hiyo tena wengine ni mafundi kabisa ukiwakuta site unaweza usijue kama kweli wanaweza.
 
Heee nitoe tongotongo mkuu kuna wanawake wanabeba zege ?! (Zege namaanisha kokoto, cement na mchanga sio zege msemo wa chips yai)
Si nilisema wewe ni brainless,
Yaani hujawahi kuona Wanawake wanabeba Zege!!! Yaani hata hapo Kunduchi hujaona Wamama wanavyoponda Kokoto na kuendesha Familia zao,

Huna exposure halafu unaleta kidomo domo utapakuliwa.
 
Gender Ni internal sense of being a man or womb-man.
Nje njemba ndani shosti.
Nje bebe ndani Msela tu.😂😂
Vyanzo vya ndani vikiyumba hata ufiche vipi matokeo tutayaona tu.
 
Back
Top Bottom