Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Mimi napita tu ila rcva bora kwasasa ni srt 4922 hizo nyingine zooote niutapeli wa wachina tu! mnakumbuka enzi za g6 na watu zilivowafia? srt toka wakati huo bado imesimama tu atakayebisha hakika hajui kuitumia!

srt 4922 ni bora kwa watu wenye huelewa na satellite world....

Na una uhakika dunia nzima hiyo ndo best receiver?

au una uhakika kati ya receiver zinazokua imported to Tanzania srt 4922 ndo bora?

Toa vithibitisho vya specifications usilinganishe na Azsky G6 usijefikiri hiyo ndo receiver pekee hapa TZ
 
Wewe jamaa unamatatizo sana unahitaji maombi ubadilike kwa kuambiwa umeshindikana kabisa.
Umejaa utapeli ,uongo,fitina una kuwa kama una haki miliki hapa jf ya kuuza hizo rcva zako. Mtu mwingine asi sibutu kutangaza bidhaa nzuri lazima utie fitna pia utangaze hzo bidhaa zako ambazo watu wamesha kustukia
Acha hizo fta idumu

naona na wewe umejibu kwa hasira ila ntakujibu kwa upole maana mm siongeagi uongo na kama ni uongo nionesha wapi nimekosea kwa vithibitisho na sio kutoa maneno ya kunichafua.....

Na wewe nakupa exercise ya kujifunza kusoma kwa ufasaha

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...


Usiongee maneno usiyoyajua na maneno yako ni kama wivu hapa tunachoitaji ni evidence based technical reviews na sio kutoa details za njunwa wamavoko....

Na kuhusu Account/receiver ninazouza mm hazikuhusu na wala watanzania hawatoacha kuzinunua hivo ongelea mada kuhusu srt na receiver nyingine sio kuhusu personality yangu
 
Tatizo lake aliaminishwa kuwa hiyo rcva anayoinadi ni bora kuliko mnyama srt 4922...kuanzia leo atatamani kujaribu kuitumia hii mashine inayoweza kukumbatia channels 10,000! Mimi nasubiri hizo srt atakazo ingiza toka kenya nakutuuzia kwa bukubuku! Anamasihara huyu jamaa hata bei na ubora wa srt 4950 haujui! kwaufupi rcva mpya yoyote inayoingia sokoni hunters wote tunainyambua kwanza kuijua undani wake teh teh teh...

tunaitaji Specifications za receiver sio maneno sijui hunters wamefanya nn?

Mtu ambae kidogo ana fact ni @Ph-25

Kaongelea modulation,sensor etc

Toa facts kuthibitisha kua srt ni receiver bora hapa Tanzania ukilinganisha na receiver kama DreamBox etc
 
Habari za muda huu wana jf
Napenda kuwataarifu kuwa sasa kuna decoda zijulikazo kama strong 4922 ambazo zipo vizuri sana kwa kupata chanel nyingi zaidi kuliko decoda nyinginezo.
Zifuatazo ni baadhi ti ya sifa ilizo nazo hii strong4922
1.mpg4 full hd
2.ina bisskey program itakayokuwezesha kufungua chanel ambazo ni scrambled ila zinafunguliwa kwa bisskey
3.youtube
4.pia inakubali accounts mbalimbali kama cccam, dqcam, tv1 nk
Kwa wale mliochoka na malipo ya kila mwezi kama mimi nawashauri mnunue decoda bora na mathubuti hii ya strong 4922 ili uepukane na malipo ya kila mwezi ya akina ving'amuzi vilivyojaa hapa tanzania/
Naruhusu maswali

Ukishata vitu kama hivo kwenye Post yako unakua umerudi kule kule kwenye kwa njunwa wamavoko

na hii ni ishara tosha kwamba Account za Card sharing hazitoisha sokoni....

Na haina maana kutaja CCcam wakati hapa tunaongelea FTA wewe mwenyewe unakua unajirudisha kule kule......

