Aisee ushamba ni mzigo ww unaishi dunia ya ngapi? Watu wananunua bidhaa Ebay,amazon na store kibao ile hali hawamjui seller wala ofisi yake na seller apo yupo china, Bangkok au New York na Mizigo inafika hahahaYaan kuna vitu havihitaj ata elimu ya darasan kuvistukia. Ivi unaanzaje kufnya biashara na watu wa online hawana ofisi?? Je huwez kufkiria kama kuna cku wanazima system utawapata wapi??
Bora niwe tu mshamba kuliko kumpa mtu pesa ktk mazingira tataAisee ushamba ni mzigo ww unaishi dunia ya ngapi? Watu wananunua bidhaa Ebay,amazon na store kibao ile hali hawamjui seller wala ofisi yake na seller apo yupo china, Bangkok au New York na Mizigo inafika hahaha
Mkuu naona kama upepo upo kwa Eth kuliko btc mana Btc inaruka balaaahuu ndio wakati wa kununua bitcoin kwa sisi tunaojua nini maana ya bitcoin
Zinunueni kwa wingi mkuuhuu ndio wakati wa kununua bitcoin kwa sisi tunaojua nini maana ya bitcoin
Sawa ndio mana nakuita Mjima, Ata pesa unapeleka bank kweli wewe? na kuweka kwenye Mobile service kama float?Bora niwe tu mshamba kuliko kumpa mtu pesa ktk mazingira tata
.credibility
.assurence
.legal authoritative
Ndivyo vitu pekee ninavyovitazama
Acha tu niwe mshamba
Hii story inatufaa sana hasa wanaotafuta pesa kwa BITCOINS na FOREX...Want to know about
*BITCOIN*
A lot of monkeys lived near a village.
One day a merchant came to the village to buy these monkeys!
He announced that he will buy the monkeys @ $100 each.
The villagers thought that this man is mad.
They thought how can somebody buy stray monkeys at $100 each?
Still, some people caught some monkeys and gave it to this merchant and he gave $100 for each monkey.
This news spread like wildfire and people caught monkeys and sold it to the merchant.
After a few days, the merchant announced that he will buy monkeys @ 200 each.
The lazy villagers also ran around to catch the remaining monkeys!
They sold the remaining monkeys @ 200 each.
Then the merchant announced that he will buy monkeys @ 500 each!
The villagers start to lose sleep! ... They caught six or seven monkeys, which was all that was left and got 500 each.
The villagers were waiting anxiously for the next announcement.
Then the merchant announced that he is going home for a week. And when he returns, he will buy monkeys @ 1000 each!
He asked his employee to take care of the monkeys he bought. He was alone taking care of all the monkeys in a cage.
The merchant went home.
The villagers were very sad as there were no more monkeys left for them to sell it at $1000 each.☹
Then the employee told them that he will sell some monkeys @ 700 each secretly.
This news spread like fire. Since the merchant buys monkey @ 1000 each, there is a 300 profit for each monkey.
The next day, villagers made a queue near the monkey cage.
The employee sold all the monkeys at 700 each. The rich bought monkeys in big lots. The poor borrowed money from money lenders and also bought monkeys!
The villagers took care of their monkeys & waited for the merchant to return.
But nobody came! ...Then they ran to the employee...
But he has already left too !
The villagers then realised that they have bought the useless stray monkeys @ 700 each and unable to sell them!
The Bitcoin will be the next monkey business
It will make a lot of people bankrupt and a few people filthy rich in this monkey business.
That' how it will work
Tena wauze na majumba kabisa na mali zao, wanunue hizo Bitcoin ili wasubiri shares zipande wauze wapate maradufu!Zinunueni kwa wingi mkuu
Bank ni organization yenye vigezo vyote ila sitakaa niamin janja janja zenuSawa ndio mana nakuita Mjima, Ata pesa unapeleka bank kweli wewe? na kuweka kwenye Mobile service kama float?
GreatWant to know about
*BITCOIN*
A lot of monkeys lived near a village.
