Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Mmebaki mnabishana specifications specifications....wateja mmetuacha njia panda tumuamini nani! I was interested lakini nahisi wote mnataka kutuibia tu..

mkuu hakuna mwenye interest na huu uzi apa... naamini uzi huu ulianzishwa maalumu kwa ajiri ya srt na sivinginevyo., sasa anapotokea mtu kichwa maji hajui lolote kuhusu kifaa kinacho zungumzwa...

eti analeta vitu kwa lengo la kutokutoa elimu inayo lengana na srt ktk uzi wa srt basi huyu sio wakufumbia macho... kama unaona box yako ni bora zaidi basi anzisha uzi wako tutakuja kusoma uko uko na sio kuchafua uzi ambao kwako unauona hauna maana.

ndio maana nyuzi nyingi humu ndani zimekufa kwa ujinga ujinga kama huu wa njua mavoko a.k.a mbana pua.

njua anzisha uzi wako unaohusiana na marcvr yako tutakuja kukusaport huko huuko makalio we.
 
lakini baba wa receiver kwa sasa ni DREAM BOX labda hapo baadae kama atatokea mwingine

mkuu hakuna anaetaka ligi ktk mada hii... nakushauri wewe na njua fungueni uzi wenu unao husu dream box tutakuja huko huko kuchangia... lakini unapoleta mada yako juu ya mada ya mwenzako apo unakua unatafuta mabishano tu ya sio na msingi...

njua amesha kiribkua srt ni nzuri sana kwa mafundi na watu wanao ijua kiundani,wenye uwezo wakuitumia,na watu wenye asas ya kupata fringe channels...

lakini kwa mtu kama yeye ambaye upeo wake ni mfupi kama maisha ya funza, kwakwe sio bora... kitu bora kwake ni box za contineto tu. mana haitaji kushika complex sat kwa ajiri ya complex channels...
 
Jamani mwenzenu nimetafuta remote ya strong sijaiona. Watoto waliibonda na siwezi kusearch bila remote. Wapi yupo agent wa strong hapa Bongo?
 
Sijamaanisha kuanzisha ligi kuhusu aina za box kunapost nimesema srt 4922 ni bora kuliko srt 4950 pia nikaweka na link ili mtu aangalie mwenyewe utofauti wa hizo box lakini nikasema zipo nzuri zaidi kama DREAM BOX
 
Jamani mwenzenu nimetafuta remote ya strong sijaiona. Watoto waliibonda na siwezi kusearch bila remote. Wapi yupo agent wa strong hapa Bongo?

Nitaulizia nilipo nunulia yangu kujua kama wanazo hizo remote. Nitakujulisha. Imefika wakati wakuendelea na mada sasa
 
penye ukweli uongo utajitenga, mimi ndiye nilianzisha huu uzi kwa lengo la kuelimisha na sifanyi biashara yoyote ya strong decoda, hata bei niliyokadiria ni ya madukani kariakoo, mwanza na arusha kulingana na utafiti wangu, mimi nimeshangaa uzi umevamiwa na hawa mamluki wenye uroho wa kuchuma pesa za wanajf na hasa huyu njuwa ameonyesha kuumia sana hadi anadiriki kuwadanganya watu na elimu yao kuwa pesa ya kenya 6000 na sawa na tsh 72000.
kwa taarifa yako njuwa mimi sijatumwa na mtu kuuweka huu uzi humu, na strong si kwa ajili ya continental kama unavyowaza na hakuna sehemu nilipoitaja continental kama fta.

Mkubwa mm naelewa yote hayo nimeitaja continental sababu ilikua FTA kwa kipindi hiki cha mpito na nimetaja Sats nyingine kama ulisoma post yangu #1
Na mm nilitoa suggestions zangu na wala si kuwa na lengo baya na srt 4922 na wala sikua na malengo mabaya na wauzaji wa Strong na haiwezekani uzi uongelea kitu kimoja hapa JF lazima humo humo utaibuka mjadala wa kitu kinachohusiana na hiyo mada....
Hiyo bei ya kenya nimetaja kujua kwa nn hizi za Bongo bei kubwa?
Na pia lazima ukubali kwamba SRT 4922 sio receiver bora ya FTA kama mada ilivosema....

Najua wewe sio muuzaji wa srt ila ni mtumiaji na kwa JF navyojua hapa mtu mfano ukiponda Simu ya Tecno mtumiaji siku zote ataumia atakuja juu ila siku zote weakness itakua pointed out na itaoneshwa wazi kila mtu aijue....

Siku zote bidhaa za electronics tunaangalia specifications lkn pia tunaangalia bei ya hicho kifaa na matumizi ya kawaida ya jamii fulani ya watu....

