mzungukichaa
Member
- Nov 8, 2010
- 57
- 27
Wadau. Mi naomba tujadili strategy gani na za msingi ambazo Chama Kikuu cha Upinzani Bungeni Kinatakiwa kutumia kuhakikisha 2015 nchi hii inatawaliwa na chama cha wazalendo. Tafadhari toa mawazo ambayo wewe unafikiri yataleta tija Tanzania ya leo na kesho.