State department wanavyom-value JK


I hate JK yes with all my heart, with all my soul, with all my mind.
But I wouldn't like a foreigner to show me how to hate my stupid president.
My patriotism guide me to throw ten punches on any foreigner talking ill of my country and/or not only a president but any TZ citizen.
I believe and yes strongly believe that I can through away this stupid leadership without a support of any foreigner. Because you may not know their motive behind their black curtains!!!!!
 

Heshima yako mkuu. Ni vizuri kuwa sensitive kwenye gender za watu pia na sio race, age, au nationality peke yake. Kwa mtizamo wangu maneno yako uliyotumia kumwelimisha aliyeleta topic yemeishia kuwa kero. Kutokana na post yako mtu anaweza kukusoma na wewe "psychologically" unawadharau wanawake. Kumbuka mtu hazaliwi na tabia , anajifunza so I do not see the point of labelling "tabia za kike kike" Tuna mama, dada, wake etc ambao hawana tabia hizo; so let us not be too general like that. However I second your opinion "tulete thread za kuelimisha; ukitaka mtu ajielimishe/aelewe unatumia clean sentences kumuelimisha mkuu. Lakini pia wake zetu ni wasomi pia na- kama sio wasomi tuwaelimishe kwa mada muhimu wao sio wakuambiwa nonsense/garbage either.
 

Nadhani state department wapo pia cleaners ambao mawazo yao sio mawazo ya kiofisi ya serikali ya marekani . na wana uhuru wa kutoa maoni. But Yes kikwete is weak. Ila Nadahni Mwinyi alikuwa weak zaidi. So kikwete anaweza kujivunia kwa hilo teh teh teh teh

So mtu asikmwamba yuko state department ukadhani ni mtaalama sana. Sio kila anayefanya kazi Wizara ya mambo ya nje ni diplomat na sio kila anayefanya kazi ikulu ni mtu wa system. Angalia usiibiwe

Wamerakani wanampenda kikwete, Mkapa kuliko walivyompenda nyerere.

State Department ofisi zao ziko wapi NY?

Angalia usije kuwa umeongea na mtu anafanya kazi "New York State, Department of State" ukafikiri umeongea na mtu wa"US State Department"

Bora hata iwe hivyo mimi wasi wasi wangu labda mtu mwenyewe ni driver . Sasa kama foreign driver anajijua politics za nchi yao kukuzidi hata mzawa basi mweye tatizo ni nani ????


 

Unajua sisi wabongo ni watu ambao wakati mwingine tuna tatizo la uelewa mdogo sana. Unakutana na mtu ana-pose kwamba ni mtu wa State Department then unaanza kumnukuu na kupotosha kwamba ni msimamo wa State Department, wakati huyo jamaa yako ni mesenja tu na inawezekana na yeye akisikia mtu mmoja aki-express maoni yake binafsi. Kwa taarifa yako, kuna watu marekani ambao mpaka leo wanaamini Obama hana sifa ya kuwa rais wa Marekani na wanamponda kinoma. Ni bora ukaacha upotoshaji wa namna hii katika thread zako na uache kuhusudu wazungu kwa vitu vya kitoto. Umeambiwa wazungu huwa siyo waongo, wafinyu wa uelewa au wapumbavu? Kwa taarifa yako huyu mzungu wako uchwara anawakilisha maoni yake binafsi na hana nafasi ya kupima maoni ya wamarekani wote au wale walio katika utawala.
 
..wenye makosa ni wale wanaomu-expose "Raisi wetu" in the international arena.

..mfano mdogo ni ule mkutano wa IMF/WB uliofanyika BOT ambapo Raisi wetu alishiriki kwenye mdahalo na kina Dr.Kaberuka,Dr.Iwelea Ikonjo, Trevor Manuel, na Dominic Strauss.

..tatizo ni kwamba Raisi alishindwa hoja na akaishia kucheka-cheka na yule mwanadada Isha Sessay moderator wa CNN huku akimuahidi kumpa zawadi ya madini ya tanzanite.

..when Americans had Ronald Reagan, and they took extra care in preparing him before any public appearance.

