Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,524
Kusolve ile stend ilitakiwa kuwa na mifano ambayo airport za wenzetu na maeneo yao wanavyotumia.
Nitatolea mfano wa airport ili muelewe.
Airport za wenzetu ukifika hapo utapata huduma zote kama tren ya kukufisha sehemu,barabara maalumu za juu ambazo zitakufikisha eneo ambalo gumu kufikika.
Kwa stendi ya magufuli mabasi mengi kutofika hapo ni kwa sababu ya miundo mbinu ya wafikiaji abiria wanaosafiri.
Kunge kuwa na treni inayoweza kumtoa mtu mfano mbagara mpaka stend ya magufuri sizani kama mabasi yangefika huko.
Miundo mbinu ya ufikiaji hiyo stend inachosha yani una mizigo na unapoelekea mwendokasi hawa ruhusu mizigo,uchache wa mabasi mwendo kasi.
Kwa mtindo huu basi nyingi zita tafuta sehemu ya urahisi wateja wao wazidi kufika kwa urahisi.
Nitatolea mfano wa airport ili muelewe.
Airport za wenzetu ukifika hapo utapata huduma zote kama tren ya kukufisha sehemu,barabara maalumu za juu ambazo zitakufikisha eneo ambalo gumu kufikika.
Kwa stendi ya magufuli mabasi mengi kutofika hapo ni kwa sababu ya miundo mbinu ya wafikiaji abiria wanaosafiri.
Kunge kuwa na treni inayoweza kumtoa mtu mfano mbagara mpaka stend ya magufuri sizani kama mabasi yangefika huko.
Miundo mbinu ya ufikiaji hiyo stend inachosha yani una mizigo na unapoelekea mwendokasi hawa ruhusu mizigo,uchache wa mabasi mwendo kasi.
Kwa mtindo huu basi nyingi zita tafuta sehemu ya urahisi wateja wao wazidi kufika kwa urahisi.