Style za wanaume wa Dar kutongoza

Style za wanaume wa Dar kutongoza

Wanaume wa Dar wapo tofauti sana na gia zao za kuingia kwa wasichana mpaka wana kodi gari kwa wenzao ili waende kungolea msichana akiingia nae out ananinginiza ufunguo akiwa counta anautupa mezeni.

Wanaume wa Dar wengi utakuta ni hotpot family kujishughulisha ni nadra sana akipata msichana anaenda kuomba geto kwa mshikaji wake akamgongee huko apo hana ela ya guest.

Mwanaume wa Dar wengi wana mapenzi ya kudanganya wanajifanya ya kizungu kumbe hana ela anaenda na msichana beach anamgongea uko sana sana coco beach.

Wanaume wa Dar bhana kina mtu dalali kila Kona wanaume wa Dar jifunzeni kujishughulisha acheni kula chips kuku, zinawaua nguvu za kiume wasichana zenu wakija huku mikoani wakikutana na wanaume wanaokula ugali dona yaani wanawaponda balaa nyie si mpaka mbusti na supu ya pweza na viagra.
nitajie kijiji gan unatokea tz nije kufanya utalii niwang'oe dada zenu
maana madem wa vijijin wakijua mtu katoka dar akili zinawaruka
wa mikoani roho zinawauma sana vijana wanotoka dar wanavowagongea madem zenu huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wa Dar wapo tofauti sana na gia zao za kuingia kwa wasichana mpaka wana kodi gari kwa wenzao ili waende kungolea msichana akiingia nae out ananinginiza ufunguo akiwa counta anautupa mezeni.

Wanaume wa Dar wengi utakuta ni hotpot family kujishughulisha ni nadra sana akipata msichana anaenda kuomba geto kwa mshikaji wake akamgongee huko apo hana ela ya guest.

Mwanaume wa Dar wengi wana mapenzi ya kudanganya wanajifanya ya kizungu kumbe hana ela anaenda na msichana beach anamgongea uko sana sana coco beach.

Wanaume wa Dar bhana kina mtu dalali kila Kona wanaume wa Dar jifunzeni kujishughulisha acheni kula chips kuku, zinawaua nguvu za kiume wasichana zenu wakija huku mikoani wakikutana na wanaume wanaokula ugali dona yaani wanawaponda balaa nyie si mpaka mbusti na supu ya pweza na viagra.

MKUU,

ACHA UJINGA,

PAMBANA NA HALI YAKO!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili jamaa pointless kabisa hiyo mikoa yenu tumefika na nademu zenu wanajitongozesha wanawaponda hamjui mapenzi style yenu moja tu hamjui maandalizi mnawaumiza tu mnawapanda kama mbuzi tukija sisi tunawaonesha jinsi ya kumpa raha mwanamke halafu nyie wa mikoani mnanuka sana midomo,kwenye mapumb....hamnyoi...vikwapa vinanuka hamjui kuoga vizuri...pumbafu zenuuuu hamjui kila kitu ndio maana mnachukia wanaume wa Dar...na mademu zenu wataendelea kutupenda!!
 
Kinakusumbua wewe ni ulimbuken na vijisent vyako baada ya kuuza matikiti... Wanaume wa mikoani wanuka shombo, the moment ukishuka ubungo hapo utamtambua huyu wa kuja... Malapa ya mchina, miguu full vumbi, ukurutu.. T-shirt Nike 1947 Jean...special dukan... Utaongea nini kwa madem wa bongo .. Sana sana utaishia kwa barmaid na milupo ya bamaga hapo....
Mh. Usipaniki ndugu, 35% imethibitika si wanaume halisi kiongozi

Kunuka shombo, mwanaume lazima uwe na ka halufu kako ka asili

Sio mwanaume unanukia miharufu mchanganyiko utafikiri we umepikwa kwa viungo vya pirau


Kwa nini upaniki?? Au nyie ni ma ccm.......
 
Wewe wa kijijini unajua nini kuhusu wanaume wa Dar zaidi ya kuliona jiji letu kupitia ITV!?

Wewe kuwa bize na shughuli zako za mashambani huenda siku ukafuzu kuja kuishi Tandale.
Tunazo smartphone mkuu,
Kila kinachoendelea tuna kipata

Zaidi ya 35% sio wanaume halisi.
Ndio maana matangazo ya akina dada ya kutafuta wame ni wengi sana kutoka dar.

Inasemekana kila dada alie na mwanaume wa dar kwa asilimia kubwa anakuwa na tabia za ubikra, kwani hajapata nini maana ya tendo la ndoa
Wengi huishia kuchafuliwa tuu.