Ndo maana nikatoa suggestions zangu za receiver ambayo wala sitegemei kuiuza maishani kwangu ila kwa kuwa tu ni ya kampuni ya Qsat basi ndo mkajua labda nawaharibia biashara....
Mm siuzi QSAT wala receiver kutoka kampuni ya QSAT labda tu mtu aipende nina connections na watu wengi namtatufutia kwa jamaa zangu namuuzia hivo usiwe na attitude ya Bias siku zote

Nineitaja srt 4950 sababu CCcam module yake kwa wateja wengi wanaopenda kufungua Pay TV kwa card share servers inafanya vizuri kuizidi hiyo srt 4922....

Nanimekazana kuwambieni kusoma vizuri mtu alicho andika
Kama hauelewi usikimbilie kushambulia wewe uliza ili mtu ujue zaidi alichokimaanisha....

Nimeshangazwa sana na watu wenye tabia za wanawake akina #ndanda masasi za wivu usiokua na msingi na kujaribu kulichafua jina la njunwa wamavoko ila inshort ni kwamba niwambie mm ni next number nimekutana na restitance kubwa ila zote zimekua upepo tu kama #ndada alivokua upepo mtupu

Kunitukana mm ni Ubatiri mtupu
 
Last edited by a moderator:
Jamani mwenzenu nimetafuta remote ya strong sijaiona. Watoto waliibonda na siwezi kusearch bila remote. Wapi yupo agent wa strong hapa Bongo?

Musa Electronics ndo mmoja wa Authorised dealers wa strong decoders hapa Bongo ambae ukienda website ya strong ukawambia upo DSM TANZANIA watakupa Namba zake utawasiliana nae....

Yupo Kariakoo pale ukishuka Bakhresa uliza tu MUSSA ELECTRONICS wapi?
Utaoneshwa sijajua kama anauza spare parts....

Pia receiver nyingi za Kisasa unaweza kutumia Simu yako ya smartphone kama remote sijajua hiyo strong yako kama ina features kama hiyo
 
Naomba kujuzwa kidogo, ninayo receiver ya strong srt 4650 niliinunua miaka nyuma kidogo, vipi hii nikiinunulia dish nAweza pata channel za ukweli kweli? Mwenye kujua tafadhali
 
Musa Electronics ndo mmoja wa Authorised dealers wa strong decoders hapa Bongo ambae ukienda website ya strong ukawambia upo DSM TANZANIA watakupa Namba zake utawasiliana nae....

Yupo Kariakoo pale ukishuka Bakhresa uliza tu MUSSA ELECTRONICS wapi?
Utaoneshwa sijajua kama anauza spare parts....

Pia receiver nyingi za Kisasa unaweza kutumia Simu yako ya smartphone kama remote sijajua hiyo strong yako kama ina features kama hiyo
Asante sana mkuu. Unatumiaje smartfone?
 
Kiukweli wewe ni gwiji la magwi UTAPELI UONGO FITINA
Sasa zamazako sinaishia hakuna wa kumdanganya hapa ilikuwa enzi zile.

Stock mpya ya TV1 CCcam iko hewani sasa na kuhusu mauzo huko unajidanganya ndugu yangu,njoo Dar kaulize western union ya DTB pale kariakoo kila week inatumwa hela ngapi kwenda nje ya nchi utapata jibu kwamba kuhusu mauzo sishikiki kabisa
Nimeuza CCcam zaidi ya kwa wateja 100 na wote wananishukuru mpaka leo....
Na wengi wako wana nicheki whatsapp niache kubishana na watu WAJINGA kama nyie mnaoleta story za vijiweni za srt 4922 bila kujua hata production order wanafanya akina nani na production inatumia material gani na inafanyika nchi gani?

Am the only revelation to people to using AvatacamHD accts....with Unbeatable prices

So long as TV1 CCcam is alive zama zangu bado zipo na vitu vipya vingi vinakuja najua wewe ni AMONG HATERS ila nina FANS wangu na umekazana kuwapoteza ila hapo umegonga mwamba mienendo yangu na maneno yangu yako straight forward siko kama nyie madalali wa MUSSA ELECTRONICS mnaonunua receiver za strong 130,000/= afu mnawauzia wateja 250,000/= kwa jina la Kutumia TV1 CCcam afu mwisho mteja ajekusema TV1 CCcam mbovu kumbe srt 4922 mlomuuzia ndo MBOVU

Mwisho kasome uone likes nilizopewa hapo juu na wewe ulizopata kwa kuchangia hii thread huo utumbo
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...-kwa-fta-television-chanels-post11603943.html
 
Asante sana mkuu. Unatumiaje smartfone?

