Stephen Wassira: CUF hawaitaki Serikali ya Mapinduzi

Stephen Wassira: CUF hawaitaki Serikali ya Mapinduzi

Mkuu huyu mzee hujifanya kwa kazaliwa na uwanasiasa lakini yake yanamshinda kwa upandi wa tanganyika na hasa hiyo pua yake kutosikia harufu ya unuko wa uvundo wa rushwa na ufisadi na meno ya tembo hebu pambana navo hivi na wote unawajua hapo ni sawa sawa na kuhisabu makumbi badala ya naazi na hebu tuwokoi tunaungua kama mshumaa sisi kina apecha alolo
 
Ivi kama shida ni kuondoa kero kwann kulianzishwa mchakato wa katiba mpya, wataalam kutoka kenya wamekuja kufanya nn kwenye bunge la katiba? Kwa nn ccm wasingejifungia ndani wakaondoa hizo kero? Nakuwa napata tabu sana kumuona kiongozi wa serikali anaongea maneno ya ovyo ovyo sana, Ivi kws sababu wazanxubar wanajadili muundo wa muungano wa mwaka 64 ndio hawatambui mspinduzi, au ndio hawa viingozi wa ccm wana laana ya Mungu
 
Ndugu, Hizi ndizo hoja za kikundi kinachojiita UKAWA halafu eti wanasema wanataka Muungano. Huhitaji hata kuwa mtaalam wa uchumi na siasa kufahamu mantiki ya kile wanachokitaka.

Kwani muungano ukivunjika ni dhambi? yaani Nyerere amewashikia akili utadhani ndio mungu wenu? Kwa taarifa yako znbr ilishavunja muungano kitambo na ndo kisa cha kuwa na serikali yao, bunge lao, katiba yao na waliofanya yote hayo ni haohao ccm, na leo wanataka mamlaka kamili yaani inchi yao (KUJITOA KWENYE MUUNGANO), inamaana mpaka leo ulikuwa haujui kinachoendelea? Hiyo ndiyo hasara ya kutegemea fikra za mwenyekiti wa CCM. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIII.,.....? ZIDUMU MILELE FIKRA ZA MWENYEKITIIII.......? SASA USIWALAUMU UKAWA
 
kufilisika hoja ni kubaya sana. Utasikia ccm wanasema tanganyika iliishi mwaka mmoja na ushee hivi,ikiwa na maana ilikufa,ikaenda wap hawasemi,pili tanzania ni muungano wa nchi ngapi,hawajui...

Kibaya zaidi wanasema tanganyika ilikufa na vitu vyake vyote,sawa,unawauliza ccm ilitokana na nini,wanajibu tanu na asp, sasa tanu ni chama kilikua kinawakilisha nchi gani? Kama tanganyika ilikufa na vitu vyake hata tanu pia ilikufa,hvyo muungano wa tanu na asp ulikua batili maana ulihusisha muungano wa chama cha nchi ambayo haipo. Kwa ujumla ccm ni chama batili,cha kihuni na kitapeli.

sema wewe, mimi leo nimechoka na hao mburura ccm yaani wana vichwa vigumu kama kamongo? Hawaelewi kabisaaa... Nimeshinda siku nzima nafundisha hayo majitu lakini wapi.,..labda we watakuelewa.....!
 
Mimi na shangaa ukizungumzia kero za muungano hawa viongozi wetu wanajifanya hawaoni na kuacha kusema ukweli na kuongopea ati kuvunja muungano. Miaka 50 kero zimeshindwa kutatuliwa sasa sijuwi tuendelee miaka mingapi ndio mutamaliza hizo kero? Mimi naamini kwa mfumo huu tulionao hatuwezi kutawa kero za muungano badala yake nikuzidisha matatizo, tusidanganyane huu ni wakati muafaka wa kubadilisha muundo wa muungano tulionao kwa maslahi ya nchi na sio wakati wa kun'gan'gania muundo huu wa mungano tulionao kwa maslahi ya ccm. Hii nchi si mali ya ccm ni yetu sote. Maoni ya wananchi ya heshimiwe. Au sijuwi kuna uhalali gani kwa ccm pekee kuwatungia wananchi katiba?
 
Back
Top Bottom