Steve Nyerere ajibu Mapigo ya Humphrey Polepole

Steve Nyerere ajibu Mapigo ya Humphrey Polepole

Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Steve Nyerere anafanya ushamba wa Chadema kumshambulia mtu yeyote mwenye mawazo tofauti. Kama CPA Amos Makalla, Mwenezi CCM Taifa amemtakia kila la heri, huyu Steve Nyerere ana mamlaka gani ya kwenda kinyume na Msemaji wa CCM Taifa?
Kama ni kutukanana aende Chadema huko!!!
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

huyu ni Mengele sio Nyerere. point of correction.
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Hivi mabumunda ya aina hii huwa wanayaokota wapi?
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Duuh kwa hiyo hayo ndo majibu katumwa aje ajibu na analipwa kwa kujibu hivyo?
 
Ha ha ha nimechoka Sana kuona mtu mwenye mtindio wa ubongo anajibu high minded skill, hakika ni aibu
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Hakuna kitu kama Nyerere hapo. ni Pumba za Mengele na makelele!
 
😂😂😂😂 ofisa wa ikulu nchini Tanzania
 
Mkuu kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S mkombozi wa waislamu aliuwawa kikatili kuutetea na kuulinda uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu. Isingekuwa juhudi zake leo tusingeendelea kusema shahada.

Kupitia yeye tumepewa/tawfiq tawfeek the ability to win and succeed na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Allah mwingi wa rehma amfanyie wepes na kumpa qauli thabeet za kutosha kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S the grandson of the prophet of Allah!

Screenshot_2025-07-09-18-01-08-90_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg

Screenshot_2025-07-11-11-53-58-13_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~3.jpg
Screenshot_2025-07-11-11-53-45-34_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg


adriz Mufti kuku The Infinity Wakili Makonde plateu
Screenshot_2025-07-07-20-40-52-64_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Huyu anaropoka tu, si saizi ya polepole, anaonekana mpuuzi fulani hivi
 
Back
Top Bottom