Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

IPTV-GPRS maelezo mengi lakini hujaeleweka:
unauza dekoda
unauza accounts za IKS au nini? na je hizi satellite kuzikamata nahitaji dishi moja au kumi? Au unatoa darasa la jinsi ya kufanya uchakachuaji?…
Anauza FTA receiver ambazo zinakubali Kufungua channel zilizo Encrypted kwa BISS keys kama alivyozitaja na hajasema unazishika kwa dish moja...
Bahati mbaya channel za Eutelsat W3A alizozitaja zimefungwa till further notice

Pia anasema hizo Receiver zake zinakuja na IPTV channels ambazo kazitaja

Nimeona anayo receiver ambayo ni DVB-S2/T2 kwenye list yake
 
Last edited by a moderator:
Good Review brother....
Hii itawasaidia wote walokua wanauliza bei za greceiver zenye DVB-S2/T2 ambazo kwa maelezo yangu ya post #4 ni receiver ambayo mtu atataka Deploy Digital Video Broadcasting methods za Tanzania lazima awe na Mzigo wa QSAT Q28G au Speed HD S2
Wote mlokua mnataka mzigo huo hapo umefika
CC: @ngalysat and Apollo

Mkuu #Njunwa nikupata na nimepata kitu cha kuchukua sasa.
 
Last edited by a moderator:
Ntakushauri kama unatafuta Receiver itafute OpenBox v8 Combo DVB-S2/T2 for Europe market
Mm sitakagi kusifia mageresha ila huu mzigo ni balaa labda ndo maana unauzwa sana Europe
Itakufurahisha maisha yako maana unakamata Terrestrial TV kwa antenna bure na unakamata Satellite TV ziwe FTA au Pay TV mfano mm nakula Local channel zote kwa antenna ya 25,000/= tu na nakula DSTV hapo hapo
Radio nazo zipo bila shida
Advanced chipset for Europe market sio mchezo Mchina takataka anauza Africa tu

5541c2a61290d237f89ee81f4b9ffbb6.jpg


519acc5f58fe534cfa3b4689dcb52202.jpg


23c43e8a57bfdc32d0b58482e55060a3.jpg

Mkuu huu mzigo una sh ngapi ? Na je hzo ss3 unakamata bure au mpaka ulipie?
 
Mkuu huu mzigo una sh ngapi ? Na je hzo ss3 unakamata bure au mpaka ulipie?
  • Si bure
  • Ni lazima uwe na account inayofungua SS3, kwa wakati huo wa post hiyo, account husika zilikuwa ni BestCam & Tv1.
  • Waweza kupitia post za nyuma kwenye hii thread kuona aina za account zilizokuwepo wakati huo
 

Habari za muda huu wana JF.
Napenda kuwataarifu kuwa sasa kuna decoda zijulikazo kama strong 4922 ambazo zipo vizuri sana kwa kupata chanel nyingi zaidi kuliko decoda nyinginezo.

Zifuatazo ni baadhi ti ya sifa ilizo nazo hii strong4922

1.mpg4 full hd

2.ina bisskey program itakayokuwezesha kufungua chanel ambazo ni scrambled ila zinafunguliwa kwa bisskey

3.youtube

4.pia inakubali accounts mbalimbali kama cccam, dqcam, tv1 nk

Kwa wale mliochoka na malipo ya kila mwezi kama mimi nawashauri mnunue decoda bora na mathubuti hii ya strong 4922 ili uepukane na malipo ya kila mwezi ya akina ving'amuzi vilivyojaa hapa Tanzania.

Naruhusu maswali.

attachment.php


Kaka, habari yako, naomba unisaidie iyo srt inauzwa kwa shilingi ngapi na wanauza wap? Lingine nilitaka kujua unalipia account ya mytv? Kwa mwaka.
 
vipi kaka,
hizi terminologies kama TV1 CCcam humu ndani ni vitu gani hasa.yaweza kuwa kuna mambo mazuri ninayakosa kaka.mimi natumia strong 4669x.
 
Strong 4922 zimeangukia pua kwenye software ya powervu autoroll,zinazidiwa na tiger na chinese toys zingine,ni majanga
 
una uhakika na unachokisema? kabla ya kutoa post yako unatakiwa kupitia specifications za hizo chinese rcv ulinganishe na str4922
Sasa hizo jamii str 4922 zina software ya powervu autoroll?,imetoka lini hiyo software,angalia kwa sameer au wizkid kama kuna hizo software,kuna software ya powervu autoll kwenye str series ya 4950 tu
 
Mimi napita tu ila rcva bora kwasasa ni srt 4922 hizo nyingine zooote niutapeli wa wachina tu! mnakumbuka enzi za g6 na watu zilivowafia? srt toka wakati huo bado imesimama tu atakayebisha hakika hajui kuitumia!
Mkuu hizi decoder zinapatikana wapi maana natamani sana nipate moja walau niondokane na haya mambo ya monthly payment
 
Back
Top Bottom