Na sasa hivi huko dar kuna wanaume wa bandia wameletwa kuliziba pengo lenu,

Wadada wengi huko dar, kuliko awe na mpenzi wa dar, bora agharamikie tu kununua li mdori. Na ukifatilia saaana ni wale waliowahi kuobja mziki wa nje ya dar
 
Wanaume wa darslum wanapigwa na kukimbizwa na vijana ambao hawajatahiriwa! Wanaume wa dar wanaongelea puani! Wanaume wa dar wengi wao wametahiriwa kwa msaada wa ganzi.....wanaume wa dar wana ngozi laini kama Dada zao na hii ni kwa sababu ya kupenda kutokujishughulisha....wanaume wa dar wengi wao wanalelewa na shemeji zao!!
Kama umechukia rusha ngumi ili nikufue vizuri.
 
Mm ni wa magu masansa kona mkoa wa mwanza lkn haipendezi kuchafuana hivi,mbona huyu jamaa anawafatilia wanaume wa dar tatizo nn!,au nimesee tatizo lake,ebu acha kutukana wanaume wezako aise mbona yako yamejaa tele ebu nyamaza kabla sijaamka!!
We nae, hivi huoni aibu kutomsema mwanaume mwenzio kwa makosa yake???


Sisi wa mikoani tumesikitishwa sana na huu wamzi wa akina dada kuamua kuishi na wanaume bandia wakiamini ni bora kuliko wao, na ni kweli.
Wewe hili umelifurahia?? Watoto warembo vile hafu wanakosa wanaume wana amua kuishi na midori?

Asilimoa 35 ni kubwa mjomba
 
Siku Moja wanaume wa dar tutarudisha heshima yetu iliyopotea
Kazi mnayo,
Imewachukua miaka mingi akina dada wa daslamu kujiridhisha kuwa
"" KUISHI NA MIDORI NI BORA NA NI SALAMA KULIKO KUISHI NA MWANAUME WA DAR""

Na nyie itawachukua miaka mingi sana kuwaaminisha akina dada kuwa nyinyi mmekuwa bora kuliko midori, wakati huohuo technolojia inakuwa inakuja midori ya kila aina.
 
hili jamaa pointless kabisa hiyo mikoa yenu tumefika na nademu zenu wanajitongozesha wanawaponda hamjui mapenzi style yenu moja tu hamjui maandalizi mnawaumiza tu mnawapanda kama mbuzi tukija sisi tunawaonesha jinsi ya kumpa raha mwanamke halafu nyie wa mikoani mnanuka sana midomo,kwenye mapumb....hamnyoi...vikwapa vinanuka hamjui kuoga vizuri...pumbafu zenuuuu hamjui kila kitu ndio maana mnachukia wanaume wa Dar...na mademu zenu wataendelea kutupenda!!
Hii kauli nayo imekuwa maarufu kwa wanaume wa dar,
Eti tukija mikoani kwenu, tunawagongea mademu zenu

Na huwa mbagonga mara moja tuu na demu harudi tenaaaa, ndio maana mi nikimuona demu wangu yuko na mwanaume wa dar hua oresha haipandi. Hua wanarudi kwa madume wao wanapecha mapaja tuu kwa kiu...

Tukiwapa dozi wanasema yoote.

Suala la usafi kiukweli wanaune wa Dar mnaongoza, utakuta mwanaume wa dar akipita nyuma yako kabla hujamuona unaweza fikiria kapita mwanamke, "" ANANUKIA HALUFU YA WIGI NA MAFUTA KAMA YA DADA, PAFYUMU NAYO KAMA YA KIKE, UKICHANGANYA VYOTE VINAKUPA HALUFU YA PAPUCHI""

Hapo nawakubali...
 
Hiki ni kivulana cha mkoa gani kinazungumzia wavulana wa Dar maana hamna mwanaume wa Dar mwenye sifa hizi
 
Acheni niwape siri,hakuna watu wenye wivu kama watu wa mikoani,wanajua tukitoka hku sisi ndio wajanja huko mikoani na madem zao tunakula kwa urahisi wote.

Na ukiona mtu anaponda hvo jua uhakika wa kuja dar hana ila anapenda sana jinsi tunavyoishi kwa bata zote bila kutumia nguvu kama mkoani.

Kwan nani asiyependa kula bata za dar na kukutana na mastar kila kona ya jiji,acheni wivu bhana nyie vijana wa mikoani.
 
Hii vita ya kimikoa haitamuacha Mwanaume salama.kama vipi tuandae pambano la ngumi Kati mwakilishi wa wanaume Wa dar(bashite) na wawakilishi wa wanaume wa mikoani
 
Kazi mnayo,
Imewachukua miaka mingi akina dada wa daslamu kujiridhisha kuwa
"" KUISHI NA MIDORI NI BORA NA NI SALAMA KULIKO KUISHI NA MWANAUME WA DAR""

Na nyie itawachukua miaka mingi sana kuwaaminisha akina dada kuwa nyinyi mmekuwa bora kuliko midori, wakati huohuo technolojia inakuwa

Halafu nimefanya utafiti katika wanaume 10 wa mikoani tisa ni misukule, hapa kwenyewe usikute najadiliana na msukule,huu mwaka wa ngapi upo msukule Mkuu?
 
Back
Top Bottom