ndio maana nikasema slaa aongee kwanza na mkewe, na mke akisema no... basi anaamua kukaukia ishu au kumuombea msamaha manyanya kwa kuropoka mambo ya jikoni bungeniManyanya hajaelezea kinagaubaga chanzo cha kutumiana sms na mke wa slaa, sasa from nowhere unamtaka slaa ajitokeze kuclarify kitu gani??
Hapa ilitakiwa manyanya atueleze kikamilifu sakata lote ndipo tuseme kwamba slaa anatakiwa kuclarify ama josephine mwenyewe anatosha kuclarify.
Si kila jambo analofanya mkeo lazima ufahamu ama ulitolee maelezo, kumbuka huu ni mchezo wa kisiasa, slaa anawanyima usingizi wanamagamba kwahiyo hawaoni shida kuzusha lolote dhidi yake ama dhidi ya mtu wa familia yake.
sikujua!!
but its ok coz injinia nyanya alimtarget slaa when delivering the sms punch so it would be more appropriate slaa kuweza kujibu kwa kumuombea msamaha kwani hajui alitendalo kwa kuleta ushambenga bungeni
aisee mimama inasutana halafu mmoja anakimbilia bungeni kulalama, mambaff kabisa
ndio maana nikasema slaa aongee kwanza na mkewe, na mke akisema no... basi anaamua kukaukia ishu au kumuombea msamaha manyanya kwa kuropoka mambo ya jikoni bungeni
ok i withdraw my suggestionMkuu huoni kwamba itakuwa si busara kwa Mume kuingilia kwenye (so called ugomvi wa mchumba wake) when (allegedly sababu hatujui even if its true kwamba mchumba wake ndio amesms) wakati mchumba mwenyewe anaweza akasort out mwenyewe?
Sasa Dr Slaa siyo mbunge atamjibu wapi au itabidi alidi jimboni kwa Stalla akamchane huko huko...
viti maalumu wanamatatizo sana hivi inabidi viondolewe, sidhani kama nchi hii yenye matatizo kibao bunge la bajeti linaweza kupoteza muda wa miezi mitatu katika kujadili upuuzi kama huu. Hayo ni mambo ya nje ya bunge kama ametumwa kumchafua basi sio sehemu yake, tunamambo mengi sana wananchi tunakabiliana nayo tunahitaji changamoto kutoka kwa wawakilishi wetu (wabunge) kutuwakilisha vema ili kupata ufumbuzi wa matatizo yanayotukabili kama janga liliopo sasa la umeme na vyakula kuwa juu. Sidhani mambo ya meseji na uchumba ni sehemu yake.Nikiwa makini kabisa kuendelea kusikiliza mjadala wa bunge,Inginia Stella Manyanya amemtolea kashfa Dr pamoja na mkewe Josephine,adai Dr alienda kijijini kwake na kuwatangazia wananchi wake wasifanye kazi na kama pilau ikipikwa ote waende kwake.Amtuhumu pia mke wa Dr [Josephine] kuwa anamtumia ujumbe wa kukashifu kwa njia ya mtandao;akiwa ameshangiliwa na kupigiwa meza,Manyanya aongeza kuwa Dr Slaa hafai kuwa raisMy take;Kauli ya Manyanya sidhani kama inaukweli wowote zaidi ya kumchafua Dr na familia yake
There are currently 95 users browsing this thread. (33 members and 62 guests)
- sulphadoxine
- mmbangifingi
- hKichaka
- FJM
- Kaka'
- Nyamizi
- Tshala
- Kibunango
- guta
- Josephine
- Sabry001
- flora msoffe
- segwanga
- Mwalimu
- Leonard Akaro
- Log
- Mwalu
- Kwayu
- chatu dume
- gwala
- Mlangaja
- Yakuonea
- Balantanda
- sem2708
- Msarendo
- mpakwamafuta
- Nyambala
- mzee wa wazee
- ODD
- forty
- Mpendwa
- Fasta fasta
Red inahusika
Huyo Stella hafai kujibiwa hata kidogo, aachwe tu apumbae
Labda hilo la ujumbe halina tofauti na zile SMS za wafuasi wa mgombea mmoja wa urais uliopita ambazo zilionekana kutokea nchi za nje kumbe zilikuwa zinasukwa hapa hapa nchini.
Ukijiuliza, kunaweza kukawa na kitugani cha msingi sana hadi yeye atumiwe sms za matusi ni vigumu kupata majibu. Labda huyo Manyaya angeenda mbali zaidi ili tujue kunani nyuma ya pazia hadi hayo yatokee. Kwa mtizamo wangu, Manyanya ni sisimizi kwa Slaa na bila shaka hata kwa Josephine pia hawezi kuwa na uzito unaozidi wa unyoya!
Ni mtizamo wangu tu!
yeah, i have changed my position, she should be ignored and left to regret on how she diluted her moment with udakuHuyo Stella hafai kujibiwa hata kidogo, aachwe tu apumbae
Hiyo siyo degree ya c**** kweli? Hoja iliyoko mbele ya Bunge ni speech ya PM...inakujaje so called inginia analeta mambo personal ndani ya Bunge..anamwonya nani? Hivi hajui sheria za nchi?Huyu si injinia? sasa udigirii umekufa au vipi?
Nope, i am just wishing slaa to be a man enough to ask his wife and clarify the matter... if he leaves this to josephine yanaweza kuishia kwenye mipasho ya wanawake
that is the stand i would take being a leader and the head of family...
hapana..........Kwa hoyo kila Mwanamke akigombana na Josephin, Slaa afuatilie? we huwa unafuatilia kila ugomvi wa mkeo?
Kwa hoyo kila Mwanamke akigombana na Josephin, Slaa afuatilie? we huwa unafuatilia kila ugomvi wa mkeo?
yeah, i have changed my position, she should be ignored and left to regret on how she diluted her moment with udaku
I agree with you!Labda hilo la ujumbe halina tofauti na zile SMS za wafuasi wa mgombea mmoja wa urais uliopita ambazo zilionekana kutokea nchi za nje kumbe zilikuwa zinasukwa hapa hapa nchini.Ukijiuliza, kunaweza kukawa na kitugani cha msingi sana hadi yeye atumiwe sms za matusi ni vigumu kupata majibu. Labda huyo Manyaya angeenda mbali zaidi ili tujue kunani nyuma ya pazia hadi hayo yatokee. Kwa mtizamo wangu, Manyanya ni sisimizi kwa Slaa na bila shaka hata kwa Josephine pia hawezi kuwa na uzito unaozidi wa unyoya!Ni mtizamo wangu tu!