Cha Moto
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 945
- 153
Wewe Mkenya mzalendo usithubutu kutuletea unyang'au wako hapa, umeanzisha hii thread kwa kuwadharau waTZ hatuji kiswahili, sasa tunakuambia sisi ni BABA wa hicho kiswahili hata mfanye nini mnatwanga maji kwenye kinu, kama mnavyolazimisha kuwa Mlima Kilimanjaro uko kwenu, pumbavu kabisa. Na ni kweli labda mitihani yenu ni rahisi ndio maan mnajisifu mnajua, mavi ya stendi!!!