One day a merchant came to the village to buy these monkeys!
He announced that he will buy the monkeys @ $100 each.
The villagers thought that this man is mad.
They thought how can somebody buy stray monkeys at $100 each?
Still, some people caught some monkeys and gave it to this merchant and he gave $100 for each monkey.
This news spread like wildfire and people caught monkeys and sold it to the merchant.
After a few days, the merchant announced that he will buy monkeys @ 200 each.
The lazy villagers also ran around to catch the remaining monkeys!
They sold the remaining monkeys @ 200 each.
Then the merchant announced that he will buy monkeys @ 500 each!
The villagers start to lose sleep! ... They caught six or seven monkeys, which was all that was left and got 500 each.
The villagers were waiting anxiously for the next announcement.
Then the merchant announced that he is going home for a week. And when he returns, he will buy monkeys @ 1000 each!
He asked his employee to take care of the monkeys he bought. He was alone taking care of all the monkeys in a cage.
The merchant went home.
The villagers were very sad as there were no more monkeys left for them to sell it at $1000 each.☹
Then the employee told them that he will sell some monkeys @ 700 each secretly.
This news spread like fire. Since the merchant buys monkey @ 1000 each, there is a 300 profit for each monkey.
The next day, villagers made a queue near the monkey cage.
The employee sold all the monkeys at 700 each. The rich bought monkeys in big lots. The poor borrowed money from money lenders and also bought monkeys!
The villagers took care of their monkeys & waited for the merchant to return.
But nobody came! ...Then they ran to the employee...
But he has already left too !
The villagers then realised that they have bought the useless stray monkeys @ 700 each and unable to sell them!
The Bitcoin will be the next monkey business
It will make a lot of people bankrupt and a few people filthy rich in this monkey business.
That' how it will work
Hakuna utapeli ikitokea umeliwa ndio uje kulia lia mfano betting ni Verified kabisa na Serikali inapitisha bakuli lake kodi, Wewe upo a b c za biashara kweli leo umenunua Gunia moja la mahindi 10000Tzs ukaliweka store ukitegemea mwezi ujao Litapanda dhamani ndani ya mwezi ujao ukakuta Gunia 2000 Tzsh utasema umetapeliwa??? Acheni kujaza watu ujinga Biashara zenye risk zinalipa kikubwa uwe tayari kupoteza na Utafurahia pia uki win, DuniaBank ni organization yenye vigezo vyote ila sitakaa niamin janja janja zenu
Ninachokiamini mm ni kuwa. U earn a lot of money kwa kufanya investment ila cyo hizo kind of gambles mnacheza na mnakuja kutapeliwa mnalia. Ukichunguza wanaotetea huu utapeli ndo mamluki waliotumwa kuja kufnya promo ya hizi vitu
Market makers wanapiga propaganda ili wabaki wao tu sokoni,wauze wenyewe wapige pesa peke yao.wakati fursa za kupiga hela si kwa kununua tuWe don't stay
We read the bearish candlesticks
Then tunashuka nayo, we sell them !
Those who don't understand the rules of the game are the ones bluffing out here !
Hallah forexcrypto champs !
bitcoin hatuna mashaka nayo kabisa nilikuwa nasubiri kipindi kama hiki ishuke nianze kununuaZinunueni kwa wingi mkuu
eth upandaji wake ni wa taratibu mno bitcoin ikipanda inapanda hasa kifupi wachina wanatusaidia sana juu ya bitcoinMkuu naona kama upepo upo kwa Eth kuliko btc mana Btc inaruka balaaa
Mkuu mimi nataka kujiunga na Bitcoin, je ofisi zao hapa Tanzania ziko wapi?Mkuu jamaa mpuuze hajui ata soko linaendaje, Ameokoteza uko article kaja kupaste apa anadhani kila mtu ni kilaza umu, Mimi pia nina hold bitcoin na nalijua soko, Jamaa hana hoja wala kujua kinachoendelea