Mbona tukija huko mashambani tunawapa mijeledi hivyo hao wanawake wenu,kila wakituona wa dar full shobo na huwa siwaachi nawa shughulikia ipasavyo
Siku Hizi Vijana Wengi Viazi Karibia Nchi Nzima, Hawataki Kabisa Kuvaa Nguo Zinazowatofautisha Na Wanawake.
Vijisuruali Vya Kubana, Kusuka Nywele Na Ku make Up Sura Ndiyo Kazi Iliyobaki. Sasa Siyo Dar Peke Yake Maana Juzi Nilikuwa Dodoma Nikagundua Ukipishana Na Vijana 15 Basi 5 Wana Vibegi Mgongoni Na Hawaendi Kokote. Hii Tabia Wameiga Kwa Vijana Wa Dar
Wambie wambie haoooooooooooooooo choka nafsi zetu sio kila kukicha wanaume wa DAR ,ALAAAAAAAAAAAAAA!!Kinakusumbua wewe ni ulimbuken na vijisent vyako baada ya kuuza matikiti... Wanaume wa mikoani wanuka shombo, the moment ukishuka ubungo hapo utamtambua huyu wa kuja... Malapa ya mchina, miguu full vumbi, ukurutu.. T-shirt Nike 1947 Jean...special dukan... Utaongea nini kwa madem wa bongo .. Sana sana utaishia kwa barmaid na milupo ya bamaga hapo....![]()
Linaona sifa limbukeni la mkoa, full shombo, mjanja wa mkoa anapiga blue for men...Braza katoka dar ja!!mwanza hiyo nmewagongeaje mademu zenu nyie mbuzi!!narudi tena mwezi wa 10 round hii nakula wake zenu!!
!!
tu mvae... Manake umbea wa ni wanawake wambea mbea huongea.....hahahahaha hahaha hahaha hahahaha hahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha aaahahahKinakusumbua wewe ni ulimbuken na vijisent vyako baada ya kuuza matikiti... Wanaume wa mikoani wanuka shombo, the moment ukishuka ubungo hapo utamtambua huyu wa kuja... Malapa ya mchina, miguu full vumbi, ukurutu.. T-shirt Nike 1947 Jean...special dukan... Utaongea nini kwa madem wa bongo .. Sana sana utaishia kwa barmaid na milupo ya bamaga hapo....![]()
Wanaume wa Darslum wakati wa kutongoza wao ndiyo wanang'ata kucha.....
wanaume wa dar wana nguvu basi, akiweza kuvunja biscuti anajisifia kinyamaHivi mnataka kuzichapa et ee?Ss sijui nani atashinda kati ya wa dar na bara.Hahaaaaa wanaume wa dar bwanaaa
Hahahaha,Wanaume wa Darslum wakati wa kutongoza wao ndiyo wanang'ata kucha.....