tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
tafuta maneno ya kuwaambia watu sio utetaji wa watu wewe mwili wako haunuki ? kama watu wataanza kujadili harufu ya mwili wako itakuwaje? kisha maoni ya kila mmoja kisa tu yuko state yawakilishwe itakuwaje? unajua kaingiaje hapo state unapopazimia kiasi ukiongea na rafiki yako mmoja unasewasemea wote?Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
tafuta maneno ya kuwaambia watu sio utetaji wa watu wewe mwili wako haunuki ? kama watu wataanza kujadili harufu ya mwili wako itakuwaje? kisha maoni ya kila mmoja kisa tu yuko state yawakilishwe itakuwaje? unajua kaingiaje hapo state unapopazimia kiasi ukiongea na rafiki yako mmoja unasewasemea wote?
msitupotezee muda na saikolojia za kumtukana mtu ili hasira zishuke, kila mtu ana makosa yake na mapungufu yake, wacheni umbeya mbona nahisi nyie ni wanaume? "sasa mbona tabia za kike kike sana tena wamitaani ambao humsifia yule tu aliempa fedha nyingi" leteni thread za kuelimisha na kutoa challenge bwana na haya mengine waambieni wake zenu mkikosa pointi za kuwachekesha!
Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Alichokosea jeykey ni kukubali kwamba akili yake haiwezi kufanya kazi bila ya washauri na baadaye kukubali kuwa washauri wamemshauri vibaya(Makamba magamba). Implication yake ndo hiyo wanamwona mkuu wa nchi kilaza hatuwezi wazuiaWewe ulikubaliana naye huyo jamaa ya kwamba anachokisema ni cha kweli?
Na kama wanaona rais ndo yuko hivyo si mara kwa mara huwa anaenda kwao kwa nini wasimwambie wao wenyewe? Kulikuwa na ulazima gani wa kumtukana kupitia wewe na wewe bila soni ukatuletea jamvini?
Kuhusu barabara, sijafanya na wala sijaona taarifa inayoelezea madhara ya kimazingira kutokana na kujengwa kwa hiyo barabara, lakini swali langu kwa watu wanaopinga ujenzi wa hiyo barabara mbona ya morogoro kwenda Iringa imekatiza mikumi na wanyama wameshazoea, hiyo ikakatiza serengeti hao watu wana ushahidi gani kwamba wanyama hawatakatiza kwenda kenya?
Mimi kwetu ni Magu kijiji ambacho kiko karibu sana na Serengeti, huwa kuna kipindi ambacho maji ni ya shida kwenye hifadhi wale wanyama wanakatiza barabara ya lami ya Mwanza Musoma kwenda kunywa maji ziwa victoria na nakumbuka miaka ya nyuma walikuwa wanaingia hadi vijijini wakati huo maeneo ya vijijini hayajafyekwa kwa ajili ya kilimo.
if the truth must be told,honestly your rumour mongering friend lacks both diplomatic qualities and traped in compromising his proffession kwa sababu ya urafiki.je wewe ulifurahia tu?
Why do we feel the need to throw cheap insults at our president(s)? Americans i've met are not like that.talk to an american. They respect their country and their leaders so much, even when it's not justified.
Huku nyumbani tumchane,lakini hawezi kutukanwa na raia wa nje.hiyo ni insult kwa watanzania wote
Tanga kwetu, pamoja na matatizo yetu mengi kumwandika Raisi wetu hivi siuafiki. Ningempa hapo hapo kwamba anachokifanya Obama Libya ni jambo baya sana halikubaliki hata kidogo! Wewe vipi?Leo wakati nabadilishana e-mail na rafiki yangu ambaye ni mfanayakazi wa wizara ya mambo ya nje ya marekani NY. tulijikita zaidi kwenye ujenzi wa highway kupita hifadhi ya serengeti na mambo ya uchumi wa tanzania. alimponda sana JK na hapa nanukuu moja ya statements zake. " about tanzania these days and that is too bad becuase from the western point of view kikwete looks like a stupid, incompetant ruler among the presidents you have had''. so jamaa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.