receiver yako lazima iwe inasuport wi fi network na kwenye smartfone yako uwe ume install program ya remote control hapo ndo inafanyakazi.
Dope...
Jamani mwenzenu nimetafuta remote ya strong sijaiona. Watoto waliibonda na siwezi kusearch bila remote. Wapi yupo agent wa strong hapa Bongo?
Jamani hivi humu kuna kabiashara au mitusi maana naona ni mparaganyiko tu wa mipasho
Naomba ufafanuzi kwa hili, nataka kufungua sehemu ya kuonyeshea mpira swali je hizi receiver zitanifaa na reliable?, hazisumbui? kwa utafiti nimeona ni nafuu naomba maelezo kwa hili kwa mnaotumia.
Ayaaa 😱 anataka KUTAPELI HAPO
Amakweli tapeli yuko kazi
Mkuu mbona kila kitu kinaonekana wazi wazi kwenye screen shot zake, na actually menu zake ni user friendly - hakuna cha utapeli wala nini sijui? You don't even need 2 be an IT Guru to walk through such an amazing jewel - great stuff Njunwa hebu twambie tunaweza ku-contact vipi ili utupatie hii kitu na kwa gani GANI.
Hbr yako,
Vipi kakutuma huyo Njunwani au ni:beer: kama ndivyo yalishakwisha
Kama ni wewe mwenye achana nayo ulikuwa upepo mchafu umepita .Chukua mazuri achana nayo mabaya. Pole kwa usumbufu uliopata karbu.
Mkuu nakushukuru kwa kuwa kati ya watu wenye upeo wa kuona kitu kizuri na kibaya...Mkuu mbona kila kitu kinaonekana wazi wazi kwenye screen shot zake, na actually menu zake ni user friendly - hakuna cha utapeli wala nini sijui? You don't even need 2 be an IT Guru to walk through such an amazing jewel - great stuff Njunwa hebu twambie tunaweza ku-contact vipi ili utupatie hii kitu na kwa gani GANI.
Naomba ufafanuzi kwa hili, nataka kufungua sehemu ya kuonyeshea mpira swali je hizi receiver zitanifaa na reliable?, hazisumbui? kwa utafiti nimeona ni nafuu naomba maelezo kwa hili kwa mnaotumia.