Kuhusu smartphone sidhani kama receiver yako ina MENU mahala wameandika REMOTE CONTROL ndani ya receiver

Na navyojua hii trick inafanya kazi kwenye receiver za Sunplus Chipset

Bahati mbaya sina details zaidi mkuu ningekusaidia Ila MUSSA ELECTRONICS ataku solvia tatizo lako na bei zake ziko poa sana
 
eti kwa mteja wa kawaida kama wa contineto haitaji rcvr complex... jinga we sasa siuwashauri hao wateja zako wakanunue box za contineto.?

mbona una akiri pungufu wewe.? mala oooh srt nzuri kwa mafundi tu, mala oohh kwa mteja wa kawaida srt ni upotevu wa pesa tu... mbona na sisi pia izo box zako za contineto tunaona ni uhuni na uchafu tu...

yani uingie gharama kwa chanel 12 tu
... si bora ukanunue azam tu...

unazisifia box zako eti sifa yake kuu ni kua ina card haring... shenzi bisa... sasa mteja wa cintineto atajua kweli io card sharing ni kitu gani.?

njua hauna jipya wewe majigambo tu.

Nimekwambi mara kama tano huwezi kubishana na mm sababu wewe ni standard 1 drop out Haujui kusoma na wala haujui kuandika sijui nani anakusaidia ku login humu JF?

Watu wengi kama haujui wamefunga Continental sio kwa kutumia receiver zao na mm siongelei receiver zao Continental naongelea Continental kwa sababu Lyngsat inawaonesha kama FTA TV

Amos 5 at 17.0°E - LyngSat
Najua haujui kusoma vizuri hivo ntakuelezea bado hiyo link ya Amos 5 kwa chini kuna mahala wameandika SD Clear wakimaanisha hizo channel hazijafungwa

Na huo ulikua mfano kuonesha kwamba wateja wanaoshika Continetal kwa FTA boxes kama Ibox 3030 itakua uharibifu wa hela kununua box kama srt 4922 hiyo bei mnaowapigisha wateja 250,000/= Kwa ajili ya kushika channel 12 ambazo mwenye hapo kwenye mkazo unaonesha ni uharibifu wa pesa na mm hilo nililijua tokea mwanzo maana watu majumbani mafundi wamewafungia Continetal kwa kutumia FTA boxes na sikutaja continetal receiver popote na hapo ndo unazidi kuuonesha umati haujui kusoma

mkuu hakuna anaetaka ligi ktk mada hii... nakushauri wewe na njua fungueni uzi wenu unao husu dream box tutakuja huko huko kuchangia...

lakini unapoleta mada yako juu ya mada ya mwenzako apo unakua unatafuta mabishano tu ya sio na msingi... njua amesha kiribkua srt ni nzuri sana kwa mafundi na watu wanao ijua kiundani,wenye uwezo wakuitumia,na watu wenye asas ya kupata fringe channels...

lakini kwa mtu kama yeye ambaye upeo wake ni mfupi kama maisha ya funza, kwakwe sio bora... kitu bora kwake ni box za contineto tu. mana haitaji kushika complex sat kwa ajiri ya complex channels...

Inaonesha Haujui maana ya FORUMS na sikushangai maana unafikiri hapa ni facebook,hapa tunaongelea FTA Receiver Bora na tumepinga kwamba thread imepotosha umma maana srt 4922 sio receiver bora hapa duniani

Na bado kuna thread nyingi za FTA hako post huko ila ukiadhisha thread mpya unatukaribisha tukuoneshe maana ya hiho kifaa ambacho umekaa nacho bila hata kujua sifa zake ni zipi

Na nimekwambia mm sio level za kutumia hicho kiboksi kidogo nimekutaji receiver ninayotumia DM800se v2 nakutajia kwa mara ya pili mm situmii hizo receiver za kitoto

Ndo maana nimesema mm hainifai maana najua matumizi yaliyopo kwenye Enigma II box kama DM800,VU solo etc huwezi zipata vi receiver vya uswahili kama hiyo srt 4922 natumia international devices

mkuu hakuna mwenye interest na huu uzi apa... naamini uzi huu ulianzishwa maalumu kwa ajiri ya srt na sivinginevyo., sasa anapotokea mtu kichwa maji hajui lolote kuhusu kifaa kinacho zungumzwa...

eti analeta vitu kwa lengo la kutokutoa elimu inayo lengana na srt ktk uzi wa srt basi huyu sio wakufumbia macho... kama unaona box yako ni bora zaidi basi anzisha uzi wako tutakuja kusoma uko uko na sio kuchafua uzi ambao kwako unauona hauna maana.

ndio maana nyuzi nyingi humu ndani zimekufa kwa ujinga ujinga kama huu wa njua mavoko a.k.a mbana pua.

njua anzisha uzi wako unaohusiana na marcvr yako tutakuja kukusaport huko huuko makalio we.

