Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Mama Ongea na Mwanao alikuwa na haya baada ya Mpina kutoendekeza Uchawa kwa Rais
"Mh Rais Samia Suluhu Hassan hongera sana kwa Ziara Meatu, Haiwezekani kila mtu Akaona Anaweza kusema chochote kwenye Nyakati zote, Watu wanasahau Uongozi ni busara hekima na uvumilivu pia lakini kwa Wajinga na watu wasio waelewa wanaweza kuona wapo juu Ya sheria,...
Huwezi kusimama mbele Ya Rais wako Mwenyekiti wako Ukasema Unamdai kwanza sio heshima kabisa,....
Lakini watu kama hawa Mh Rais wapo wengi lla leo Umewaonyesha Sura yako Kama Rais, Umewaonyesha Makali yako kama mwenyekiti hongera sanaa,..
Naimani wanaenda kujipanga Upya lakini kamwe hawata weza,....
Tufike mahala Tutambue Tujue kuna Dola kuna Mamlaka kuna serikali na hakuna aliye Juu ya Dola na hukatazwi kusema lakini hakuna Uhuru Usio na kikomo,....wawejaaa sanaaa."
"Mh Rais Samia Suluhu Hassan hongera sana kwa Ziara Meatu, Haiwezekani kila mtu Akaona Anaweza kusema chochote kwenye Nyakati zote, Watu wanasahau Uongozi ni busara hekima na uvumilivu pia lakini kwa Wajinga na watu wasio waelewa wanaweza kuona wapo juu Ya sheria,...
Huwezi kusimama mbele Ya Rais wako Mwenyekiti wako Ukasema Unamdai kwanza sio heshima kabisa,....
Lakini watu kama hawa Mh Rais wapo wengi lla leo Umewaonyesha Sura yako Kama Rais, Umewaonyesha Makali yako kama mwenyekiti hongera sanaa,..
Naimani wanaenda kujipanga Upya lakini kamwe hawata weza,....
Tufike mahala Tutambue Tujue kuna Dola kuna Mamlaka kuna serikali na hakuna aliye Juu ya Dola na hukatazwi kusema lakini hakuna Uhuru Usio na kikomo,....wawejaaa sanaaa."