kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,818
- 7,484
Haka kanahojiwa kwann kwani kunamsiba?
Kwa nini dereva mpya asisimamishe gari kwa ajili ya kuchimba dawa na kula chakula?Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Steve anapalilia shamba lake.Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Uchawi karne ya 21???Inadaiwa ni Mchawi balaa
😹😹😹 Tena wewe ukiwa mmojawapo..!!huo ni upotoshaji wa wazi kabisa mtumishi, na si sawa hata kidogo.
ni vizur kumshukuru Mungu kwa kila jambo bila unafiki na kujivika utakatifu 🐒
Yes,😹😹😹 Tena wewe ukiwa mmojawapo..!!
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Hawana aibu haoKuna vitu ndugu zang wakati tunaishi bila kujali umeapata bahati ya kusogelea meza kivipi, vilivyo nje ya upeo wako kaa kimia, uyu Bwana mdogo Steve ajiangalie sana ,kesho yetu ni fumbo mno,
Kakojoe ulale usije kuniambukiza uchawa..!! 😏Yes,
mimi ni mojawapo ya watumishi hodari sana wa wanainchi humu nchini.
Hiyo nakubali kabisa bila kuficha 🐒
kumbe bado mambo hayo ya kizamani yapo karne hii?Kakojoe ulale usije kuniambukiza uchawa..!! 😏