[h=3]Specs Of srt 4922:[/h]
  • 3D Broadcasts Compatible via HDMI
  • Video Resolution: 1080i/p
  • 720p,576i/p DVR-Ready via USB External Mass Data Storage Device
  • Time Shift, Record & Playback
  • USB 2.0 Host for Wi-Fi Adaptor, MPEG & MP3 Playback, JPEG Viewing and Firmware Updates
  • Ethernet Port (RJ-45) for Software Updates
  • 10,000 Programmable Channels
  • DVB-S2/S, MPEG-4/2 H.264 Compliant
  • HDMI Output
  • Programmable Function Keys: F1~F4 & 0~9
  • Dolby Digital Electrical Output
  • 16:9 Full Screen, 4:3 Letterbox & Full Screen
  • Advanced Blind Scan
  • Auto & Manual Channel Search
  • Electronic Program Guide
  • 16 Favorite Channel Groups
  • Auto Voltage (AC 100 - 250V~) SMPS
  • Embedded CONAX CAS7

sasa bwana mkubwa PH-25 njoo unioneshe ubora wa Modulation hiyo ni ngapi maana manufacturers website tu hawataji
C.C
ndanda masasi
ndanda masas[URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=229467"]ndanda masasii[/URL]
 
Mimi napita tu ila rcva bora kwasasa ni srt 4922 hizo nyingine zooote niutapeli wa wachina tu! mnakumbuka enzi za g6 na watu zilivowafia? srt toka wakati huo bado imesimama tu atakayebisha hakika hajui kuitumia!

Strong imetengenezwa wapi?

Kisha Linganisha srt 4922 na moderate receiver ya Dreambox 800se

Kisha onesha huo ubora kwa faida ya watu tusioelewa ila comment bila facts ni Bure

Satellite receiver 800se 800 hd se dvb receiver:

  • DVB 800se hd & 800 se hd with wifi inside,DVB-S2 the best quality
  • supports the Linux TV API
  • 10/100MBit compatible Ethernet Interface
  • HDMI connector
  • 3*USB
  • plug & play Tuner
  • colored OLED display
  • plug & play slot for an internal 2,5" SATA hard disk
  • wifi inside D6 mainboard
Comparing with the DVB 500-HD & DVB 800-HD Receiver. DVB 800SE is more Perfect TV Receiver. Advantage as follows:


  • 1. 400 MHz MIPS Processor (DVB 800 only has 300MHz.)
  • 2. Colored OLED Display (DVB 500-HD do not have)
  • 3. HDMI connector. (Not DVI connector)
  • 4. Plug & Play Slot for an internal2,5" SATA hard diskor eSATA.
  • 5. 10/100 MBit compatible Ethernet Interface.
  • 6. Plug & Play Tuner(Can Change the Tuner into DVB-C, DVB-T.)
  • 7. 3 x USB 2.0(DVB 500HD only have one)
  • 8. 2 X Smart Card-Reader (DVB 800HD only have one.)
  • 9. WIFI, 300M WLAN supported
GOOD MAINBOARD:
DM800SE-wf5.jpg

DM800SE-wf6.jpg

  • 400 MHz MIPS Processor
  • Enigma 2, Linux Operating System
  • colored OLED - Display
  • MPEG-2 / H.264 Hardware decoding
  • Tuner: DVB-S, optional: DVB-C, DVB-T
  • Tuner Module, Plug&Play
  • 2 x Smartcard-Reader (Dreamcrypt CA)
  • Mini USB for Service and software update
  • 10/100Mbit Ethernet Interface
  • 1 x Scart (RGB, FBAS or S-Video)
  • HDMI
  • 2 x USB 2.0 (e.g keyboard)
  • analog modem
  • S/PDIF Interface for digital bit stream out (AC-3)
  • 64 MByte Flash, 256 MByte RAM
  • SATA
    - for internal HDD 2,5"
  • unlimited channel lists for TV/Radio
  • channel-change time < 1 second
  • automatic service scan
  • directly bouquet-lists
  • EPG (electronic program guide)
  • multiple LNB-Switching control (supports DiSEqC)
  • OSD in many languages and skin-support
  • Videotext Decoder
  • extern 12V power supply
DVB 800 HD se technical data
DBS-Tuner mit DVB-S2:

  • Frequency Range 950 .... 2150 MHz
  • Demodulation DVB-S (QPSK); DVB-S2 (8PSK,QPSK)
  • Symbol rate DVB-S: 2 ... 45 Mbaud/s, SCPC/ MCPC
  • DVB-S2: 10 &#8211; 31 Mbaud/s (8PSK) , 10 &#8211;30 Mbaud/s (QPSK)
Video decoder:

  • Video Compression MPEG-2 and MPEG-1 compatible, H.264
  • Video Formats 4:3 / 16:9
  • Letterbox for 4:3 TV-Device
Audio decoder:

  • Audiokompression MPEG-1 & MPEG-2 Layer I and II, MP3
  • Audio Mode Dual (main/sub), Stereo
  • Frequency: 32 kHz, 44.1 kHz, 48 kHz, 16 kHz, 22.05 kHz, 24 kHz
Output analog:

  • Output Level L/R 0,5 Vss on 600 Ohm
  • THD > 60 dB (1 kHz)
  • Crosstalk < -65 dB
Output digital:

  • Output Level 0,5 Vss on 75 Ohm
  • Sampled Data Filtering 32 kHz, 44.1 kHz, 48 kHz
  • S/PDIF-Output optical, Toslink
Ausgang Video:

  • Ausgangspegel FBAS 1 Vss +/- 0.3 dB an 75 Ohm
TV-Scart:

  • Output: FBAS, RGB, S-Video
Mini USB service connector:
  • Function: Update of Firmware
Ethernet:

  • 10/100 MBit compatible interface
  • Function: Update of Firmware
Analoge modem:

  • analoge modem for Internet connection
SATA Interface:

  • for internal 2,5" HDD
USB

  • 3 x USB 2.0
LNB power and polarisation per tuner:


  • LNB Current 500mA max.; short-circuit-protected
  • LNB Voltage vertical < 14V no load, > 11,5V at 400mA
  • LNB Voltage horizontal < 20V no load, > 17,3V at 400mA
Count of active satellite position:

  • DiSEqC 1.0/1.1/1.2 and USALS (Rotor Control)
Power consumption:

  • < 15W at 12V
External PSU

  • Input:
    110-240V AC / 50-60Hz / 0,6A
  • Output:
    12V = / 3,0A
Physical specification:


  • Ambient Temperature +15°C...+35°C
  • Humidity < 80%
  • Size (W x D x H): 225 mm x 145 mm x 52 mm
  • Weight: 940 g without HDD
 
Nachoitaji ni Facts tu hapa sio uswahili hili ni jukwaa la wasomi

Na mtu siku zote hakikosea hatukanwi anaoneshwa specifications halizotoa manufacturer


I will be back mda kama huu kesho kuwajibu matatizo yenu
 
srt 4922 ni bora kwa watu wenye huelewa na satellite world.... Na una uhakika dunia nzima hiyo ndo best receiver?

au una uhakika kati ya receiver zinazokua imported to Tanzania srt 4922 ndo bora?

Toa vithibitisho vya specifications usilinganishe na Azsky G6 usijefikiri hiyo ndo receiver pekee hapa TZ[/QU srt ni best rcva for me! issue ya specification kila mmoja anapotafuta kifaa anachohitaji kama anaweza kufungua jf pia anaweza kugoogle na kupata specification lengwa..

Nilichogundua unatabia ya gubu thus why wote wamekushambulia you have to change usipende kuamini kuwa wewe unajuwa zaidi mbele ya kadamnasi teh teh teh..
 
Umenijibu kwa hasira mm nakujibu kwa upole mpaka utajiona mjinga

Kajifunze kusome vizuri kila neno mtu analo andika kwanza afu ndo utakuja hapa tuanze ku jadili hii mada

Nakupa Clue za vitu nilivoongea hapo juu na wewe utapata majibu yako

Humo humo kuna maswali yanataka majibu hivo usikurupuke tu

[/COLOR]

Kwa quotation hizi umeonesha kua wewe bado sana ktk ulimwengu huu... unaishi kiwizi wizi tu humu jf kwa kusifia vitu usivyo vijua... haya emu tuambie speed hd1 na io hd2 ipi bora kwa upande wako?

