Students from Kenya perform better in Kiswahili than those from Tanzania

Alright, thats enough. I will not be replying to comments unrelated to the first post.


You all NEED TO GET OFF THOSE CHIPS FROM YOUR SHOULDERS.

Life is too short.
 
Hii makala ni mrefu sana, lakini waweza kuisoma ukifuatilia tovuti niliyoiweka hapo chini. Nimeshawahi kulizungumzia hili jambo wakati mwingine katika mazungumzo ya hapa JF ya kuwa waKenya ni wastadi wa Kiswahili lakini hakuna aliyekubaliana na mimi. Imedhihirika sasa sikuwa nimekosea.Stop with ad hominem attacks. You can put your point across without using the word idiot.
Je! Huo ndiyo ustadi unaojivunia ktk kukijua kiswahili fasaha? Kwakuwa unaweza usiyajue makosa yako, naomba ukakae na mwalimu wako wa kiswahili myachambue makosa ya kisarufi ktk sehemu zenye rangi nyekundu.
 
Je! Huo ndiyo ustadi unaojivunia ktk kukijua kiswahili fasaha? Kwakuwa unaweza usiyajue makosa yako, naomba ukakae na mwalimu wako wa kiswahili myachambue makosa ya kisarufi ktk sehemu zenye rangi nyekundu.

Nitakiri kuwa mimi sio mtaalam wa lugha, na huwa situmii kiswahili katika mazungumzo ya kila siku. Hata hivyo, najivunia sana hii lugha kama mkaazi wa Afrika mashariki. Ningependa kusahihisha sentensi moa au mbili. Labda yafaa ningeandika "Haya makala", badala ya hii makala. Nimeshawahi hutumika sana katika kiswahili cha huku kwetu, sidhani hapo kuna makosa yoyote. Ninaamini WaTZ hutumia nimewahi. Wakati mwingine (some other time) makosa hapo ni yapi?. Kuandika waKenya badala ya Wakenya ni makosa madogo ya tahajia.


Siamini neno "ktk" linatambulika katika lugha
 
You sound xenophobic (and badly educated as well).

Can you discuss to the topic at hand and stop digressing?


you kenyan!
we are coming back home,msifikiri mtaendelea ku-take chance there,
pls find your way out of our country
mbona sisi hatusumbuki kuja kwenu,nyie ni mi-*****,na nawaambia kaeni mkao wa kuhama
tukishindwa kuwahamisha nje ya nchi yetu tunajua cha kufanya!!!!!
 
Ndugu,
kuna mambo mengi sana yameongelewa kwenye habari hiyo ulitupostia, ila sijajua kwanini umetuwekea.
Je,
..ni kwa utani tu?
..unatukejeli kutokana na matokeo ya uchunguzi huo?
...?
ni kwa nini hasa!??
natanguliza shukrani.
 
Sio kukejeli, lengo langu ni kufahamisha.

Ni muhimu kufahamisha watu ukweli haswa ukizingatia uvumi ambao huenezwa hapa eti kuwa Kiswahili chetu ni kibovu. Ni kweli kuwa WaTz huongea lugha iliyo na mtiririko mtamu kuliko wakenya wengi, na hii ni kwa sababu mliifanya Kiswahili kuwa lugha rasmi, kinyume na hali katika nchi yetu ambamo sisi tunashurutishwa kusoma tukitumia lugha mbili. Kwa hivyo ilikuwa furaha isiyo na kifani kujua ya kuwa hatujapoteza makali yetu katika lugha ya kiswahili ingawaje wengi wetu hutumia lugha zinginezo.
 
you kenyan!
we are coming back home,msifikiri mtaendelea ku-take chance there,
pls find your way out of our country
mbona sisi hatusumbuki kuja kwenu,nyie ni mi-*****,na nawaambia kaeni mkao wa kuhama
tukishindwa kuwahamisha nje ya nchi yetu tunajua cha kufanya!!!!!

This is a textbook example of the xenophobic Tanzanian mind. Sub conciously, this fruit is hardwired to think that 'foreigners' are the cause of all his problems, he tends to block the fact that he has been an immigrant in South Africa for the past ten years trying to make ends and am sure despite the xenophobic attacks he has stayed put and up to this moment he is there trying to make a living in that country.

Like most xenophobic minds, their driving force is usually poverty, coupled by other factors like illiteracy and stupidity; these are the real problems that ails Tanzania, not the few Kenyans who like everyone else cross borders to look for opportunities.

