Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,840
We mpopo unanichosha bhana acha kunijibukumbe bado mambo hayo ya kizamani yapo karne hii?
hata hivyo,
mimi naambukiza ukarimu, unyenyekevu, bidii, huruma, upendo, ustahimilivu, subra n.k tu 🐒
We mpopo unanichosha bhana acha kunijibukumbe bado mambo hayo ya kizamani yapo karne hii?
hata hivyo,
mimi naambukiza ukarimu, unyenyekevu, bidii, huruma, upendo, ustahimilivu, subra n.k tu 🐒
mie naeleza mambo ya msingi tu wala sikujibu chocolate mbona 🐒We mpopo unanichosha bhana acha kunijibu
Hahahaha anamhoji Steve mangele!!!!!Mwandidhi mwenyewe ni tatizo, yaani hapa nchini kashindwa kuhoji akina Kagasheki, Warioba, Butiku, Mwandosya - anahoji Steve!!!!!
Siku hizi kuita press imekuwa jambo rahisi sana.Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Kilaza vs high IQ..... God have a mercy on us 🙏Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.
Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',
Heeh...!Unaambiwa huyu ndio tegemeo la awamu ya 6