Mana naona haujawai hata kutumia kati ya izo moja wapo.
 
njunwa wamavoko,

mtengenezaji wa srt anaakiri sana kukuzidi wewe bwana mdogo... coz alijua wazi fika kitendo cha kuandika adharani sifa ya modulation ya srt kitawazindua watu kama nyinyi msio taka kufikirisha vichwa vyenu ...mana mta copy kila kitu...

sasa kwa taarifa yako tu kanunue srt4922 kisha soma menu guide utakuta io... kama utapenda kukomaa na kucopy vitu mitandaoni na kuleta apa shauri ako....

kwa faida yako tu srt 4922 inacheza mpaka bit32psk... tecknolojia ambayo imeandaliwa kwa baadae sana... atakuja kuikuta mjukuu wako io mana saizi tuko 8psk.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ni comprehension(kusoma kwa ufasihi) ndugu yangu...

Mm nimeuliza swali kwa nn za bongo ni bei kubwa kuzidi za kenya nachoitaji ni jibu na sijaiponda Srt 4922 kama nimesema kitu cha uongo kuhusu srt emu ni quote au Bold sentesi

kweli njua kichwani unamatope... yani mpaka umri ulionao huo unashindwa kujijibu swali dogo kama ilo.? haujui kwanini za kenya zipo chini kuliko za tz.?

kwani importation charge zina ringana.? port charge ya kenya na tz zinalingana.?.. vp kuhusu thamani ya pesa yetu na wao ipi kubwa.?... alafu nikushauri kitu.. jaribu kufanya importation ya srt kisha nenda na mlolongo wa kulipia izo charge mpaka tra... kisha srt zako ziuze kwa bei ulioisema wewe...
 
mtu kama njua usikute kwake hana ata tv ya chogo wala rcvr ya mediacom.. kazi yake kucopy vitu toka ktk website ya alibaba na kuvileta humu etu ushaidi wakati hata siku moja io rcvr hajawai kuiona.... period...
 
Nachoitaji ni Facts tu hapa sio uswahili hili ni jukwaa la wasomi

Na mtu siku zote hakikosea hatukanwi anaoneshwa specifications halizotoa manufacturer


I will be back mda kama huu kesho kuwajibu matatizo yenu

sikia bwana mdogo... kama haujawai tumia srt nenda kaazime kwa jirani yako kidogo kisha ndo utajua ni nini nakueleza... hata ukeshe mitandaoni hauwezi pata sifa za srt original zote mana waofia kuibiwa na mashushushu kama wewe ila mimi nitakwambia... nitajie rcvr ambayo ndani yake kuna spactelizer .? kama haujui basi srt inayo.

nitajie rcvr ambayo unaweza kuirudishia uhai wake ambapo kama unaiupdate umeme ukakatika na ikashindwa kuwaka.? kama ujui basi srt iko io mambo.

wacha kucopy vitu uko na.kutuletea sisi apa... izo rcv tunamuda.tunazitumia kabla haujaanza kuuza cccam.
 
kwa quotation hizi umeonesha kua wewe bado sana ktk ulimwengu huu... unaishi kiwizi wizi tu humu jf kwa kusifia vitu usivyo vijua... haya emu tuambie speed hd1 na io hd2 ipi bora kwa upande wako.? mana naona haujawai hata kutumia kati ya izo moja wapo.

Nimekwambia kwamba kama haujui kusoma na kuandika vizuri hauwezi kubishana au kuendesha mjadala na mm

Kasome post yangu upya.....na nakusaidia kurudia ni kwamba hizi receiver ni nzuri tu kwa mafundi ila mtu wa kawaida wa kushika tu continental haitaji complex receiver kama srt 4922 karudie usome vizuri uache kutapika kutapika pumba ukishaelewa hivo utakuja hapa ni kwambie kwa nn bimetaja speed hd s2 na wala sijataja speed s1 nikiwa na maana kubwa sana

Tanzania bado tunatumia Terestrial TV na tunazo satellite TV hivo receiver kwa mteja wa kawaida receiver kama hii itamfaa maana kwa urahisi kabisa hatoitaji tena kununua Startimes kushika terestrial TV

Narudia tena kwa wateja au watu kawaida srt 4922 ni wastage of money or resources

mtengenezaji wa srt anaakiri sana kukuzidi wewe bwana mdogo... coz alijua wazi fika kitendo cha kuandika adharani sifa ya modulation ya srt kitawazindua watu kama nyinyi msio taka kufikirisha vichwa vyenu ...

mana mta copy kila kitu... sasa kwa taarifa yako tu kanunue srt4922 kisha soma menu guide utakuta io... kama utapenda kukomaa na kucopy vitu mitandaoni na kuleta apa shauri ako....

