AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,906
- 5,695
Wanaomponda na kumtukana njunwa wamavoko hawamtendei haki, jaribuni kupangua hoja zake kwa fact kama afanyavyo yeye bila ya matusi. Kupitia majibu ya Njuwa kuna vitu nimejinza. Lakini nyinyi wengine ninacho kiona kwenu ni matusi na zarau tu.
Kama kweli wewe Ph-25 ni mtaalam wa haya madude achana na matusi na zarau mwaga data zako kihusu ubora wa hiyo Strong 4922 tutakuelewa. Vinginevyo tutaona zarau na kejeli ndio silaha yako ya kupambana na nguvu za hoja za Njuwa .
Kama kweli wewe Ph-25 ni mtaalam wa haya madude achana na matusi na zarau mwaga data zako kihusu ubora wa hiyo Strong 4922 tutakuelewa. Vinginevyo tutaona zarau na kejeli ndio silaha yako ya kupambana na nguvu za hoja za Njuwa .