Stats: Tanzania has 23 million internet Subscribers and about 40 million mobile subscribers

Stats: Tanzania has 23 million internet Subscribers and about 40 million mobile subscribers

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,615
Reaction score
62,409
Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) imeonesha kuwa, idadi ya watumiaji wa intaneti imeongezeka kufikia watu milioni 23 ambayo ni 45% ya Watanzania wote mwaka 2017 kutoka milioni 7.52 ambayo ni 17% ya mwaka 2012.
-
Ripoti hiyo pia inaonesha kuwa hadi mwezi Desemba mwaka 2017, idadi ya watumiaji wa simu za mkononi imefikia milioni 40 kutoka milioni 27.62 mwaka 2012, huku mtandao wa Vodacom ukiongoza kwa kuwa na watumiaji waliojisajili 12, 714,297.
-
Katika aina ya intaneti inayotumika, watu 19,006,223 wanatumia intaneti ya 'wireless' inayohamishika kama simu, 3,468,188 wanatumia intaneti ya 'wireless' isiyohamishika na 520,698 wanatumia 'wired'.

Screen Shot 2018-02-21 at 08.02.05.png

Screen Shot 2018-02-21 at 08.02.36.png

Screen Shot 2018-02-21 at 08.03.30.png

Screen Shot 2018-02-21 at 08.08.22.png

=======

Report: Number of internet users hits 23m mark in TZ

Internet penetration in Tanzania increased in the past six years,.


BY Alfred Zacharia @TheCitizenTz

IN SUMMARY

It reached 45 per cent in 2017 from 17 per cent in 2012, the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) statistics for the fourth quarter show.

Internet penetration in Tanzania increased in the past six years,.

It reached 45 per cent in 2017 from 17 per cent in 2012, the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) statistics for the fourth quarter show.

During the period, the number of internet users has been progressively growing, reaching 23 million people in 2017 from 7.52 million in 2012. The users also increased to 9.31 million (21 per cent) in 2013 and 12.27 million (29 per cent) in 2014.
 
Shida hapo katika idadi kuna baadhi yetu tuna line zaidi ya moja, mfano Mimi Nina line ya Voda, Tigo, na halotel. Wengine wana NNE nk. Idadi ya watumiaji kwa maana ya mtu mmoja mmoja hapo kwenye voicecalls inaweza kupungua hata kwa nusu
 
Shida hapo katika idadi kuna baadhi yetu tuna line zaidi ya moja, mfano Mimi Nina line ya Voda, Tigo, na halotel. Wengine wana NNE nk. Idadi ya watumiaji kwa maana ya mtu mmoja mmoja hapo kwenye voicecalls inaweza kupungua hata kwa nusu
Kwahiyo wewe una simu nne zote unazitumia kwa wakati mmoja..
 
Je hizi si juhudi za serikali? Watu hawaoni wala hawatapongeza, lakini sikilizia dosari ikitokea
 
jedwali la kwanza: watumiaji wa halotel walipungua hali wa mitandao mingine waliongezeka? intanet yao kusua sua kitakuwa kigezo muhimu wateja kuwakimbia. JF tulilalamika sana.

ni wakati sasa JF kutumika kama dashboard kwa masuala mengi humu nchini. inaona mbali
 
za kuongeza watumkaji wa simu na internet?
Zote hizi ni policies za serikali kuwezesha bei ndogo ya Internet EA nzima, bei ndogo za simu, setting prices ambazo makampuni ya simu yanacharge, allowing different telecommunacation companies to access this market, yote hayo na mengine mengi ni kwa ridhaa ya serikali.
Sasa jifanyeni mnataka kuruka mkojo, mkakanyage mavi.
 
Ndio, Mimi ninazo NNE tofauti, wengine wengi wana moja lakini ina laini mbili au tatu
Ukiweka line 2 au 4 kwenye Internet itafanya moja na hiyo ndio itakua ikionekana kwenye imei ya device yako huko tcra
 
45% ukitoa CCM NA WASIO NA VYAMA ITABAKI ASILIMIA YA WATU WA UPINZANI.
 
Shida hapo katika idadi kuna baadhi yetu tuna line zaidi ya moja, mfano Mimi Nina line ya Voda, Tigo, na halotel. Wengine wana NNE nk. Idadi ya watumiaji kwa maana ya mtu mmoja mmoja hapo kwenye voicecalls inaweza kupungua hata kwa nusu
Kwani mwaka 2012 kulikuwa hakuna watu wenye laini zaidi ya moja? Suala ni lile ongezeko..
 
Back
Top Bottom