Nime kwambia utulie uandike na usome vizuri sio kukurupuka hapa hili jukwaa na kuelimishana technolojia Hiyo ya ku copy hizo specification zako nilikua tu nakustiua kwamba una argue bila point hizonilikua nataka uweke full specification afu tuanze argument upya

kwa faida yako tu srt 4922 inacheza mpaka bit32psk... tecknolojia ambayo imeandaliwa kwa baadae sana... atakuja kuikuta mjukuu wako io mana saizi tuko 8psk.

Sio shida hiyo kasome properties za DM800 hapo juu utaona hiyo ni cha mtoto kwa dreambox

kweli njua kichwani unamatope... yani mpaka umri ulionao huo unashindwa kujijibu swali dogo kama ilo.? haujui kwanini za kenya zipo chini kuliko za tz.?

kwani importation charge zina ringana.? port charge ya kenya na tz zinalingana.?.. vp kuhusu thamani ya pesa yetu na wao ipi kubwa.?... alafu nikushauri kitu.. jaribu kufanya importation ya srt kisha nenda na mlolongo wa kulipia izo charge mpaka tra... kisha srt zako ziuze kwa bei ulioisema wewe...

Unachoongea haukijui maana kuhusu customs duty na import tax sidhani kama unazielewa kunizidi Unataka kunambia Importation ya kenya ndo inaleta tofauti ya 130,000/= cha juu?

Authorised dealer wa srt kwa hapa Tanzania ni nani na anaziuza bei gani? Nachokwambia mm najua watu wanauza srt 4922 150,000/= na hapo kuna negotiation ambayo kidogo iko understandable na sio hiyo 230,000/= mpaka 250,000/= huo ni wizi wizi nje nje na wewe utakua mwizi kama una support hicho kitu
Anyways hii sio part ya Topic hapa...

mtu kama njua usikute kwake hana ata tv ya chogo wala rcvr ya mediacom.. kazi yake kucopy vitu toka ktk website ya alibaba na kuvileta humu etu ushaidi wakati hata siku moja io rcvr hajawai kuiona.... period...

We usikae ukamdharau mtu usie mjua na nimekwambia na nakwambia tena fikiria mara mbili kabla ya kuandika haunijui sikujui na kuhusu satellite gadgets nilizo nazo nyumbani sidhani kama umefikia dhamani yake so bora ukae kimya

Nakutarifu tu kwamba kwa sasa receiver ambazo zinauzwa bei kubwa humu duniani ni Enigma II boxes na nakwambi hiyo kitu ndo namiliki na kama unataka mashindano nambie hiyo receiver kama unayo original copy yake nambie

Mm sio dogo unavyofikiri mm nishakuja ulimwengu wa Linux in relation tu Satellite world wewe bado unatumia hivo vi receiver vya kipumbavu
Dreambox DM800 SE V2 HD SAT Tuner eSATA LAN USB HDTV Dream Multimedia | eBay
inauzwa 500$ hiyo kitu na ulimwengu nilipo huko siwezi kupiga kelelena wewe dogo na hiyo strong decoder yako
Usimdharau mtu usiemjua wewe panya kasoro mkia

sikia bwana mdogo... kama haujawai tumia srt nenda kaazime kwa jirani yako kidogo kisha ndo utajua ni nini nakueleza... hata ukeshe mitandaoni hauwezi pata sifa za srt original zote mana waofia kuibiwa na mashushushu kama wewe ila mimi nitakwambia... nitajie rcvr ambayo ndani yake kuna spactelizer .? kama haujui basi srt inayo.

nitajie rcvr ambayo unaweza kuirudishia uhai wake ambapo kama unaiupdate umeme ukakatika na ikashindwa kuwaka.? kama ujui basi srt iko io mambo.

wacha kucopy vitu uko na.kutuletea sisi apa... izo rcv tunamuda.tunazitumia kabla haujaanza kuuza cccam.

