azam kwann wasije na vya antenna?Azam kiwango cha juu Cha kawaida ni shs 28,000.Na ukikosea ukaweka shs 30,000 hiyo 2000 iliyozidi utakutana nayo mwezi unaofata,. haipotei.kusema ukweli wanajitahidi.Inawezekana baada dstv ni wao.Tatizo Lao hawana channel nzuri za wanyama Kama Natgeo wild,au Discovery animals planet.
Dstv bei gan johKitu Dstv gharama kununua ila kifurush mpk 16 elf kwa mwez channel full
Mwezi wa tatu walikua na promotion ilikuwa elfu 69 na wanakufungia bure, vifurushi pia vimeshuka bei,Dstv bei gan joh
Hiyo ni full set kuanzia dishi mpka receiver mkuuMwezi wa tatu walikua na promotion ilikuwa elfu 69 na wanakufungia bure, vifurushi pia vimeshuka bei,
Yeah, nakufungiwa kabisa, sijui ofa kama bado ipo au ishaisha, ila mi nilinunua mwaka jana elfu 85, so bei itakuwa imeshuka zaidi,Hiyo ni full set kuanzia dishi mpka receiver mkuu
Shukran sanaYeah, nakufungiwa kabisa, sijui ofa kama bado ipo au ishaisha, ila mi nilinunua mwaka jana elfu 85, so bei itakuwa imeshuka zaidi,
Mimi, kwangu hawakati local chanel+ machanel ya west africa i.e yorubasMi star times nimewachoka pia lakini cha kwangu hawakati local channel napata zote bure
hâta kwangu kinakaa wiki mbilicha nyota kinakaa wiki 2 kwangu
Hiki king'amuzi chao kinaboa Sana na kinashida ya signalJamani hawa wanaboa unalipa kifurushi kinakaa wiki 2 yaani sijui mpaka uwapigie simu
Local channel ndo mmepotezea kbs halafu kingamuzi chenu mwakiuza 71000
Hovyo sana
Halafu mmeingia ubia na tbc mnatumia mitambo ya kodi za watz huku mnatukatia local channel
Jipangeni upya
Hadi continental majanga wanawashinda
Hakuna kifurushi cha nyota kwa sasaMkuu Tumia Kifurushi Cha Nyota Unalipa Tsh 6000/- Unatazama Kwa Mwezi Mmoja Tembelea Kwa Wakala Wao Ama Piga Simu Startimes
Niko Chato Geita mkuu njoo uchukue tu mkuu hicho umepata kabisa.Nieleke wap kaka nije kuchukua utakuwa umenisaidia mno
mimi niliwapigia sim wana fanya elfu 6000kwa mwez alafu ni loco chanel tu.cha nyota kinakaa wiki 2 kwangu
Niko Chato Geita mkuu njoo uchukue tu mkuu hicho umepata kabisa.Nieleke wap kaka nije kuchukua utakuwa umenisaidia mno