Kuna mambo mengine unaona tu kuwa haiwezekani kukosa mita miezi na miezi. Ila ndiyo hali halisi. Inasikitisha sana.Unapoongea na wafanyazi wa DAWASA kuomba wakuunganishie maji alafu mtu unajibiwa hatuna mita zaidi ya miezi mitatu; inatia huruma.
Mtu unabaki unajiuliza tumekwama wapi kama nchi?
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."Unapoongea na wafanyazi wa DAWASA kuomba wakuunganishie maji alafu mtu unajibiwa hatuna mita zaidi ya miezi mitatu; inatia huruma.
Mtu unabaki unajiuliza tumekwama wapi kama nchi?
Haya mambo yanakera sana.Hii Serikali ya CCM imefeli imefeli hata kwenye Basics hata kwenye Maji na Umeme wanachoweza ni UPIGAJI tu.
I truly agree! Watu weusi ni hatari kwa afya ya dunia aisee."Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
"Black people are good for Nothing else apart from indulging in sex and marrying so many wives."Mtu unaweza ukawa unapambana ili uboreshe hali yako ya maisha ila watoa huduma za serikali wamefeli sana.
- Unataka uunganishiwe maji, mita hakuna
- Ukifanikiwa kuunganishiwa baada ya kusubiri sana, maji hayatoki kwenye bomba,
- Siku yanatoka, yanayoka na uchafu.
- Umeme, shida
- Barabara, mbovu mara utasikia gari lako liko chini sana.
- Bima ya NHIF inakataza kuudumiwa dawa konki, labda dawa za kawaida.
- Elimu, sina cha kuongea.
- Ajira
Hivi ni kitu gani tunaweza kufanya vizuri zaidi?
Kuna jamaa wapo DAWASA nimemuuliza kuhusu maombi yangu akasema bado.Kwasasa mita zinapatikana, lakini hapa kati tuliishiwa mamlaka karibu zote.
Tafadhari Rudi ofisini , ukifeli njoo pm.