Afu unajiona unajua kumbe unaandika utumbo mtupu

Kwa kukupa tu taarifa hiyo feature yako ndogo sana hadi receiver kama Azsky G6,Qsat ina feature kama hiyo tena kwa flash ingekua kwa Universal programmer ungesema je? na ndo ichukulie eti srt 4922 ndo receiver bora...Umepotea ndugu yangu

Ulimwengu huu unajidai wewe fundi kumbe haujui hata JTAG Inteface kwenye Motherboard ya receiver inatumika kufanya nn.....
Au unafikiri kwa nn Tanzania hatujaendelea kwenye satellite world from Card sharing mpaka

Kwa taarifa yako Nenda kwanza kajifunze JTAG port inafanya nn kwenye receiver,kajifunze RS232 port kwenye reciver ni za nn? afu rudi hapa uendeleee kuongea pumba
TECHNICAL SECTION ABOUT JTAG FOR NEWBIES [Archive] - Page 6 - RDI-Board Community

Hapo kwenye red ndo umeniua kabisa....Umeishi na receiver miaka yote haujui kwamba PCB Ya receiver yoyote ina sehemu ya ku reverse engineer?

Wewe ni sawa na mababu zetu waloishi na Dhahabu wakichezea Bao na draft mpaka mdhungu alipokuja kuwaonesha faida ya Dhahabu hiyo kwa kuwapa nguo.....

Kama haukunielewa tokea mwanzo hautoelewa kitu na utazidi kujionesha usivojua kitu

Na kukumbusha mwanzo wa mada....wateja hawaitaji complex receiver kama hizo,wateja waleteeni receiver simple tena zenye technolojia mbili i.e DVB-S2/T2 maana bado tunatumia hizi vitu zote hapa Tanzania

Ukielewa hayo basi utaacha ubishi usio na msingi wa kuniradhimisha mm kutumia srt 4922 wakati nshakwambia tokea post ya awali kwamba hainifai mm natumia DM800 se v2....Running on Enigma II/linux OS
 
srt 4922 ni bora kwa watu wenye huelewa na satellite world....

Na una uhakika dunia nzima hiyo ndo best receiver?

au una uhakika kati ya receiver zinazokua imported to Tanzania srt 4922 ndo bora?

Toa vithibitisho vya specifications usilinganishe na Azsky G6 usijefikiri hiyo ndo receiver pekee hapa TZ[/QU srt ni best rcva for me! issue ya specification kila mmoja anapotafuta kifaa anachohitaji kama anaweza kufungua jf pia anaweza kugoogle na kupata specification lengwa..nilichogundua unatabia ya gubu thus why wote wamekushambulia you have to change usipende kuamini kuwa wewe unajuwa zaidi mbele ya kadamnasi teh teh teh..

Na siku zote usipendelee kuongelea personality ya mtu ndo humu JF tunatumia majina ya ajabu ajabu ili kuondoka na vitu kama hivo....Una vilema vingi wewe hivo nakuomba usiongelee personality yangu vinginevyo wewe utakua mchawi kujaribu kumjua mtu usiemjua...Na wewe jirekebishe hata sheria za hapa haziruhusu kuongelea personality ya mtu.....
Back to Topic

hawa jamaa wamechukia maana wamekuja na Bias kwamba labda mm nawaaribia biashara sababu wanauza srt 4922
Lkn point yangu itabaki pale pale wateja wa kawaida wasiojua A au B wanaoshika Continental/TV3/aRABSAT RECEIVER ZA 80,000/= MPAKA 150,000.- ZINAWATOSHA na sio 230,000/=
Hapo ni pakubwa na mtu bado zile properties za srt 4922 ambazo mafundi mengi wanapenda unakuta huyo mteja hazitumii

Mm sijui kila kitu ndo maana nimejiunga JF kujaribu kujua kila kitu hao walonishambulia wamekuja na Bias na mambo ya Qsat sijui nn na nn?

