Stress za kuachwa

Mimi huwa naanza ibada ya swala tano. na kusikiliz Sana mawaidha ya mashekh mbalimbali hasa shekh mselemu ali mselemu . na pia nanunua head phone mpya naweka nasikiliza music hapo kazi kubadilisha tu nikitoka dini basi bongoflaver, hasa yenye vionjo vya kiasili kama ya saida karol. Na pia najitahidi kunua nguo mpya ili niwe na muonekano mpya kabisa. Na huwa sisikii njaa, yani naweza nikakaa hadi saa saba sijatia kitu mdomoni
 
Hahaa hapo tu pa kuswitch kutoka dini mpaka bongofleva.
 
namtafuta malaya wangu wa tanga,ananilamba mwili mzima,anamung'unya makende,ananivuruga na uno,akiniachia baada ya siku mbili sikumbuki kitu..uzuri mbondei ye huwa yupo tu..tunagonga za kiveterani
 
Mkuu nilijua utagusia na punyeto,maana ndio huwa suluhu ya kudumu ya hayo matatizo..
 
Miaka Fulani niliwahi kusikiliza Nyimbo za Judy Boutcher Usiku Mzima hadi Ile kanda ikatafunwa, kuna wimbo unaitwa TAKE YOUR MEMORIES WITH YOU WHEN YOU GO!
Mkuu huu wimbo hata mimi nilikuwa naupenda sana kwenye matukio kama haya!

Miaka ya uzeeni hii nilikuja kuskiliza wimbo wa Chris brown Vs Tiger & Kelvin McCall (Deuces) nikatamani ungekuwepo enzi za ujana wangu!
 
Mie nawapigia simu washikaji wangu nawasimulia nikimaliza tunaenda bar baada ya hapo Kesho na hangaika na hangover we nishakusahau hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…