Story za Prof. Palamagamba Kabudi

Story za Prof. Palamagamba Kabudi

Prof. Palamagamba John Kabudi na story zake nyingi kuhusu masuala ya kimataifa kuhusu Julius Nyerere. Azungumzia nafasi ya Tanzania katika dunia na ushawishi wake na kwenda mbali zaidi Prof. Palamagamba Kabudi anafananisha nafasi ya Tanzania ni kama 'nyonga' ya Afrika ktk masuala ya kimataifa.

Source : Zanzibar Ni Kwetu

Hapa ndio alikuwa Kabudi sasa hivi ni Kaputi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Palamagamba John Kabudi na story zake nyingi kuhusu masuala ya kimataifa kuhusu Julius Nyerere. Azungumzia nafasi ya Tanzania katika dunia na ushawishi wake na kwenda mbali zaidi Prof. Palamagamba Kabudi anafananisha nafasi ya Tanzania ni kama 'nyonga' ya Afrika ktk masuala ya kimataifa.

Source : Zanzibar Ni Kwetu

Story na fix kibao.mtalaam wa kusimulia hadithi za zamani kwa kutumia nahau na misemo
 
Siasa ni kujitoa ufahamu tu maana akili unaiweka kwenye begi

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Prof. Palamagamba Kabudi atoboa siri ya kimbilio lake pindi ajionapo dhaifu ili aweze kuinuka tena kuendelea 'kupambana' kama askari yule shujaa wa vita ya pili ya dunia WWII (1939 - 1945)

 
March 21, 2019
Prof. Palamagamba Kabudi : Serikali kupitia wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa umepokea ugeni wa Naibu Waziri Mkuu wa Qatar kuzungumzia masuala ya gesi ya LNG , reli ,utalii, ununuzi wa dhahabu kule Geita na pia ugeni wa makamu wa Rais mtendaji wa kampuni ya StatOil / EQUINOR / EQNR kutoka nchini Norway ambaye amekuja nchini kwa ziara ya kikazi..

Source : Global TV
Norwegian energy major Statoil officially changed its name Wednesday to the Equinor.

Moving away from the word "oil" with growing investments in renewable energy, the new Equinor name will begin trading as soon as Thursday with the "EQNR" stock ticker on the New York Stock Exchange. The new name combines "equal" to reflect its corporate values and more balanced portfolio with "Norway" to maintain its roots and pride.
Equinor also unveiled a new website and branding, keeping a variation of its North Star logo but switching from a pink to red color theme.

"Some changes are so profound that they challenge us to find a new balance," the Equinor website states. "As we go from being an oil and gas company to a broad energy company, it was natural to change our name."

In recent years, Statoil had emerged as a pioneer in offshore wind farms and, most recently, on the floating wind turbine facilities that can be built even farther offshore where the winds are stronger. The company also recently began investing in solar energy projects for the first time in South America. Equinor plans to invest up to 20 percent of its capital in renewable energy by 2030.
We had the discussion, 'Who are we going to be in the future?'" said Equinor CEO Eldar Sætre in a recent interview. "Beyond oil and gas, we say we really want to be a broad energy company. We need to think about this evolution even 50 or 60 years from now. You can't say, 'I'll fix it later.'"

Statoil was formed by the government more than 45 years ago to take advantage of Norway's oil and gas resources offshore in the North Sea. Source : StatOil change name Equinor www.chron.com Houston Chronicle
 
Fropesa kalamaganda kabugi ni mzee wa mafix

MHUBIRI 4:13 SUV

"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
 
August 21, 2019
Dar-es-Salaam, Tanzania

Mkutano wa Mh. Prof. Palamagamba Kabudi na waandishi wa habari

Duh.! Kabudi azozana vikali na mwandishi baada ya kuulizwa swali hili la Zimbabwe kuwekewa vikwazo na Jumuiya za Kimataifa. Cha kushangaza nimeona waandishi wa Habari wakipiga makofi katika mkutano wao na waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Hii ni ajabu sana waandishi kuwa mashabiki


Source: ABC Habari

The Secretary of State is publicly designating Anselem Nhamo Sanyatwe, former Commander of the Zimbabwe National Army’s Presidential Guard Brigade and current Ambassador Designate of Zimbabwe to Tanzania, under Section 7031(c) of the FY 2019 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act (Div. F, P.L. 116-6), due to his involvement in gross violations of human rights. Section 7031(c) provides that, in cases where the Secretary of State has credible information that foreign officials have been involved in significant corruption or a gross violation of human rights, those individuals and their immediate family members are ineligible for entry into the United States. The Department has credible information that Anselem Nhamo Sanyatwe was involved in the violent crackdown against unarmed Zimbabweans during post-election protests on August 1, 2018 that resulted in six civilian deaths.


The law also requires the Secretary of State to publicly or privately designate such officials and immediate family members. In addition to the designation of Anselem Nhamo Sanyatwe, the Department is also publicly designating his spouse, Chido Machona.


To date, the Government of Zimbabwe has held no member of the security forces accountable for the acts of violence committed against Zimbabweans on August 1, 2018. Furthermore, there has been no accountability for the excessive use of force by Zimbabwean security forces on civilians in January and February this year, which reportedly resulted in at least 13 deaths, 600 victims of violence, torture or rape, and more than 1,000 arrests. We again call on Zimbabwean authorities to hold accountable those officials responsible for human rights violations and abuses in Zimbabwe.Source: https://www.state.gov/public-design...ions-and-related-programs-appropriations-act/
The proposed imposition of further sanctions are set to be further discussed when 28 EU foreign ministers meet in Brussels on Monday (February 18).


Currently, only former president Robert Mugabe, his wife Grace and the Zimbabwe Defence Industries had effectively remained under EU sanctions, while an asset freeze and travel restrictions had been temporarily suspended for five officials including vice-president Constantino Chiwenga and army commander Phillip Valerio Sibanda.


Over the past few years, the EU had reduced the number of officials on sanctions from the initial list of 200 that were placed under the measures first imposed in 2002 but the latest development is a fresh blow to President Emmerson.
Source: https://www.businesslive.co.za/bd/w...u-recommends-more-sanctions-against-zimbabwe/
 
Jamaa lina mapovu mno. Huwa likiamua kusifia basi linaweza kumaliza biblia kwa kuweka vifungu vya kunogesha sifa. Aliwahi kuapa kule Marekani eti hatokaa atokee Rais bora kama Magufuli. Hovyo kabisa!


Huyo anaitwa "political sycophant", kwa sifa hizo anazotoa itakuwa kuna kitu anakitafuta .
 
Ndie chaguo la jiwe nasikia ndo tujiandae ndo rais ajae ukiacha MAJALIWA.
 
Back
Top Bottom