And yes hapa tutabishana mpaka mods thread itafutwa....Maana watu hawana logicna sijui elimu yao ni mpanga darasa la ngapi maana hata kusoma mtu wakamuelewa hawajui
 
Mm siku zote napenda ukweli na baadhi yenu mlo comment hapa mmekuwa mkinitumia message mkiitaji kujua Bei CCcam ili mwavutie wateja na kisha muwabamize kwa jina kwamba eti
srt 4922 inafungua tv1 CCcam,DQCAM

Na mm siku zote ntakua Chachu ya kuwambieni muache uongo

Juzi imekuja A1 CCcam nikawambie hizi CCcam mpya mm nazijua tokea enzi za SAT1 inakuja hata mwezi haimaliza inalala chali hivo ni kawashauri watu wasinunue A1 CCcam na A1 Decoder mpaka decoder au acct imalize walau mwezi sokoni na iwapo ukiinunua jua ni at your own risk

Leo nahisi ni siku ya saba tokea maneno niliyotabiri kuwa kweli na Hiyo A1 CCcam imekufa mpaka waweza ku control ECM time tena ambayo itawa cost

Watu niliwaonya wakiwemo mafundi wakasema "Unaponda A1 Decoder kwa sababu hauna stock yak" ni kawambie time will tell

Nanyie nawambie hapa kwa srt 4922 kwamba ni worst device kwenye CCcam module
Kama unabishi na kuandikia writter mmoja na chi yake matatizo wanayopata na hiyo device
http://www.lemmymorgan.com/patch-so...eezing-on-strong-srt4920_4922_4922a-decoders/

Hiyo srt 4922 mngejua ilivyo na weakness kila siku watu wanajuta kwa nn walinunua hata msingekuja kuisifia kwa jina eti inafungua CCcam wakati inagandisha CCcam na wengi wao ntaweka picha za screenshots kuonesha walivokua wanatafuta ujanja wa kuuza srt 4922 kwa jina la TV1 CCcam.....

Mleta mada na wachangiaji wote na wambieni srt 4922 is WORST RECEIVER as far as the CCcam module is concerned
 
Hiyo srt 4922 mngejua ilivyo na weakness kila siku watu wanajuta kwa nn walinunua hata msingekuja kuisifia kwa jina eti inafungua CCcam wakati inagandisha CCcam na wengi wao ntaweka picha za screenshots kuonesha walivokua wanatafuta ujanja wa kuuza srt 4922 kwa jina la TV1 CCcam.....

Mleta mada na wachangiaji wote na wambieni srt 4922 is WORST RECEIVER as far as the CCcam module is concerned

Ndio mana nasema njua una matope kichani hauna akiri... sasa unaposema eti kwamteja wa continental srt haifai , ni nani aliekwambia kua continental ni fta.? alafu sima kicha cha habari ya mada hii...

continetal wafunga chanel zao na zinakua za kulipia soon.... na zitakua kama za azam tu sasa mtu kama wewe njua itakulazimu ukanunue box zao na kadi zao ili muoje io contineto yenu.
 
eti kwa mteja wa kawaida kama wa contineto haitaji rcvr complex... jinga we sasa siuwashauri hao wateja zako wakanunue box za contineto.?

mbona una akiri pungufu wewe.? mala oooh srt nzuri kwa mafundi tu, mala oohh kwa mteja wa kawaida srt ni upotevu wa pesa tu... mbona na sisi pia izo box zako za contineto tunaona ni uhuni na uchafu tu...

yani uingie gharama kwa chanel 12 tu... si bora ukanunue azam tu...

unazisifia box zako eti sifa yake kuu ni kua ina card haring... shenzi bisa... sasa mteja wa cintineto atajua kweli io card sharing ni kitu gani.?

Njua hauna jipya wewe majigambo tu.
 
Mmebaki mnabishana specifications specifications....wateja mmetuacha njia panda tumuamini nani! I was interested lakini nahisi wote mnataka kutuibia tu..
 
penye ukweli uongo utajitenga,

Mimi ndiye nilianzisha huu uzi kwa lengo la kuelimisha na sifanyi biashara yoyote ya strong decoda, hata bei niliyokadiria ni ya madukani kariakoo, mwanza na arusha kulingana na utafiti wangu,

mimi nimeshangaa uzi umevamiwa na hawa mamluki wenye uroho wa kuchuma pesa za wanajf na hasa huyu njuwa ameonyesha kuumia sana hadi anadiriki kuwadanganya watu na elimu yao kuwa pesa ya kenya 6000 na sawa na tsh 72000.

kwa taarifa yako njuwa mimi sijatumwa na mtu kuuweka huu uzi humu, na strong si kwa ajili ya continental kama unavyowaza na hakuna sehemu nilipoitaja continental kama fta.
 
Back
Top Bottom