Wewe usijifanye MODERATOR wa hili jukwaa ka report kwenye uongozi kama unaona post nilizoweka haziendani na hii mada
Ndo maana unawaona walio post ujinga Post zao zimefutwa kumbe inaonesha hamuijui JF vizuri kuna watu waliffikiri wanaweza kuropoka tu hapa unaweza kupigwa permanent BAN ukiongea lugha za kijinga kama zako

Ndio mana nasema njua una matope kichani hauna akiri... sasa unaposema eti kwamteja wa continental srt haifai , ni nani aliekwambia kua continental ni fta.? alafu sima kicha cha habari ya mada hii...

continetal wafunga chanel zao na zinakua za kulipia soon.... na zitakua kama za azam tu sasa mtu kama wewe njua itakulazimu ukanunue box zao na kadi zao ili muoje io contineto yenu.

Kuhusu akili wala sidhani kama umenifikia labda utanifikia iwapo utajua kuandika na kusoma kama mtu msomi Hauwezi kuandika kushindwa mwanangu alieko chekechea kwenye jukwaa la wasomi kama hili afu bado ukamuona njunwa wamavoko ana matope kichwani(Ishara nyingine kwamba haujui hata sayansi ya ubongo na ishara kuonesha wewe ni standard one/kindagarten drop out)

Narudia kukwambia so long as huu uzi upo kuongelea receiver bora ya FTA mm nakata kwamba srt 4922 haijaifikia 1/100,000 ya DM800se v2 au other enigma II boxes kama VU SOLO

kama unaona hii thread sio ya FTA receiver basi report post zitafutwa ila srt 4922 IS THE WORST DEVICE I have met na sababu nshazitoa sasa nataka unioneshe Ubora a hiyo receiver mpaka tuitukuze kiasi hicho hapa JF na wala mtu asiongee kitu kibaya kuhusu hiyo receiver
 
Habari za muda huu wana JF,

Napenda kuwataarifu kuwa sasa kuna decoda zijulikazo kama strong 4922 ambazo zipo vizuri sana kwa kupata chanel nyingi zaidi kuliko decoda nyinginezo.

Zifuatazo ni baadhi ti ya sifa ilizo nazo hii strong4922

1.mpg4 full hd

2.ina bisskey program itakayokuwezesha kufungua chanel ambazo ni scrambled ila zinafunguliwa kwa bisskey

3.youtube

4.pia inakubali accounts mbalimbali kama cccam, dqcam, tv1 nk Kwa wale mliochoka na malipo ya kila mwezi kama mimi nawashauri mnunue decoda bora na mathubuti hii ya strong 4922 ili uepukane na malipo ya kila mwezi ya akina ving'amuzi vilivyojaa hapa tanzania/

Naruhusu maswali

Mkuu hii receiver kwako ni mpya nini!!?? mbona ya kizamani sana tuu?? au utakua fundi dishi wewe.
 
njunwa wamavoko,

Tazama ulivyo wa ajabu kumbe unaamini kila kilichopo lynsat.? haya tuambie kwanini chanel za mbc zilizoko w7b hazifunguki japo ziko FTA.?
 
Last edited by a moderator:
Mm niko na dreambox yangu tu sina pressure
29208za.jpg


Huku nikiwa na TV1 CCcam ECM time <1 no freeze no buffer

21cva11.jpg



Nimeweka zangu TS Media plugin nikitaka any IPTV ntapata tu

2n8u9sn.jpg


TS Panel hapa nikiitaji CCcam version yoyote naweka,Oscam na vitu kama hivo navikuta kwenye SOFTCAMS

34q4fvm.jpg


DreamBox Control Center for Enigma 2 boxes hapa najianda ku test acct zote zenye matatizo kwenye CCcam.cfg file tayari kwa ku report shida kwa admin
250kq9x.jpg


Tuner configuration hapa hata nitake ku set DVB-T2.S2 etc ni mm tu
spcfba.jpg



Na kuna sehemu mpaka ya WEB BROWSER ntaitupia nikiandika comments JF hapa baadae
 
Kuhusu smartphone sidhani kama receiver yako ina MENU mahala wameandika REMOTE CONTROL ndani ya receiver

Na navyojua hii trick inafanya kazi kwenye receiver za Sunplus Chipset

Bahati mbaya sina details zaidi mkuu ningekusaidia Ila MUSSA ELECTRONICS ataku solvia tatizo lako na bei zake ziko poa sana

receiver yako lazima iwe inasuport wi fi network na kwenye smartfone yako uwe ume install program ya remote control hapo ndo inafanyakazi.
 
Back
Top Bottom