Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
I hate JK yes with all my heart, with all my soul, with all my mind.
But I wouldn't like a foreigner to show me how to hate my stupid president.
My patriotism guide me to throw ten punches on any foreigner talking ill of my country and/or not only a president but any TZ citizen.
I believe and yes strongly believe that I can through away this stupid leadership without a support of any foreigner. Because you may not know their motive behind their black curtains!!!!!