I think it is important to rid your mind off that sh1t you have been on lately, the world is a global village and irregardless of what you say, Kenyans will always be your neighbors and we will definately be crossing to TZ and Tanzanians will always cross to Kenya.
 
Mkenya Mzalendo just ignore this dude, he is diverting this thread and probably baiting you, try and not comment on his posts, he is not worth your response.
 
"The African Development Bank estimates that, in East Africa, there are at least 29.3 million people considered as belonging to the middle class, representing an average of 22.6 per cent of the population - 44.9 per cent of Kenya's population, 18.7 per cent of Uganda's, 12.1 per cent of Tanzania's, 7.7 per cent of Rwanda's, and 5.3 per cent of Burundi's."

Lingekuwa jambo la kushangaza kama Kenya were having a lower literacy rate than the other two countries. However, it is good to notice how you (singular, but hopefully many others) perceive us as a threat..lol!
 
In Kenya, only 28 per cent of pupils in Standard 3 who completed the English test were able to read a Standard 2 level story with ease. In Uganda and Tanzania, pass rates were worse - 4 per cent and 8 per cent, respectively.

TALK OF KIPOFU KUMCHEKA KIPOFU MWENZIE.


The pattern for numeracy was similar - Kenya in the lead, followed by Uganda and then Tanzania. However, 12 per cent of Kenyan Standard 7s could not do a sum set at Standard 2 level. In Uganda, the figure was 15 per cent and in Tanzania, an alarming 32 per cent.

ANOTHER CASE!


Kiswahili was not tested in Uganda, but the results in Tanzania and Kenya are surprising - Tanzanian children performed worse. The popular belief is that, in Kiswahili, children in Tanzania ought to have an advantage over children in Kenya.

I want to see the statistics for this as stipulated in the other cases above....not theory!


Aggrey Kibinge, the spokesperson at Uganda's Ministry of Education, also raised issue with the sample size, saying: "The survey captured only 810 out of a total of 16,000 primary schools in Uganda, and only 31,000 pupils out of about 7 million children in primary school. We doubt that the sample was representative."

I agree with him! You can not give me statistics of whose measures I am not aware of and expect me to treat it as a fact!
However, I do not in any way refuse that our education system in Bongoland is not good..it actually sucks!
Nonetheless, Mr. MkenyaMzalendo, If you had posted this uzi in the jokes forum, ingekuwa sahihi kabisa kuendelea kuwa na the heading you have put.
But, since you claim it as 'not a joke'..it would be nice and supposedly gentleman of you to rename the topic to allow members from both parties to contribute unbiasedly....

This would enable us to talk as East Africans on how to improve our education quality, even if we can not change the systems. As observed in the research you quoted above,
"Dr Ruto says these wide gaps could be attributed to the schooling levels of parents. "We found that Kenyan parents are more likely to be higher educated than their Ugandan or Tanzanian counterparts, regardless of income. It could be that these parents are more involved in their children's education."

In BOLD:
That is something that you and I can play a part in making sure that 5 years from now, if such a research is conducted, results will be tremendously encouraging. You as a parent, a brother, an uncle, grandpa..what are you doing to contribute to your 'children's' education?
Are you just going to sit and laugh at your neighbour's kid who scored 8% in English whilst yours has 16%?
Are you going to sit and relax just because your neighbour is the same as you, or worse?
Think..tafakari, chukua hatua!!!


Natanguliza shukrani...
 
