Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Jana katika "press briefs" ambazo zinaingia KLHN kila siku nilipata ujumbe toka Ubalozi wa Marekani kuelezea mradi wa kliniki iliyofunguliwa Mpwapwa leo. Sehemu ya ujumbe huo (kama note kwa Wahariri) ilidokeza vipi (maneno ya mabano ya kwangu):
Leo nikiwa na "mind my own dann business" nikapata briefs nyingine toka Ubalozi wa Uingereza (check habari kwenye mwanakijiji.com) na sehemu yake inasema hivi:
My Take:
Taifa lililodekwa halijalii matumizi ya vitu vyake kwani linajua wajomba wataendelea kulimwagia vitu vingine zaidi. Tuanzishe kampeni ya kusitisha misaada ili kuwalazimisha watawala wetu kuanza kupanga na kusimamia kidogo walichonacho? Haya ni mataifa mawili tu, sijaingia kwenye Ujerumani, Japani, Ufaransa, na Scandinavia!!!!
Katika mazingira haya, mnaweza kweli kuona athari ya upotevu wa karibu dola bilioni 1 toka Benki Kuu in the past 10 years? Of course not!
The United States of America is a global leader in combating HIV/AIDS worldwide through PEPFAR, the U.S. President's Emergency Plan for AIDS Relief. This 10-year, $30 billion program, is the largest initiative in history to combat a single disease. Since its inception in 2003 (ndani ya miaka mitano iliyopita MM), the American people have provided over $817 million to combat HIV/AIDS throughout Tanzania.
Leo nikiwa na "mind my own dann business" nikapata briefs nyingine toka Ubalozi wa Uingereza (check habari kwenye mwanakijiji.com) na sehemu yake inasema hivi:
6. Elimu ya shule ya msingi, pamoja na Shule ya Uhuru Mchanganyiko, inasaidiwa na Serikali ya Uingereza kupitia mchango wake wa Kuunga mkono Bajeti ya Tanzania ujulikanao kama General Budget Support (GBS). Katika miaka mitano iliopita, Tanzania imepokea $900 milioni za Marekani (takriban £500 milioni) kama msaada kutoka Uingereza. Na mwaka huu, Uingereza itatoa £120 milioni moja kwa moja kwa Tanzania, ambayo £105 milioni ni za Msaada wa Bajeti ya Kupunguza Umasikini (PRBS) kwa serikali ya Tanzania. Uingereza ndio mfadhili mkubwa kati ya wafadhili 14 wa PRBS Tanzania. Fedha za PRBS zikichanganywa huwezesha serikali kutekeleza mpango wake wa kupunguza umasikini unaojulikana kama MKUKUTA.
My Take:
Taifa lililodekwa halijalii matumizi ya vitu vyake kwani linajua wajomba wataendelea kulimwagia vitu vingine zaidi. Tuanzishe kampeni ya kusitisha misaada ili kuwalazimisha watawala wetu kuanza kupanga na kusimamia kidogo walichonacho? Haya ni mataifa mawili tu, sijaingia kwenye Ujerumani, Japani, Ufaransa, na Scandinavia!!!!
Katika mazingira haya, mnaweza kweli kuona athari ya upotevu wa karibu dola bilioni 1 toka Benki Kuu in the past 10 years? Of course not!
Last edited by a moderator: