BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #101
Shukuru Mungu Mkuu.
Mi kunq jamaa alishataka kiniingiza na nikishakubaki. Nilichomoq dakika ya mwisho. Haikupita siku na serikali ikaipiga marufuku. Nilipomuuliza akasema hiyo ni vita ya mabenki hawataki coins kwasababu ni competitor wao. Nilipata ushauri kwa ndugu yangu yuko benki na kunizuia nisijiingeze kwenye huo mchezo maana ni version ya upatu tu. Na kweli ni kama ilinisaidia.