TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s, mzee wake alikuwa Don sana lakini mwamba alichagua kuishi low-profile

Kote alikosoma iwe Forodhani primary, St Anthon, Dakawa High School, Tumaini University na wizara ya Ardhi, walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kila aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Msalimie Babu Sikare😧
 
Huyo alikuwa tozi nyangema siyo bishoo inakuwaje unakosa picha yake
 
we mzee acha uongo,weka ushahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…