Style hii ya migomo ni utoto

Style hii ya migomo ni utoto

yusufummaka

Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
30
Reaction score
20
Nimakosa kutaka kuweka kitasa kipya kwenye mlango ulioliwa na mchwa (mbovu), kaa kitako, tafakari na amua kuchonga mlango mpya ili viendane na kitasa kipya unachotaka kuweka. Mlango umeoza kila kona kwanini unahangaika kutaka kuwekewa kitasa kipya? kitawekwa wapi?. Hata kama utagoma huwezi kupata mafanikio unayokusudia sanasana walimu mtawaumiza watoto wa kaka na dada zenu huku mitaani na vijijini, wale watoto wa wanaowapunja mishahara hawasomi shule mnazofundisha ninyi. Mgomo sahihi ni wa kuwaondoa wanaowapunja maslahi yenu, bassiii! sio kugomea kuwafundisha watoto wa walalahoi. Tabia hii itasababisha watoto wa watawala waendelee kutawala nchi hii, maana wao hawajui kama kuna mgomo wanajiandaa vema na kufanya mitihani ya NECTA. Acheni ushamba kazeni buti, wekeni akili zenu kwenye elimu ya watoto wa masikini ndio watakaolikomboa taifa hili.
 
Kumwita mwl alokufundisha hadi unajua kusoma ni mshamba ni LAANA YA HATARI AISEE.
TUEWAACHE WAGOME WALA TUSIWAPUUZE WALIM WETU.
 
Nimakosa kutaka kuweka kitasa kipya kwenye mlango ulioliwa na mchwa (mbovu), kaa kitako, tafakari na amua kuchonga mlango mpya ili viendane na kitasa kipya unachotaka kuweka. Mlango umeoza kila kona kwanini unahangaika kutaka kuwekewa kitasa kipya? kitawekwa wapi?. Hata kama utagoma huwezi kupata mafanikio unayokusudia sanasana walimu mtawaumiza watoto wa kaka na dada zenu huku mitaani na vijijini, wale watoto wa wanaowapunja mishahara hawasomi shule mnazofundisha ninyi. Mgomo sahihi ni wa kuwaondoa wanaowapunja maslahi yenu, bassiii! sio kugomea kuwafundisha watoto wa walalahoi. Tabia hii itasababisha watoto wa watawala waendelee kutawala nchi hii, maana wao hawajui kama kuna mgomo wanajiandaa vema na kufanya mitihani ya NECTA. Acheni ushamba kazeni buti, wekeni akili zenu kwenye elimu ya watoto wa masikini ndio watakaolikomboa taifa hili.

Kwa hiyo tubadili mlango na mchwa wako palepale........what a way of thinking!
 
mtoto ni wewe ambaye hujui maana ya migomo!
si umeshakunywa uji?? haya kakojoe ulale
 
Sijaona hoja eti mtu udhukuniwe usubiri hadi 2015 ambapo wana uhakika wa kuchakachua.

Kama mbwai mbwai bwana acha kufikiri kwa kutumia jina la meya la jiji la D'Salaam.
 
Acha wagome ni haki yao ya kikatiba kueleza hisia zao kwa mwajili anaye watreat kama yatima
 
Acha wagome ni haki yao ya kikatiba kueleza hisia zao kwa mwajili anaye watreat kama yatima

Nafikiri huyu jamaa alitaka waalimu wauwe mtu ndiyo ijulikane kuwa wanahaki wanayoidai. Nimeamini huwa kuna watu hawaelewi kabisa mambo yanayendelea hata kama yakielezwa magazetini na maredioni kwa mwaka mzima. Mtu anakurupuka na mfano ambao auhusiani kabisa, anafikiri utaweza kusaidia kupoteza malengo na madai ya walimu. Kuna watu wanamawazo ya kifisadi fisadi tu, hivyo huwa hawajui shida za watu kabisa.
 