Nitakiri kuwa mimi sio mtaalam wa lugha, na huwa situmii kiswahili katika mazungumzo ya kila siku. Hata hivyo, najivunia sana hii lugha kama mkaazi wa Afrika mashariki. Ningependa kusahihisha sentensi moa au mbili. Labda yafaa ningeandika "Haya makala", badala ya hii makala. Nimeshawahi hutumika sana katika kiswahili cha huku kwetu, sidhani hapo kuna makosa yoyote. Ninaamini WaTZ hutumia nimewahi. Wakati mwingine (some other time) makosa hapo ni yapi?. Kuandika waKenya badala ya Wakenya ni makosa madogo ya tahajia.Siamini neno "ktk" linatambulika katika lugha
Ndugu, nimefurahi kwa kuwa umekiri wewe sisi mtaalamu wa lugha ya kiswahili. Lakini, umesahau kuwa hapa hatuongelei wataalamu wa lugha hiyo bali watumiaji wa kila siku yaani waswahili wa Kenya na Tanzania. Mimi kama mtumiaji nayaona makosa hata katika maelezo haya.Pili, nimegundua wewe ni mtu wa tabia ya kupenda kujitetea (good in defend character). Si vizuri hivyo.Tatu, rudi katika maelezo yangu ya awali ukayafanyie kazi niliyokushauri. Usikurupuke kuja na majibu ilihali unajifunua haiba yako na uwezo wako ukoje. Katika majibu uliyotoa hujatoa jibu sahihi, na ni kwasababu hujagundua makosa.Mwisho, "ktk" ni kifupisho rasmi cha neno katika, vifupisho vingine vilivyorasimishwa ni pamoja na n.k (na kadhalika), m.f. (mfano), kny (kwa niaba ya); kwa uchache tu orodha ni ndefu.
 
Mkuu Sherrif na watanzania wenzangu, nimejaribu kufuatilia thread hii na kwa bahati mbaya wachangiaji wa kitanzania hapa wengi tumeonekana defensive na kama tuna inferority complex. JF ni kwa ajli ya wote si watanzania tu, hivyo tuwe wavumilivu na tuwakaribishe majirani zetu. Kama ni mdahalo basi tujibu kwa hoja.
MkenyaMzalendo mkuu, karibu! Jeuafikiri ni kweli wakenya wanajua Kiswahili fasaha au itihani yenu ya Kiswahili ni rahisi zaidi? Ili kuoyesha umahiri wenu, naomba unijibu kwa Kiswahili kwanza. Asante.

Wageni are more than welcome to voice their opinions in JF as long as they show respect to my fellow bongolanders. I'm not gonna sit aside and look while my fellow bongolander is being bashed and disrespected in our own turf!
 
Wageni are more than welcome to voice their opinions in JF as long as they show respect to my fellow bongolanders. I'm not gonna sit aside and look while my fellow bongolander is being bashed and disrespected in our own turf!

How? Where?
 
Even if it is true, what's the point? ingekua ni bora katika finance ao katika development ninge taka kujua zaidi. Hivi kujua kiswahili kuliko waganda na watanzania inasaidiaje Kenya kuboresha maisha ya wakenya? Kumbukeni 3.5 million ya wakenya wanalala njaa... hao watapataje nafuu kwa kupitia kiswahili hicho?
JAmani tuweke juhudi zetu kupinzana kwa vitu vitakavyo tupeleka mbele: kuongeza employment, ku-improve mazingira, kupandisha uchumi, kuongeza upendo na cooperation east afrika. Tupinzane kingereza na kifaransa sababu vitafungua tourism, economic na diplomacy ya nchi.
Kweli kiswahili ni lugha kubwa na nchi nyingi zinaongea kiswahili ila ni lugha ya usanii na mapambo. ni international seminar ngapi, international conference ngapi zinakua kwa kiswahili? ni government ngapi zinakua na kiswahili kama lugha ya cabinet? ni nchi ngapi za G7 zinachukulia kiswahili kama lugha ya communication?
hadi tutakapo fikia hatua hiyo mimi sioni haja ya kujivunia wanafunzi wadogo kujua kiswahili kuliko majirani.
 
Hivi, kuna hata mmoja wete aliyesoma hiyo link aliyoweka hapa ama kwa sababu tu ni mkenya basi ni vita mtindo mmoja!??
 
The scoundrels are those who in indulge in senseless violence and loathsome nonsense that goes by the name separatism, and you are well aware where that is practiced. Thanks to Kikwete, a patriot.

What makes you be a refugee at JF? scared of home grown separatism?

Mwee faizafoxy leo ndo nimejua kumbe kimombo chako ni nouma...tehetehe. Hii mikenya ndivyo ilivyo,imezoea maugonvi na kubaguana huko kwao. Maisha magumu sasa inakuja bongo kujipendekeza kwa mabosi ipate kuganga njaa...
 
Hivi, kuna hata mmoja wete aliyesoma hiyo link aliyoweka hapa ama kwa sababu tu ni mkenya basi ni vita mtindo mmoja!??

Jee, wewe umeshaisoma post yake ya mwanzo? anatoa kicheko cha kutukejeli "heheheheheeeee" halafu anaandika "Utani lakini".

Kama ni kicheko na utani, kwanini hapa?
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom