Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,252
- 3,073
Mmmh haya mzizimkavu umeshinda ww
Mkuu RadioActive ikiwa wewe umzaliwa Tarehe 7/09 Namba yako ya bahati ni namba 7 (If U were born on the 7th, 16th, 25th of any month then U r number 7.) Kila kitu fanya wewe kuanzia tarehe 7 ya mwezi wowoe ule utafanikiwa. Wewe Nyota yako ni (Virgo)Mashuke Utakuwa na Maelewano na Mtu Mwanamke au Mwaname Mwenye Nyota ya Samaki (PISCES).Mkuu mimi nimezaliwa 7 mwezi wa tisa...
Mkuu 2013 uamini au usiamini hizi namba zipo na zinafanya kazi yake kama kawaida kazi kwako.MziziMkavu haya mavitu huwa siyaamini.
But nimesoma hapa yangu, inaonyesha kuna Ukweli kwa Mimi. Big up xana.
MziziMkavu mi nimezaliwa tar 29 mwez wa tatu, naomba kuijua nyota yangu na mambo yote yahusihayo nyota yangu
Mkuu RadioActive ikiwa wewe umzaliwa Tarehe 7/09 Namba yako ya bahati ni namba 7 (If U were born on the 7th, 16th, 25th of any month then U r number 7.) Kila kitu fanya wewe kuanzia tarehe 7 ya mwezi wowoe ule utafanikiwa. Wewe Nyota yako ni (Virgo)Mashuke Utakuwa na Maelewano na Mtu Mwanamke au Mwaname Mwenye Nyota ya Samaki (PISCES).
Mkuu 2013 uamini au usiamini hizi namba zipo na zinafanya kazi yake kama kawaida kazi kwako.
Mambo ya nyota na namba ni vitu Tofauti unaweza ukawa na nyota nzuri ila namba ukawa na tofauti vile usivyotarajia. Utabiri wa Namba na Utabiri wa Nyota ni vitu tofauti kabisa.Kwenye maelezo yako kuhusu nyota hapo juu umenichanganya sana. Umeandika kuwa mwenye nyota ya pisces yani samaki na virgo au mashuke ndo wanatakiwa kuoana kwa mujibu wa nyota zao.
Swali linakuja kwenye namba mfano namba 5 best match wake ni namba 1,2,6,8 na 9 kama sijakosea, ukifuatilia unakuta mwenye nyota ya hivyo ana namba tofauti na hizo hapo inakuwaje?
Mkuu Namba yako ya bahati ni hiz hapa namba1,4, 8. Na namba 5 (If U were born on the 8th,17th,26th of any month then U r number 8..)Yangu ni tarehe 26 oktoba,inakuaje hapo?
If U were born on the 4th, 13th, 22nd, 31st of any month then U r number ( 4..) Namba yako ya Bahati ni Namba (4)Naomba uNitajie tarehe 13 mwezi wa 9. Namba ya bahati?
Wewe Ukiwa ni Mwanamme Au Mwanamke Nyota yako ni (Aries)Punda Utakuwa na Maelewano na Mtu Mwenye Nyota ya(Libra) Mizani aliyezaliwa Toka Kati ya Tarehe 23 September na 22 Oktoba ya mwaka wowoteMimi naendana na nan trh yangu ni22/3
ınategemea Tarehe gani umezaliwa? Kila Tarehe inakubaliana na tarehe yake muhimu. Na kuhus ku (Match) Kuelewana na hiyo Tarehe kwa mfano Mtu aliye zaliwa Tarehe 6 au Tarehe 15 au Tarehe 28 mwezi wowote ule, (If U were born on the 6th, 15th, 24th of any month then U r number 6..) namba yake ya Tarehe ya Bahari itakuwa ni Tarehe 6 mwezi wowoe ule. Kwa Mfano ukicheza bahati nasibu kwa tare hiyo (6) ujuwe unaweza kushinda hiyo Bahati nasibu au ukitaka kusafiri au kuowa mke au kuanza biashara mpya hiyo ndio Tarehe yako ya kufanikiwa kwa kila kitu katika maisha yako. Namba zako muhimu katika Maisha yako ni Tarehe 1,6,9. (Your best match 1, 6, 9. Good match 4, 5 !!!) Na watu ukitaka kuelewana nao wawe wamezaliwa tarehe 4 au tarehe 5 mwezi wowote ule ndivyo ilivyo Mkuu.shukrani saaana mkuu....kwa maana hiyo kama 1,2,9 na 6,8 so kama ikiwa mwezi wa 3 yaani tarehe 1 mwezi 3 hakuna kitu maana haija match...inakuwaje hapo..? na katika ku match inaamaana kitu chochote utakachofanya iwe kuhama eneo moja kwenda jingine..kutafuta mchumba...kuomba kazi..naomba unieleweshe mkuu...usichoke
Wewe umezaliwa Taarehe 13/4 una nyota ya Ng'ombe tabia yake ni udongo baridi, wakati mpenzi wako amezaliwa Tarehe 2/7 ana nyota ya Kaa tabia yake ni maji baridi munaelewana hakuna tabu hapo.Mi nimezaliwa 13/4 na mpenzi wangu 2/7 ,mbona mambo yanakwenda vizuri tu.
Wewe Kwakuwa umezaliwa Tarehe July 27 Namba yako ya Bahati ni namba (9) If U were born on the 9th,18th,27th of any month then U r number 9... Your Best match 3, 5, 6, 9. Good match 2 . Namba zingine nzuri kwako ni namba ya Tarehe 3,5,6, na 9 yenyewe. mtu wa kuwa na karibuna wewe awe ana namba ya tarehe 2 atakuwa mtu mtakae elewana sana na wewe.MziziMkavu, Mimi nimezaliwa July 27th naomba nipe maelekezo yangu.
Mkuu Kwa kuwa wewe umezaliwa Tarehe 20/02 Namba yako ya Bahati ni namba 2 If U were born on the 2nd, 11th, 20th, 29th of any month then U r number 2... Namba nzuri Kwako ni namba 5 na namba 9.Nakupa yangu....20/02.
Kwa kuwa wewe umezaliwa Tarehe 23/03 Namba yako ya Bahati ni namba 5. If U were born on the 5th, 14th, 23rd of any month then U r number 5... Namba nzuri kwako kuweza kushirikiana na watu wenye namba hizi 1,2, na 9. na namba 6 na namba 8 Your best match 1 ,2 ,9. Good match 6 ,8 !!!Mimi nimezaliwa tarehe 23 March. Hii imekaaje mkuu MziziMkavu?