SUA na Bsc. BLS

H N

Member
Oct 17, 2011
34
3
habari za jumapili..
nisidieni kuhusu hii kozi Bsc.Biotechnology and Laboratory Science ya SUA.
Nilikutana na rafiki yangu anasoma hiyo kozi pale SUA ameingia mwaka wa tatu sasa ila anachosikitika ni kwamba wakati wa field ilikuwa ngumu kwake kwa sababu sehemu nyingi alipokwenda walimwambia hawaitambui hiyo kozi.
Mwishoni akaja kupata muhimbili tena kwa mbinde na masimango daily kazini.
Mimi nikawa sina cha kuzungumza kwa sababu nilikuwa sielewi chochote..
Mwenye kufaham chochote kuhusu hii koz naomba atusaidie.ni kwamba haitambuliki kweli au?
 
Hawaitambui kivipi? Mbona iko wazi tu? Inaelekea jamaa yako hakujua aende wapi kufanya field pengine alienda NSSF, hatuwezi jua!
 
Masimango kivipi? Nani anamsemanga? Hiyo kozi ni worldwide and is very popular, sidhani kama Muhimbili hawajui mambo ya biotechnology au Laboratories science/technologies. Wewe bado ni zuzu kama yeye.... Jifunze kutafuta information kwa search engines kama Google n.k
 
ujinga wako na wa huyo ulomsikia kuwa haijui. wengi wanakamua mshiko mrefu na jinsi walivyo wachache, wanafaidi sana hawa jamaa
 
We na huyo alyekuwa anakulalamikia,wote ni mazuzu tu..mbona kozi nzuri tu hiyo na inajulikana!
 
Nawashukuru wote ndo maana nimeuliza ili mnitoe huo uzuzu na ujinga wangu nimejifunza kitu hapa....
 
Akimaliza mwambie aje NM-AIST ARUSHA hao watu wanahitajika atasomeshwa zaidi huku akilipwa
Regards
 
Alienda kwa mkemia mkuu? Madini! Ifakara health inst, tpri, nimr je? Kama ulivyoambiwa,akienda nssf hawatampa field placement!
 
jamaa wako hana lolote hiyo kozi haipo sua zaidi ya muhimbili

Hiyo kozi imeanza SUA tangia 2005 nami nikiwa Mwaka wa kwanza kozi nyingine lkn, hata hivyo wako more serious sana kwenye ufundishaji, hata competence ya wanafunzi wenyewe.
waombe radhi wana SUA, lakini kwa watu wa Muhimbili ni UBINAFSI tu.
 
Back
Top Bottom