Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

Steven Wassira ni mwasisi wa CHADEMA?

Lukolo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2009
Posts
5,143
Reaction score
3,209
Nimesoma gazeti la Tanzania daima ambapo nimeona kati ya majina yaliyotajwa ya waasisi wa CHADEMA mmojawapo ni Stephen Wassira. Sijaamini! Au kuna Wasira mwingine tofauti na huyu tunayemfahamu?

Katika kuonesha kukerwa na kauli hiyo, Mbowe alilazimika kuwataja waasisi na mikoa yao kuwa ni Edwin Mtei (Arusha), Makani (Shinyanga), Marehemu Brown Ngwilupipi (Iringa), Edward Barongo (Kagera), Mary Kabigi (Mbeya), Menrad Mtungi (Kagera), Costa Shinganya (Kigoma), Evalist Maembe (Morogoro) na Steven Wassira (Mara).
 
Hapana kumetolewa ufafanunzi somewhere kwamba ni typos mwanzilishi wa CDM ni GEORGE WASSIRA mdogo wake na STEVEN WASSIRA.
 
Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?
 
Ni wakati ule alipokuwa akitafuta pa kujificha baada ya kumkimbia warioba ccm, akaishia kutua nccr ambako nako njaa ilimtengeneza akaamua kurudi kujisalimisha ccm. Namshangaa sana huyu mnafiki anavyowaponda wapinzani na kujifanya yeye ni ccm damu damu kumbe njaa tu.
 
Hata Mwalimu Yesu alieleza kwamba mtu akitokwa na pepo mchafu alafu pepo hilo likamrudia hali yake inakuwa mbaya zaidi ya ile ya mwanzo.
 
Ni mwasisi wa CDM, baadaye akaenda kuiasisi NCCR
 
NDIO HUYO HUYO AMEASISI PIA NCCR KAMA SIKOSEI HUYO NI KAMA WALE WANAWAKE WA OHIO WANAITWAJE???AU KAMA ILE SPANA INAYOFUNGUA NAT ZOTE hahahahaaa SURA YAKE SIJUI KINA MZEE MTEI WALIMPENDEA NINI
 
Ni mmoja wa waanzilishi na kazi yake kubwa ktk vikao ni kukaa mlangoni/getini kulinda dhidi ya usalama wa taifa coz enzi hizo vikao vya siasa dhidi ya serikali ni wahaini
 
Ni mwasisi wa CDM, baadaye akaenda kuiasisi NCCR
Stephen Wassira hajawahi kuwa muasisi wa chama chochote nchi hii. Alionyesha nia ya kuanzisha chama wakati fulani lakini ukata ukawa umemkwida kwelikweli. Baadae CCM-MTANDAO wakamwokota kwa bei nafuu sana akiwa mchezaji huru. Rostam akasimamia zoezi zima la kumsajili upya CCM. Sasa hivi hajambo kabisa. Yuko CC ya CCM na ni Cabinet Member wa serikali ya JMK. Hatakaa amsahau Rostam.
 
duh zee la gombe, maskini njaa inamsumbua si arudi tu home sweet home Gombe reserve
 
Kumbe Wassira ndio kati ya waasisi wa Chadema..
 
Kwani ulikuwa haujui kwamba back then Mzee wa Gombe alikuwa mpinzani?
Yah, but najua alikuwa NCCR mageuzi. Hata hivyo nashukuru kwa ufafanuzi wa baadhi ya watu kwamba mhusika halisi ni George Wassira na si Stephen Wassira.
 
Back
Top Bottom