DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
waziri wa ulinzi Stergomena Tax amesema kuanzia mwezi julai wale waliopigana vita vya kagera wataanza kulipwa pensheni ameyasema hayo akiwa bungeni leo June 23 katika bunge la 12 mkutano wa 19 na kikao cha 51.
“Ninayo furaha kulitaarifu bunge lako tukufu kuwa serikali ya awamu ya sita ambayo ni Sikivu sana inayoongozwa na Rais Samia imesikia kilio hiki cha muda mrefu sana cha maveterani waliopigana vita vya kagera kwakutambua mchango wao mkubwa maveterani hao kuanzia julai mwaka 2026 wote watalipwa pensheni”
Aidha, “Mpaka kufikia mwakani Juni, maveterani wote ambao walikuwa hawalipwi pensheni wataanza kulipwa pesheni kwa kima cha chini cha pensheni ya kijeshi na kitakuwa kinaongezeka kadiri kiwango hicho kitakavyokuwa kinapanda"
Pia soma ~ Waziri wa Ulinzi na JKT atoa ufafanuzi kuhusu malipo ya Pensheni za Maveterani wa Vita ya Kagera
“Ninayo furaha kulitaarifu bunge lako tukufu kuwa serikali ya awamu ya sita ambayo ni Sikivu sana inayoongozwa na Rais Samia imesikia kilio hiki cha muda mrefu sana cha maveterani waliopigana vita vya kagera kwakutambua mchango wao mkubwa maveterani hao kuanzia julai mwaka 2026 wote watalipwa pensheni”
Aidha, “Mpaka kufikia mwakani Juni, maveterani wote ambao walikuwa hawalipwi pensheni wataanza kulipwa pesheni kwa kima cha chini cha pensheni ya kijeshi na kitakuwa kinaongezeka kadiri kiwango hicho kitakavyokuwa kinapanda"
Pia soma ~ Waziri wa Ulinzi na JKT atoa ufafanuzi kuhusu malipo ya Pensheni za Maveterani wa Vita ya Kagera