Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,209
- 44,271
What would happen if we were to initiate such a campaign to demand that foreign aid ought to be halted until a new policy on solicitation of the same is put in place? Unafikiri CCM na serikali yake watafanya nini kampeni hiyo ikianza?
Je wrwe kama Mtanzania utaathirika vipi na usitwishaji wa misaada hiyo? Je kama kuna misaada kweli inahitajika ni ipi na kwa maeneo gani au kwa muda gani?
Unafikiri tunaweza kupiga hatua ya haraka ya maendeleo bila misaada ya kigeni?
Je wrwe kama Mtanzania utaathirika vipi na usitwishaji wa misaada hiyo? Je kama kuna misaada kweli inahitajika ni ipi na kwa maeneo gani au kwa muda gani?
Unafikiri tunaweza kupiga hatua ya haraka ya maendeleo bila misaada ya kigeni?