Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,584
Aibu sana hii huyu Mengele hakutakiwa hata kuongea sio Msiba wa Bongo Movie huu mkumbusheni mliopo karibu yakeVigogo wa serikali.....
Aibu sana hii huyu Mengele hakutakiwa hata kuongea sio Msiba wa Bongo Movie huu mkumbusheni mliopo karibu yakeVigogo wa serikali.....
Hatari sana, Ikulu imekosa diplomatic na wasomi wengine kujibu ma intellectual kama Polepole,🤔🤔Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Dogo superberg unakumbuka ahadi yako ya kuniua Kwa kuwaibia TV chogo black and white 1988? Niue bana timiza ahadi yako.Nchi yangu Tanzania Yani jumba takatifu la taifa na ikulu ya mwalimu Nyerere Leo inajaza bunch of fools?
Yuko na kapuku mmoja anaitwa Mwashambwa, naye amepanga kushusha matusi keshoKwaiyo utu ndo great thinker wa chama mwenye uwezo wa kumjibu polepole?
mimi huyu sitamjadili, nitapitia tu comments kwa sababu najua watanzania watakuwa wamemtendea haki kwenye kumjibu.Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Inadaiwa ni Mchawi balaaWengine sio wakuwapa airtime
Hako steve Nyerere ni chawaccm ni mojawapo ya vilaza wanaotumika kuitetea ccm kwa njia haramu za kishetaniHuyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
ccm ni muunganiko wa vilaza mbumbumbu wa kila AinaUsikute ni wale wanaojua tu kusoma na kuandika! Sishangai, Msukuma alisimama bungeni kwa kujiamini na kusema "tunaipita Kenya na kila kitu " anajua maana ya GDP?
My beloved TanganyikaHuyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Steve Nyerere ni mwehu hashauriki acha jukwaa hili limnyooshe sawa sawaAibu sana hii huyu Mengele hakutakiwa hata kuongea sio Msiba wa Bongo Movie huu mkumbusheni mliopo karibu yake
Unabadili sana ID nilikutafuta sana bila mafanikio chagua risasi au kisu.Dogo superberg unakumbuka ahadi yako ya kuniua Kwa kuwaibia TV chogo black and white 1988? Niue bana timiza ahadi yako.
Huyu takataka naye anajibu nini? Hana maana katika nchi hii. Ndiyo maana hata jina la Nyerere anakatazwa kutumia na wenye nalo. Mpuuzi huyu hajui lolote. Kwanza kwanini mnamuita Nyerere wakati siyo jina lake, ukoo wa Nyerere hawana watu wajinga kama huyu. Mwiteni Steven Samia kama alivyosema.Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Kajibu nini hapo zaidi ya kuweka ktk picha kuachia ngazi kwa polepole?Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Ni mengele sio nyerereHuyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',