Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
tafuta maneno ya kuwaambia watu sio utetaji wa watu wewe mwili wako haunuki ? kama watu wataanza kujadili harufu ya mwili wako itakuwaje? kisha maoni ya kila mmoja kisa tu yuko state yawakilishwe itakuwaje? unajua kaingiaje hapo state unapopazimia kiasi ukiongea na rafiki yako mmoja unasewasemea wote?
msitupotezee muda na saikolojia za kumtukana mtu ili hasira zishuke, kila mtu ana makosa yake na mapungufu yake, wacheni umbeya mbona nahisi nyie ni wanaume? "sasa mbona tabia za kike kike sana tena wamitaani ambao humsifia yule tu aliempa fedha nyingi" leteni thread za kuelimisha na kutoa challenge bwana na haya mengine waambieni wake zenu mkikosa pointi za kuwachekesha!
Kwanza wewe ni mpumbavu, kilaza na limbukeni wa hali ya juu, hii habari ipo online halafu unajifanya wewe sijui uliongea na nani mzushi mkubwa wewe, na Hillary Clinton anakuja Tanzania je huyo rafiki yako amekwambia?
Link ya hiyo habari ni hii hapa US warns Tanzania over impact of Serengeti road - Times LIVE
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
State Department ofisi zao ziko wapi NY?
Angalia usije kuwa umeongea na mtu anafanya kazi "New York State, Department of State" ukafikiri umeongea na mtu wa"US State Department"
Huyo jamaa yako ni msemaji wa ikulu au mambo ya nje wa marekani au mfakazi wa kawaida (mfagizi)? Does it make sense kusema kuwa ni state department wakati ni mawazo ya mtu mmoja tu tena ambaye ni rafiki yako?
No, siyo kama napingana na ukweli ulioko kwenye taarifa uliyotujuza ila chanzo chake na ulivyokikuza kukipa uzito wa juu kuwa ni wa department nzima.... hapo ndo nimetatizwa.
Huyo jamaa yako ni msemaji wa ikulu au mambo ya nje wa marekani au mfakazi wa kawaida (mfagizi)? Does it make sense kusema kuwa ni state department wakati ni mawazo ya mtu mmoja tu tena ambaye ni rafiki yako?
No, siyo kama napingana na ukweli ulioko kwenye taarifa uliyotujuza ila chanzo chake na ulivyokikuza kukipa uzito wa juu kuwa ni wa department nzima.... hapo ndo nimetatizwa.
Unajua sisi wabongo ni watu ambao wakati mwingine tuna tatizo la uelewa mdogo sana. Unakutana na mtu ana-pose kwamba ni mtu wa State Department then unaanza kumnukuu na kupotosha kwamba ni msimamo wa State Department, wakati huyo jamaa yako ni mesenja tu na inawezekana na yeye akisikia mtu mmoja aki-express maoni yake binafsi. Kwa taarifa yako, kuna watu marekani ambao mpaka leo wanaamini Obama hana sifa ya kuwa rais wa Marekani na wanamponda kinoma. Ni bora ukaacha upotoshaji wa namna hii katika thread zako na uache kuhusudu wazungu kwa vitu vya kitoto. Umeambiwa wazungu huwa siyo waongo, wafinyu wa uelewa au wapumbavu? Kwa taarifa yako huyu mzungu wako uchwara anawakilisha maoni yake binafsi na hana nafasi ya kupima maoni ya wamarekani wote au wale walio katika utawala.
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Are you happy your President being insulted and without shame you published it!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
If the truth must be told,honestly your rumour mongering friend lacks both diplomatic qualities and traped in compromising his proffession kwa sababu ya urafiki.Je wewe ulifurahia tu?
Why do we feel the need to throw cheap insults at our president(s)? Americans I've met are not like that.Talk to an American. They respect their country and their leaders so much, even when it's not justified.
Huku nyumbani tumchane,lakini hawezi kutukanwa na Raia wa nje.Hiyo ni insult kwa watanzania wote
If the truth must be told,honestly your rumour mongering friend lacks both diplomatic qualities and traped in compromising his proffession kwa sababu ya urafiki.Je wewe ulifurahia tu?
Why do we feel the need to throw cheap insults at our president(s)? Americans I've met are not like that.Talk to an American. They respect their country and their leaders so much, even when it's not justified.
Huku nyumbani tumchane,lakini hawezi kutukanwa na Raia wa nje.Hiyo ni insult kwa watanzania wote
Wewe ni mjinga namba moja kwa kukubali kuona Rais wako anatukanwa na unachekelea tu na mbaya zaidi watuletea humu ndani.
i have a hunch kuwa waweza kuwa umepika habari hii...this is too bad kwa kweli.
hata kama humkubali ila level hii naomba watanzania tuipinge.
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Are you happy your President being insulted and without shame you published it!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!