..wa-Tanzania tunampeleka tu Raisi wetu kila mahali, tena wakati mwingine hatuna hata huruma naye kwamba hali yake kiafya au yuko ktk mfungo wa Ramadhani na kwamba umri umekwenda, kama ilivyojitokeza Mwanza na Jangwani.

..mnaoendelea kumsakama mtoa hoja hamsaidii kitu. labda mngemuelimisha kwa kumpatia "pointers" au "talking points" za kumtetea Raisi wetu kwa hao foreigners wanaomkandia.
 

jamaa sio ofisa wa ngazi ya juu ila the way tulivyozungumza nae ni likely view ya wengi wao iko hivyo!! najua ni chungu kumeza ila sukumia na juice itamezeka!!
 

inauma eenhhh!! taka usitake jamaa kiazi!! au kule jeshini tunaita nanga!! jamaa mweupe mkichwa!!
 

CRAP CRAP CRAP CRAP.......Kichwa cha tikiti maji
 


Raia wa nchi ya kigeani, tena ya kibepari na kinyonyaji kama USA kumtukana raisi wa nchi yetu ni dharau kubwa sana. Usikubali mkuu hata kama anamadhaifu lakini yeye siyo wa kumwita like ......... Tena akome kabisa.
 

unachoshangaa nini rais kupewa za uso!? Kamuulize kanye west kuhusu bush jr? Obama mwenyewe dizain wameanza kumpotezea japo walimuona kama mkombozi wao. Kwahiyo kuhusu JK kunekana "upepo" huko ughaibuni si shangai.
 

Ben unachosema ni kweli kwamba Jk ni rais wetu pamoja na udhaifu na mapungufu aliyonayo hivyo tujitahidi kumsetiri. Kwa upande mwingine hatuna namna ya kumsaidia kwani yeye ndiye anayejipeleka huko ili atuaibishe. kila kukikucha haachi kwenda Marekani na haachi kujisifia kuwa katoka Marekani. Nani anamtuma huko kila mara? kwa upande mwingine Jk hatusikilizi sisi wananchi wake bali anawahusudu hao Wamarekani.
 
Tunatumia akili na muda kufungua threads, ukikuta ni ujinga , tena mzungu anamkashfu kiongoz mku wa nch yako unatangaza ¥%§*¤ pumbav au uliomb pesa. Dnt repeat
 
Ameshasema pamoja na uchungu mezeni kwa kusukumia na juice:biggrin1:
 
Msimlaumu mtoa hoja na kumtetea raisi wenu wa ccm,lifanyieni kazi tatizo lililofanya mpaka atukanwe.Jaribuni kuweka usawa kwa pande zote"mwizi unamchukulia Kama mwizi tu
 

Mbona anatukanwa hapa JF kila siku na sijawahi kusikia mtu analalamika? Au kwa sababu imesemekana kwamba aliyesema ni mmarekani? Hapa suala la msingi ni je kuna ukweli wowote katika hiyo statement? Tusikimbilie kusema ametukana ilhali amesema ukweli wake!!!!

Tiba
 

Ni judgement nzuri!
 
hivi kuna haja ya kuwa baba ambaye kila siku iendayo ni kukupa matumaini mwanae hata pale ambapo wewe mwenyewe hujaomba kitu ,akija tu ,,,,,,ndiyo mwanangu nitakununulia reli,nitakununulia meli.....nitakununulia fry overs......nitakununulia vituo vya afya ......nitakununulia shule ya jirani ,,,,,nitakununulia usafiri wa kwenda kasi............JAMANI TUMECHOKA EMBU WE KIKWEEETE SASA NI MUDA WAKO WA KUKAA CHINI NA KUTEKEREZA MOJA BAADA LA LINGINE HATUTAKI UONGEEE TENA KAMA AMBAVYO MWEZI ULOPITA UMEPITISHA
 
Are you happy your President being insulted and without shame you published it!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kwa kusoma ujumbe wake mimi naona alikuwa anatoa taarifa tu, sijaona kama amefurahia au la,pia ame-publish habari kwa nia ya kujuza wengine licha a kuwa wapo watakaoipenda na wengine watakereka kama wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…