Steve Nyerere ajibu Mapigo ya Humphrey Polepole

Steve Nyerere ajibu Mapigo ya Humphrey Polepole

kumbe bado mambo hayo ya kizamani yapo karne hii?

hata hivyo,
mimi naambukiza ukarimu, unyenyekevu, bidii, huruma, upendo, ustahimilivu, subra n.k tu 🐒
We mpopo unanichosha bhana acha kunijibu
 
Haka kajinga sana .
Kazi ya vimtu vijinga ni kujipendekezapendekeza kwa watawala. Kameiga mienendo ya hovyo ya jamii ya kiponjoro.

Hivi huyu alihitimu japo darasa la saba kweli au elimu yake ni ya MEMUKWA na UPE?
Kitabibu naona huyu atakuwa na udumavu wa akili [ubongo] maana siyo kwa majibu haya ambayo hata ukimuuliza mtoto wa vidudu hawezi kuongea hivi.
Hata jina tu amekataa la Baba yake mzazi eti anatumia jina la Nyerere, huwa hakuna Nyerere kiazi kama hiki aache kuchafua jina la Nyerere.

Hii ni aibu endapo huyu naye ni sehemu ya wataalamu wa kujibu hoja katika nchi hii hasa, ukiangalia hoja nzito kama za Mr. Polepole.

Mr. Polepole, siku ya kesho anakuja kufafanua kuhusu barua yake, hatimaye tuone hiki kiponjoro kichanga kitaongea nini juu ya ufafanuzi.
Hii nchi hili tuna hali mbaya sana, hata huyo Mr. Polepole ni miongoni mwa wabovu tena walewale hana tofauti na huyu anayemjibu kwa hoja za kitoto cha darasa la ngazi ya vidudu.
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Siku hizi kuita press imekuwa jambo rahisi sana.
 
Watu wa karibu na huyu jamaa msimpe kalamu! Hii ni kali. Siku moja nilimuona kwenye picha akieleza umuhimu wa mila za Kiafrika, ni kama niliona kibuyu pembeni, ni mganga wa kiemyeji?
 
Mama ameamua kuchukua form four wenzake kuwa wasemaji wake.
 
Huyu hapa ni Steve Nyerere ambaye mara kadhaa ametajwa kama Ofisa wa Ikulu ya Tanzania.

Msome anavyomchambua Polepole.
==========
Polepole hakuwa mwenzetu, ni konda wa dereva wa zamani, huyu dereva mpya hamjui, zikaanza kelele za mbwa mwitu..',

Kilaza vs high IQ..... God have a mercy on us 🙏
 
Awali ya yote familia ya Nyerere walisha sema asitumie jina lao... watu wanafikiri huyu ni member wa familia ya Nyerere kumbe ni madenge fulani
 
Back
Top Bottom