so mi sijaelewa hapa 'kichwa cha habari' na habari mbona naona haviendani!!! chondechonde
wanaume wengi mnapenda umwinyi eeh,mmeoa wake zenu kwa sababu mnawapenda au wawe vijakazi vyenu?lol kama mtu unampenda hutamtumikisha....
USIFIKIRI KUOLEWA NI KUPENDWA WENGINE WANAKIMBIA KULA KWA MAMANTILE,KUFUA NGUO WENYEWE NA WENGINE WANATAFUTA WASAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI...... SO KUWA MAKINI USIKIMBILIE NDOA...
mna kazi mlioolewa.....!
Akiniletea swagga za kunitumikisha 'ntamtengeneza'!!!!!.... ila wapo ambao wameolewa na ndoa zao ni kama heaven.
Bottom line mjue mtu wako usiingie kichwakichwa, which I guess is in line with the Facebook status. Kama we sista du, feminist, au unaamini usawa katika ndoa, na bwana mwinyimwinyi, huyo si wako.
Mh! Mbona unatutisha dadaangu, kwenye ndoa kuna mengi yategemea tu unavobahatikaUSIFIKIRI KUOLEWA NI KUPENDWA WENGINE WANAKIMBIA KULA KWA MAMANTILE,KUFUA NGUO WENYEWE NA WENGINE WANATAFUTA WASAIDIZI WA KAZI ZA NYUMBANI...... SO KUWA MAKINI USIKIMBILIE NDOA...
mna kazi mlioolewa.....!