Nafikiri umeshindwa kujua sheria wewe. kwanini kwenye sheria waliweka kipengele cha kugoma nafikiri serikali wamesahau kitu wasiseme liko mahakamani ila waseme kuanzia sasa hakuna kipengele cha kugoma katika sheria kwani walishazohea kusaini tu itapita kwani wao si wako wengi bungeni jamani pumbafuu wewe
 
Nimakosa kutaka kuweka kitasa kipya kwenye mlango ulioliwa na mchwa (mbovu), kaa kitako, tafakari na amua kuchonga mlango mpya ili viendane na kitasa kipya unachotaka kuweka. Mlango umeoza kila kona kwanini unahangaika kutaka kuwekewa kitasa kipya? kitawekwa wapi?. Hata kama utagoma huwezi kupata mafanikio unayokusudia sanasana walimu mtawaumiza watoto wa kaka na dada zenu huku mitaani na vijijini, wale watoto wa wanaowapunja mishahara hawasomi shule mnazofundisha ninyi. Mgomo sahihi ni wa kuwaondoa wanaowapunja maslahi yenu, bassiii! sio kugomea kuwafundisha watoto wa walalahoi. Tabia hii itasababisha watoto wa watawala waendelee kutawala nchi hii, maana wao hawajui kama kuna mgomo wanajiandaa vema na kufanya mitihani ya NECTA. Acheni ushamba kazeni buti, wekeni akili zenu kwenye elimu ya watoto wa masikini ndio watakaolikomboa taifa hili.
Ni aibu sana kuonyesha Udhaifu wako hapa JF.
 
Walimu walipwe malimbikizo ya mishahara yao, pesa za likizo na uhamisho. Hizi ni pesa walizozitolea jasho kwa makubaliano halali. Kutofanya hivyo ni dhuruma kubwa.
 
siombei hilo lakini kuna siku isiyojulikana bado hii nchi itapasuka puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh tusubiri,kinachotunza usalama wa nchi hii ni woga au sijui nini lakini itafika siku ghafla tu bila hata ya organization yeyote harufu ya damu itaifunika hii nchi.nasisitiza siombei hali hiyo ila dalili naziona.moja tumeanza kuitumia vibaya mahakama kuliko kipindi chochote kile pili tumeanza kuzuiana kuyazungumzia matatizo hata ya kibinaadamu tatu tumeanza kuvifungia vyombo vya habari tusivyovipenda nne tumeanza kuwapora wananchi ardhi na kuwapa wageni tano hatujui lipi la kufanya kipindi gani yaani hatujui lipi baya,lipi zuri,lipi kubwa lipi dogo.kwa kifupi kama taifa hatuko sawia,nawasilisha.
 
Nimakosa kutaka kuweka kitasa kipya kwenye mlango ulioliwa na mchwa (mbovu), kaa kitako, tafakari na amua kuchonga mlango mpya ili viendane na kitasa kipya unachotaka kuweka. Mlango umeoza kila kona kwanini unahangaika kutaka kuwekewa kitasa kipya? kitawekwa wapi?. Hata kama utagoma huwezi kupata mafanikio unayokusudia sanasana walimu mtawaumiza watoto wa kaka na dada zenu huku mitaani na vijijini, wale watoto wa wanaowapunja mishahara hawasomi shule mnazofundisha ninyi. Mgomo sahihi ni wa kuwaondoa wanaowapunja maslahi yenu, bassiii! sio kugomea kuwafundisha watoto wa walalahoi. Tabia hii itasababisha watoto wa watawala waendelee kutawala nchi hii, maana wao hawajui kama kuna mgomo wanajiandaa vema na kufanya mitihani ya NECTA. Acheni ushamba kazeni buti, wekeni akili zenu kwenye elimu ya watoto wa masikini ndio watakaolikomboa taifa hili.

Kweli nimeamini ujinga na umaskini wa watanzania ndiyo mtaji wa CCM, maana ungekuwa umeelimika usingewalaumu walimu bali serikali. Kugoma mbali ya kudai haki zetu pia kuna maana ya kuiamsha jamii isimame na kuiambia serikali fanya hivi kwa ajili ya watoto wetu lakini watanzania wanaanza kulaumu walimu. Tanzania lini mtaamka katika usingizi mzito.

Juzi mmeambiwa mgao wa umeme ni usanii sijaskia mahali watu wakilaani hata kwa mandamano ufisadi huo. Lakini wakisikia Kikwete kahutubia utasikia kuunga mkono hotuba ya Rais hata kama atahutubia utumbo tu. Watanzania tuache unafiki tuikomboe nchi yetu kutoka katika udhalimu wa viongozi walafi na wabinafsi!
 
Nchi imekwama hii,naisubiria kwa hamu tamko la JK la mwisho wa mwezi
 
Watanzania ni watu wa ajabu hawajui wanachotaka na hii itaipeleka nchi kutawaliwa na watu wahuni.walimu wanagoma huku ikijulikana wazi utendaji kazi wao haustahili hata kiasi wanachopata sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom